sana sana kama malaika sura zao tu ndo mbaya na mimi nataka sura nzuri na muundo mzuri wa kiume,yaani hawanisisimui kwa kweli....hapana, nilimaanisha wana mioyo mizuri?
utasubiri sana nilee mwanaume duniani hukuNjoo Kwangu,m Bonge la Handsome boy la ukweli,ila napenda kulelewa,so km una mkwanja,ntafte!!
umebold wapi?
nifanyeje rafiki?"wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome"
nilipitiwa kidogo.
kwani shost vipi........?....hata pesa pia hawana........?
nifanyeje rafiki?
yawezekana umri wako bado haujaenda ndo maana unapata jeuri ya kuleta mbwembwe best
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!
kuliko ya pm wetu? mbona pm ana mke mzuri tupesa wanazo ,magari mazuri ,nyumba elimu ila mvuto hawana sura mbaya kweli kweli
Nothing is good or bad but thinking make it to be so.sana sana kama malaika sura zao tu ndo mbaya na mimi nataka sura nzuri na muundo mzuri wa kiume,yaani hawanisisimui kwa kweli
sura na kimo cha kuvutia
nifanyeje rafiki?
Teh teh eti sura mbaya......!ila wakat mwingine mtu akiwa hivyo hata kukugusa waona kero jaman,bas wanavyojua kuCare hao usisemeAkiita baby na sura yake haviendani bas unakasirika mpaka bas.
"Mwanamke shape tabia tutarekebishana
mwanaume pesa sura tutavumiliana......"
kwanini mnawakubaliga?
wenzio wanajali hayo niliyobold,sura hata mbuzi anayo,,,,,,,,utakula uhandsome shost,,,,hilo la watoto ni muumba ndo anajua kuna watu wana sura ngumu lakini wanapata totoz zenye mvuto hadi shetani hapendi.