No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,828
Wapo wengi tu!Huenda kuna malofa huwa wanalipa 500,000 wanajua wote tumezamia town
Wapo wengi tu!Huenda kuna malofa huwa wanalipa 500,000 wanajua wote tumezamia town
[emoji16][emoji16]Tunarusishana nyuma wenyewe kwa wenyewe jamani[emoji25][emoji25]Acha tu mkuu. Mwenyewe nilitaka nipandishe hata pagale hela nisije pigia bia ila hawa jamaa wanazingua sana.
Mainjini hawachori ramani za nyumba mkuu.acha kuchanganyaKuna Engineer Mmoja Alinicholea Ramani Ndogo Ya Vyumba Vitatu Kwa Gharama Ya Makumi Matatu (Tshs 30000/-)
Nani kakuambia?? uwe Engineer hujui kuchora Ramani?? sisi ma engineer tunachora zaidi ya ramani!Mainjini hawachori ramani za nyumba mkuu.acha kuchanganya
Halafu architect anafanya Nini mkuuNani kakuambia?? uwe Engineer hujui kuchora Ramani?? sisi ma engineer tunachora zaidi ya ramani!
Poa. Nakuchek inbox... Ukipenda unaweza kunitumia hata elfu hamsini ya soda. Ila sitakuchaji...
Architect ana kazi yake japo wengi wamebase kwamba kazi yake ni kuchora ramani.. ila architect yeye anadesign Jengo lionekane vipi.. ila muundo wote wa jengo jinsi linavyokaa ni kazi ya Engineer.. na Engineer anafanya marekebisho kwenye Ramani ya Architect.. na Shule lazima ufundishwe namna ya Kuchora ramani!Halafu architect anafanya Nini mkuu
Okay Mkuu.. tunaweza kuzungumza.. Ramani ya Nyumba ya Kuishi na Ramani ambayo si ya kuumiza kichwa.. Kuichora inachukua muda Mfupi sana.. na haihitaji Load analyis kiivoHahahah mkuu taratibu. Hapo engineer taarabu mzee. Hii maana yake mshahara wangu wote nikukabidhi mwezi huu. Msione tuko JF wngine sisi kapuku tu
Mkuu nina mpango wa kujenga Banda la ngombe kwa matofali je nahitaji kibali ??Waulize hizo gharama zinahusisha na mihuri toka kwa Architectural firms ambazo ziko registered na AQRB..? Kama jibu ni ndio basi price uliopewa ndo ya mtaani hiyo.. Ukumbuke kujenga siku hizi unatakiwa uwe na kibali toka Manispaa.. Na ili upate kibali toka Manispaa unatakiwa uwe na michoro iliyopitishwa na Manispaa.. Na ili Manispaa wapitishe michoro, wanahitaji michoro yenye mihuri ya firms ambazo mchoro umechorwa huko..
Ficha upumbavu wako wewe,acha kujidhalilisha ,mimi Ni architect Registered nafanya hizi kazi mwaka wa 7 huu.nani alikudanganya Engineer anaweza hata kugusa mchoro wa architect.eti muundo wote wa jengo ni kazi ya engineer ,Yani huelewi kazi ya engineer kwenye ujenzi ngoja nikusaidie kukupa shule kidogoArchitect ana kazi yake japo wengi wamebase kwamba kazi yake ni kuchora ramani.. ila architect yeye anadesign Jengo lionekane vipi.. ila muundo wote wa jengo jinsi linavyokaa ni kazi ya Engineer.. na Engineer anafanya marekebisho kwenye Ramani ya Architect.. na Shule lazima ufundishwe namna ya Kuchora ramani!
