Wachambuzi, Watangazaji na Kocha Msaidizi wa Yanga SC Kaze hili la Yanga SC kuwa na Fatigue mlijua baada ya Kichapo cha Ihefu FC leo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,877
Wanafiki na Wapuuzi wakubwa nyie. Yanga SC ingeifunga Ihefu FC leo mngekumbuka kusema kuwa Wachezaji walikuwa na Uchovu (Fatigue) kama mnavyosema sasa kila Mkichambua, Mkitangaza na Mkihojiwa na Waandishi wa Habari?

Na kama Yanga SC mlijua Mbeya ni mbali kwanini hamkuwahi kwenda huko ili pia muwahi kuweka Kambi Mbarali mlikochezea hii Mechi yenu?

Hivi Safari ya kutoka Mbeya Mjini kwenda Mbarali Kisayansj na hata Kiafya inaweza Kusababisha Uchovu (Fatigue) kama msemavyo?

Ihefu FC 2 na Yanga SC 1. Imeisha hiyo na msipokuwa makini na Kutulia mnaweza kufanya vibaya Mechi zenu zijazo kwani siyo Siri tena baada ya Kichapo hiki cha leo kutoka kwa Ihefu FC tayari imeshaharibu kwa 99% Saikolojia za Wachezaji wenu na Benchi lenu la Ufundi (hasa Kocha Mkuu wenu Nabi)
 
Swala la uchovu Yanga wamekua wakiliongea tangu wanarudi Tunisia, ila Quality ndio inaibeba Yanga. Leo Yanga imefungwa kwakua imefika siku ya kufungwa. Mechi ijayo Yanga inakwenda kuanza upya un beaten ya kwanza na zinaweza kuzidi 50.
 
Swala la uchovu Yanga wamekua wakiliongea tangu wanarudi Tunisia, ila Quality ndio inaibeba Yanga. Leo Yanga imefungwa kwakua imefika siku ya kufungwa. Mechi ijayo Yanga inakwenda kuanza upya un beaten ya kwanza na zinaweza kuzidi 50.
Wamekataa kupokea bahasha...mtakoma
 
Wanafiki na Wapuuzi wakubwa nyie. Yanga SC ingeifunga Ihefu FC leo mngekumbuka kusema kuwa Wachezaji walikuwa na Uchovu (Fatigue) kama mnavyosema sasa kila Mkichambua, Mkitangaza na Mkihojiwa na Waandishi wa Habari?

Na kama Yanga SC mlijua Mbeya ni mbali kwanini hamkuwahi kwenda huko ili pia muwahi kuweka Kambi Mbarali mlikochezea hii Mechi yenu?

Hivi Safari ya kutoka Mbeya Mjini kwenda Mbarali Kisayansj na hata Kiafya inaweza Kusababisha Uchovu (Fatigue) kama msemavyo?

Ihefu FC 2 na Yanga SC 1. Imeisha hiyo na msipokuwa makini na Kutulia mnaweza kufanya vibaya Mechi zenu zijazo kwani siyo Siri tena baada ya Kichapo hiki cha leo kutoka kwa Ihefu FC tayari imeshaharibu kwa 99% Saikolojia za Wachezaji wenu na Benchi lenu la Ufundi (hasa Kocha Mkuu wenu Nabi)
Wewe tulia akuna timu isiyofungwa duniani,,hizo unbeaten zinaanza upyaaaa kama ulikuwa hujui kwa yanga kufungwa ni kama vile ndio wamechokoza nyuki kwenye mzinga maneno yako yatabadilika soon
 
Swala la uchovu Yanga wamekua wakiliongea tangu wanarudi Tunisia, ila Quality ndio inaibeba Yanga. Leo Yanga imefungwa kwakua imefika siku ya kufungwa. Mechi ijayo Yanga inakwenda kuanza upya un beaten ya kwanza na zinaweza kuzidi 50.
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
 
Acha kujifariji kuwa mnaanza upya. Mmepigwa kwenye majaruba mchana kweupeeeee.
Bahati nzuri yanga aijawai kujifariji kwakuwa awana timu ya kubahatisha kama ngada fc, na rekodi imewekwa ili muifikie labda vitukuu vyenu ndio vitakuwepo, na ni ajabu timu inapoteza lakini still bado iko kileleni na mechi 2 mkononi kwa maana iyo mtaendelea kuteseka
 
Bahati nzuri yanga aijawai kujifariji kwakuwa awana timu ya kubahatisha kama ngada fc, na rekodi imewekwa ili muifikie labda vitukuu vyenu ndio vitakuwepo, na ni ajabu timu inapoteza lakini still bado iko kileleni na mechi 2 mkononi kwa maana iyo mtaendelea kuteseka
Kubaki kileleni haibadili ukweli jana mmepigwa kipigo cha mbwa mwizi huko ubaruku, mbalali.

Na kuonesha kipigo cha jana kimewatoa njiani ni kuwa mmebakisha kiporo kimoja sio viwili mkuu. Uzuri wa stress unaweza jaribu kuonesha sura iko vizuri ila sauti haitoki.
Game ijayo tunasimama kupiga makofi dakika ya ngapi mkuu?
 
Kubaki kileleni haibadili ukweli jana mmepigwa kipigo cha mbwa mwizi huko ubaruku, mbalali.

Na kuonesha kipigo cha jana kimewatoa njiani ni kuwa mmebakisha kiporo kimoja sio viwili mkuu. Uzuri wa stress unaweza jaribu kuonesha sura iko vizuri ila sauti haitoki.
Game ijayo tunasimama kupiga makofi dakika ya ngapi mkuu?
Yanga haitolewi njiani kirahisi kama unavyofikiria, Hii ni yanga taifa kubwa zinapoisha dk 90 mawazo yanahamia kwenye mechi inayofata hivyo maumivu yataendelea kwenu kama kawaida
 
Kubaki kileleni haibadili ukweli jana mmepigwa kipigo cha mbwa mwizi huko ubaruku, mbalali.

Na kuonesha kipigo cha jana kimewatoa njiani ni kuwa mmebakisha kiporo kimoja sio viwili mkuu. Uzuri wa stress unaweza jaribu kuonesha sura iko vizuri ila sauti haitoki.
Game ijayo tunasimama kupiga makofi dakika ya ngapi mkuu?
Kaze alinukuliwa akisema hiyo unbeaten sio malengo ya club ni natokeo tu yanatokea hivyo lakini haipo kwenye mipango ya timu.(aliyasema haya kabla hata ya mechi ya ihefu)
Ni sisi mashabiki tunaikuza, malengo yapo palepale ni ubingwa na hilo liko wazi ndio maana wapinzani wa yanga furaha yao sio kuhwa kwasababu pamoja na kupigwa kwa wananchi hakijabadilika kitu kwenye msimamo.
 
Back
Top Bottom