wachumba zangu wana sura mbaya

wachumba zangu wana sura mbaya

tafuta movie moja uiangalia inaitwa the hottie and the naughty....utajifunza kitu
 
diii.. labda ma jerry wa watu kakosa vyote lolz.. na kama mmojawapo angekuwa na hivi ulivyovitaja hata asingekuja hapa lolz
 
]wananipenda sana[
/QUOTE]

Hivi upo mwaka wa ngapi vilee chuo,hujapigwa na maisha mjini hapa eti dume liwe na ELIMU,PESA,GARI,NYUMBA kisa sio handsome umuache bongo mzima hakuna mwanamke kama huyo toa uongo wako hapa,kawadanganye hao hao first year wenzako
 
Wakubali haohao cuz nahisi una bahati mbaya au wewe pia ni mbaya,ukiendelea kusubiri yatakuja hadi MA-MONKEY.Take care
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

sura za bongo ndo hizohizo kila kona angalia isile kwako ukiitafuta handsome boy.
cha muhimu fuata moyo wako usije jilazimia kwa hao wabaya ndoa ikakushinda
ukishindwa kabisa njoo nikupe mdogo wangu ana kila sifa unayotaka.

na je we unafananaje maana usiwaseme wenzio kumbe na we ni mmoja wao angalia kitu alichotoa remmy onngala utapata jibu sura si ishu wakti mwingine
 
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!

hahahahahhahahahahahahaahahahhhahahhahaa...................
umenichekesha sana,
mahandsome tupo wachache tunaojielewa halafu tunasoko balaaaaaaaaa!
kama vipi komaa nao haohao, utazoea ndugu yangu.
 
mmmh jamani ninachoamini mimi mwanaume ni yule uliyemkubali toka moyoni hata kama angekuwa na sura kama masudi sura mbaya loh unaweza ukawa na handsome lakini dooonh ni malaya hana care uone uone kama utafaidi hiyo ndoa mwaume ni yoyote tule alimradi awe husband material na moyo wako umemkubali
 
Back
Top Bottom