Wachora ramani za nyumba mna shida gani?

Wachora ramani za nyumba mna shida gani?

Mkuu na jenga nyumba yangu sio ya serikali wala CCM wala katibu tarafa wala mahakama. Acheni kunipangia as if mnaleta material site.
Mkuu unachoambiwa ni ukweli, fata utaratbu, wengi wenu mnakuja kuumia baadae mnakuja kulia lia tu baadae, utaratbu wa kujenga inabd upate ramani kwanza, na hyo ramani inabd iendane na matakwa yako yani iwe dream house yako, kumbuka nyumba ni uwekezaji hata kama utajenga kwa miaka 5 bado nyumba yako itakua na thamani kubwa, sasa si vzuri nyumba ya mill 40 umejenga alafu umekaa mwaka tu unaanza kuichukia
. Mtafute Mchora ramani aende site, achukue vipimo kwenye site yako, umueleze kuwa unataka nyumba ya aina gani iweje hyo nyumba, pia iendane na budget yako.
Kumbuka kwenye kudesign nyumba kuna vtu vingi wanavyoangalia wataalamu mfano uelekeo wa upepo, mzunguko wa hewa ndani, usalama kwenye nyumba yako nk.
Mwambie uwezo wako na upatane naye kuhusu gharama ya michoro, akuchoree michoro ikiwa kamili akugongee muhuri, then uende manispaa ukapate kibali cha ujenzi. Usipjenga na kibali manispaa wakikuotea ukipigwa stop order na wew unakuta umefika kwenye kupaua nyumba watakupiga fine kubwa tu.. Hadi mili 5 mana hujafata sheria.
Mwisho acha kulalamika gharama za uchoraji huwa znaendana na gharama za nyumba wew unataka uchorew nyumba ya million 70 alafu unataka umlipe mchoraji elfu 50 hii sio fair.
Kumbuka kazi ya mchoraji ni kuandaa michoro pia kusimamai hatua zote za ujengaji ili jengo lililochorwa liendane na ramani. Hvo ukiambiwa gharama ya ramani ni 350k huwa znainclude vitu vingi sio tu yale makaratasi.
 
Mkuu unachoambiwa ni ukweli, fata utaratbu, wengi wenu mnakuja kuumia baadae mnakuja kulia lia tu baadae, utaratbu wa kujenga inabd upate ramani kwanza, na hyo ramani inabd iendane na matakwa yako yani iwe dream house yako, kumbuka nyumba ni uwekezaji hata kama utajenga kwa miaka 5 bado nyumba yako itakua na thamani kubwa, sasa si vzuri nyumba ya mill 40 umejenga alafu umekaa mwaka tu unaanza kuichukia
. Mtafute Mchora ramani aende site, achukue vipimo kwenye site yako, umueleze kuwa unataka nyumba ya aina gani iweje hyo nyumba, pia iendane na budget yako.
Kumbuka kwenye kudesign nyumba kuna vtu vingi wanavyoangalia wataalamu mfano uelekeo wa upepo, mzunguko wa hewa ndani, usalama kwenye nyumba yako nk.
Mwambie uwezo wako na upatane naye kuhusu gharama ya michoro, akuchoree michoro ikiwa kamili akugongee muhuri, then uende manispaa ukapate kibali cha ujenzi. Usipjenga na kibali manispaa wakikuotea ukipigwa stop order na wew unakuta umefika kwenye kupaua nyumba watakupiga fine kubwa tu.. Hadi mili 5 mana hujafata sheria.
Mwisho acha kulalamika gharama za uchoraji huwa znaendana na gharama za nyumba wew unataka uchorew nyumba ya million 70 alafu unataka umlipe mchoraji elfu 50 hii sio fair.
Kumbuka kazi ya mchoraji ni kuandaa michoro pia kusimamai hatua zote za ujengaji ili jengo lililochorwa liendane na ramani. Hvo ukiambiwa gharama ya ramani ni 350k huwa znainclude vitu vingi sio tu yale makaratasi.
Asante boss. Naomba nikusahihishe kidogo. Mimi sijengi nyumba ya mil 70 nilishasema kibanda kwenye uzi sasa kama mil 70 wanajenga kibanda basi itabidi kuhairisha. Frankly speaking nilitaka nipate ramani ya kawaida sana nianze mdogo mdogo. Najenga msingi napoa, napandisha ukuta napoa, napaua napoa ndo uwezo wangu. Sasa ramani 700k kweli nadhani hii haiko fair as well.
 
Hawa jamaa wasipoambiwa ukweli wataendelea kutapeli wananchi. So hii ni alamu kwa watu wengine wenye shida ya kujenga na hawana ramani
Ok boss. Ila nateta sababu unajua kuna mtu unakuta analalamikia kutengenezewa logo ni ghali, ilipaswa kuwa hata elf 25,000/= ikizidi sana 50,000/= mwingine analalamika kutengenezewa mahesabu ya biashara yake kwa ajili ya TRA ni ghali sababu ni kuandika andika tu. Sasa hawa professional walienda shule miaka mingi yote hiyo ya nini kama wanafanya kazi za kulipwa kama vibarua?
 
