Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,117
- 165,384
sijui kama picha za harusi nitathubutu kuweka facebook mwenzangu
we bana we sura kitu gani sura hata mbuzi anayo
mwanume hasifiwi sura!!!!!
sijui kama picha za harusi nitathubutu kuweka facebook mwenzangu
nimevumilia mambo ni yale yale kila mwakaKuwa na subira utampata mchumba atakayekufaa. Kama sifa fulani ni muhimu kwako bora uheshimu moyo wako maana maisha ya ndoa ni safari ndefu yenye misukosuko. Ni vema kuridhika na mtu wako kabla ya kuoana naye hapo ndipo utakapoweza kuvumilia mapungufu utakayoyagundua baadaye ndani ya ndoa.
kila mtu anapenda kitu kizuriwe bana we sura kitu gani sura hata mbuzi anayo
mwanume hasifiwi sura!!!!!
kila mtu anapenda kitu kizuri
hakuna ba jerykwani baba jery sio handsome?
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!
hakuna ba jery
wananipenda sana.....mioyo yao je?
pesa wanazo ,magari mazuri ,nyumba elimu ila mvuto hawana sura mbaya kweli kweli
kweli kabisaMahandsome Wengi,tuna Moyo Wa Kupenda Sana Ila Chambo Ni Pesa,na Kurdhka Tu,coz Hatuna Cfa Ya Kuhonga,ila Kwenye Maujanja Ndo Noumaa
umebold wapi?wenzio wanajali hayo niliyobold,sura hata mbuzi anayo,,,,,,,,utakula uhandsome shost,,,,hilo la watoto ni muumba ndo anajua kuna watu wana sura ngumu lakini wanapata totoz zenye mvuto hadi shetani hapendi.
kwani kupenda kitu lazima wewe uwe nacho?unawambia wenzio wana suta mbaya wewe unayo nzuri?. ndoa sio sura. mia
sura na kimo cha kuvutiahebu basi toa vigezo vyako vya mwanaume hendisamu
sio kwamba sina wa kunioa!yaani kwangu ndoa ipo nje nje
tatizo hawa wachumba wana sura mbaya sio wazuri na mimi nataka mahandsome.nifanyeje?
kila naempata sura matatizo.nikiacha hapa nakoelekea sura ngumu zile zile!
wananipenda sana