GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,642
- 109,014
Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa iko katika Fomu na inacheza Mpira wa Kiushindi, Uhakika na wa Malengo bila kusahau wa Kimkakati pia.
Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.
Huyu Kocha Mkuu wa Al Ahly FC akimaliza Wiki ijayo kama hajafukuzwa basi nitaogelea (nitapiga Mbizi) kutoka Magogoni Feri hadi Kigamboni.