Ok boss. Ila nateta sababu unajua kuna mtu unakuta analalamikia kutengenezewa logo ni ghali, ilipaswa kuwa hata elf 25,000/= ikizidi sana 50,000/= mwingine analalamika kutengenezewa mahesabu ya biashara yake kwa ajili ya TRA ni ghali sababu ni kuandika andika tu. Sasa hawa professional walienda shule miaka mingi yote hiyo ya nini kama wanafanya kazi za kulipwa kama vibarua?
Mkuu kuna mechanical engineer kasoma miaka 4 akitengeneza nati haimanishi ndo aiuze 500,000/= eti tu alisoma miaka 4. What if ukiweka kudesign ramani kama 200,000/= na ndo wengi wanaweza afford ukapata wateja 8 kwa mwezi si una 1.6m. Au ndo unaweka 700k watu hawawezi afford usubiri mpaka wajenga magorofa. Halafu nyumba zimetofautina pia na wateja wametofautiana pia so unaweza weka range say 200k to 1m. Sasa wao kila kitu 700k hii mana yake nini?. Shida hawana elimu ya biashara na ndo hio imekuwa shida. Mama anayeuza vitumbua nitofauti na mwalimu wa primary, sekondary, mkurugenzi pia waziri.
 
Umeongea upumbavu Sana ,Kama Kuna mabosi zako wanajua ID yako lazima watakua na mashaka na wewe ,na Mimi nakataa wewe sio civil engineer ila unaweza ukawa formen tu kwenye site Fulani.
Nani aliyekudanga architect hajui load analysis,Eti naweza kuchora cantilever then ikafeli ,hivi unadhani maarchitect tunachora tu Kama tunabahatisha ?? Au unadhani miaka mitano tunayokomaa hatuelewi chochote kuhusu structure??

Hakuna achitect ambaye hajasoma structure Tena mwaka wa Kwanza Hadi wanne na nitakadesign may slab au cantilever yenye span kubwa bila support ujue nimeshacalculate , engineer unapofeli kwenye construction nitakachofanya ni kukutimu tu site nikiwa Kama bosi wako kwenye ujenzi.

Halafu kingine usidanganye watu eti unaweza kudesign na kuandaa michoro ya architect wakati wewe Ni engineer ,huo ni uongo kujifunza archiCad juu usijidanganye ushakua architect wakati watu wanaumia miaka mitano darasani.

Tupo na mainjinia wakubwa tu ila hawaongeo upupu Kama wako
Ahahaha mnagombania nani boss wa mwenzake...😂😂😂 hasira za kukaa miaka mingi darasani hizi
 
[emoji16][emoji16]Aisee kwahiyo gharama zikiisharudi mnauza elfu tano tano.
Ok boss. Ila nateta sababu unajua kuna mtu unakuta analalamikia kutengenezewa logo ni ghali, ilipaswa kuwa hata elf 25,000/= ikizidi sana 50,000/= mwingine analalamika kutengenezewa mahesabu ya biashara yake kwa ajili ya TRA ni ghali sababu ni kuandika andika tu. Sasa hawa professional walienda shule miaka mingi yote hiyo ya nini kama wanafanya kazi za kulipwa kama vibarua?
 
Mshenzi mkubwa wewe, yaani unaenda kutafuta Architect instagram? Una akili kweli wewe? Kwanza hiyo laki5 ni pesa ya site visit tu, hapo ulikuwa unatapeliwa. Bogus wewe, na hawaitwi wachora ramani, ni wasanifu majengo (Architects).
Mkuu mtu anataka kacheza na fani za watu
 
[emoji16][emoji16]Aisee kwahiyo gharama zikiisharudi mnauza elfu tano tano.
Huwez lipia hizo gharama boss. La muhimu ni kuthamini professional za watu na kuheshimu market forces. Hata ww naamini Unahitaji fani yako iheshimiwe na kuheshimiwa ni pamoja na kulipwa kulingana na thamani ya kazi.
 
Mkuu kuna mechanical engineer kasoma miaka 4 akitengeneza nati haimanishi ndo aiuze 500,000/= eti tu alisoma miaka 4. What if ukiweka kudesign ramani kama 200,000/= na ndo wengi wanaweza afford ukapata wateja 8 kwa mwezi si una 1.6m. Au ndo unaweka 700k watu hawawezi afford usubiri mpaka wajenga magorofa. Halafu nyumba zimetofautina pia na wateja wametofautiana pia so unaweza weka range say 200k to 1m. Sasa wao kila kitu 700k hii mana yake nini?. Shida hawana elimu ya biashara na ndo hio imekuwa shida. Mama anayeuza vitumbua nitofauti na mwalimu wa primary, sekondary, mkurugenzi pia waziri.
Upo sawa.
 
600,000 ramani? Aisee sio mimi mkuu. Never sifanyi huo ulofa
Yaani ww ndo BONGE LA MKUNDUNYAUZI mwizi wa construction documents za Architects and Engineers unafikiri kila mtu ana misconduct professional za wengine km ww ZOMBIE nenda kajenge kwa ramani za kuchorea MIGUU na MAFUNDIKILA site. MAVI YA KUKU WW[emoji855][emoji855][emoji31][emoji31][emoji34][emoji34]
 
Mi ramani ya kakibanda kangu nilijicholea mwenyewe wala si elimu hizo.labda ningekuwa leo ningeeeka mb nadownload yeyote naedit bas
 
Back
Top Bottom