Old - Hand
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 2,042
- 1,955
Na sidhan kama kuna hasara ya kuuza mchoro kwa laki au elfu 50.
Mraji wake ni peni.. Rula na karatasi.
Wawe serious na pesa...
Hii ramani tunatumiaga kwa reason ndogo saana ila kwa nchi yetu ramani sio kitu cha msingi saaana.
Unaweza ukaingia nyumba ya mtu ukachora rough na nyumba ikasimama...
Baada ya hapo unafoj foj vitu vingine na maisha yanasonga...
Kukaza kaza kwenye vitu vdogo kama hvyo eti kisa ulitoa ada wakati unasoma.. Utakufa maskini mchora ramani.
Mraji wake ni peni.. Rula na karatasi.
Wawe serious na pesa...
Hii ramani tunatumiaga kwa reason ndogo saana ila kwa nchi yetu ramani sio kitu cha msingi saaana.
Unaweza ukaingia nyumba ya mtu ukachora rough na nyumba ikasimama...
Baada ya hapo unafoj foj vitu vingine na maisha yanasonga...
Kukaza kaza kwenye vitu vdogo kama hvyo eti kisa ulitoa ada wakati unasoma.. Utakufa maskini mchora ramani.