wewe ndio ufiche upumbavu wako, architect anajua load analysis?? mfano akachora labda tuseme cantilever ila kwenye Load analysis ikaonesha cantilever inaweza kufail je Engineer habadili mchoro? au habadili Jinsi structure inavyotakiwa kuwa? Nenda hata youtube/Google ukaangalie Michoro iliyoandaliwa na Architects then Majengo yaliyojengwa na Engineer.. Architect hajui chochote kuhusu Structure.. Mimi ni Civil Engineer ila najua kuchora Michoro anayochora Architect vizuri sana.. Sema nimesajiliwa na ERB kama Engineer.. Next time ficha Upumbavu wako.. Unafanya kazi mwaka wa 7 na hujui scenario kama hizi?? Hiyo kampuni yako ina shida kuwa na mtu kama wewe!Ficha upumbavu wako wewe,acha kujidhalilisha ,mimi Ni architect Registered nafanya hizi kazi mwaka wa 7 huu.nani alikudanganya Engineer anaweza hata kugusa mchoro wa architect.eti muundo wote wa jengo ni kazi ya engineer ,Yani huelewi kazi ya engineer kwenye ujenzi ngoja nikusaidie kukupa shule kidogo
Architect ndio team leader kwenye ujenzi yeye ndio anadesign na anaandaa michoro yote ya jengo (architectural drawings) than kazi ya engineer Ni kudesign structure bila kuathiri design ya architect hata kidogo..
Architect anaweza kukataa michoro ya engineer Kama inaathiri design ya jengo lakini engineer hawezi kubadili design yamchoro wa architect hata kidogo
Hizo ni fani za watu na wanasomea miaka mitano mkuu. Kama hutaki chora mwenyewe.
Mkuu kuna dogo langu lipo Ardhi University school of Architecture anamaliza mwakani anaweza akakupigia kazi yako safi kwa 80,000Moja kwa Moja bila hata salamu.
Niko kwenye mchakato wa kuanza kujenga ka kibanda hapa downtown kwa Bashite.
Sasa kama mjuavyo lazima uwe na ramani ya unachotaka kujenga. Nikaamua niende instagram kucheki baadhi ya wadau wanaochora ramani.
Nikafanya utafiti wa gharama. Cha ajabu kwenye page hawaweki gharama za kuchora wala gharama roughly za kujenga nyumba.
Nikamtext mmoja kumuuliza gharama ya baadhi ya ramani ambazo amepost (ni zile za kawaida vyumba vitatu) ananiambia 600,000 pomoja na makadirio ya gharama 800,000. Ikumbukwe hii anayo na ameshaichora ni suala la kuiuza.
Nikaamua kusepa. Nikaenda kwa mwingine kasema 700,000/= nikamfuata mwingine kaniambia 550,000.
Swali: Hivi njie jamaa mnafikiri sisi tunaokota hela au hamuwezi hata soma status ya wateja wenu (purchasing Power).
Natambua kazi mnayoifanya ila jaribuni kuregeza bei. Mimi mshahara 250,000 take home. So mnataka nikusanye miezi mitatu bila kula nije kununua ramani kweli.
Nilitegemegea ukiwa na ramani mtu akiitaka unamsukumia hata kwa 50,000 maisha yanaendelea.
Anyway sina maneno mengi sana. Sasa nafikiri napita mtaani nikiona mtu ananyumba nzuri nitaenda kumuomba ramani nyie zenu kaeni nazo.
Nitumie sample hata moja PM nijilidhisheMkuu kuna dogo langu lipo Ardhi University school of Architecture anamaliza mwakani anaweza akakupigia kazi yako safi kwa 80,000
Ameshafanya kazi nyingi tu za watu na makampuni mbalimbali
Kama ukihitaji nicheki nikukonect nae
Umeongea upumbavu Sana ,Kama Kuna mabosi zako wanajua ID yako lazima watakua na mashaka na wewe ,na Mimi nakataa wewe sio civil engineer ila unaweza ukawa formen tu kwenye site Fulani.wewe ndio ufiche upumbavu wako, architect anajua load analysis?? mfano akachora labda tuseme cantilever ila kwenye Load analysis ikaonesha cantilever inaweza kufail je Engineer habadili mchoro? au habadili Jinsi structure inavyotakiwa kuwa? Nenda hata youtube/Google ukaangalie Michoro iliyoandaliwa na Architects then Majengo yaliyojengwa na Engineer.. Architect hajui chochote kuhusu Structure.. Mimi ni Civil Engineer ila najua kuchora Michoro anayochora Architect vizuri sana.. Sema nimesajiliwa na ERB kama Engineer.. Next time ficha Upumbavu wako.. Unafanya kazi mwaka wa 7 na hujui scenario kama hizi?? Hiyo kampuni yako ina shida kuwa na mtu kama wewe!