Wachagga na Serikali ya Magufuli

Wachagga na Serikali ya Magufuli

Status
Not open for further replies.
Wachaga mnapenda sifa tu lkn hamna kitu kabisa.

Kila siku utasikia Moshi imeendelea ooh imendelea.

Sasa kwa taarifa yenu Tanga imeendelea kuliko Kilimanjaro.

Tanga ni jiji while Moshi ni manispaa.


Kwa taarifa yenu hata Dodoma itakuwa jiji first kabla ya Kilimanjaro!!!

Mmekalia kujisifu wenzenu wanapiga kazi .

Kaeni hivyo hivyooooo.

Kama kunywa mbege ndio maendeleo hapo sawa
 
Makabila yapo zaidi ya 100, leo hii kabila moja linajitokeza na kudai haki ya kuwepo ndani ya baraza la mawaziri!. Mungu ni mkubwa na hili pepo la ukabila litatutoka. Naomba wote tuitikie kwa pamoja tukisema AMEEEEN.
 
Wachaga mnapenda sifa tu lkn hamna kitu kabisa.

Kila siku utasikia Moshi imeendelea ooh imendelea.

Sasa kwa taarifa yenu Tanga imeendelea kuliko Kilimanjaro.

Tanga ni jiji while Moshi ni manispaa.


Kwa taarifa yenu hata Dodoma itakuwa jiji first kabla ya Kilimanjaro!!!

Mmekalia kujisifu wenzenu wanapiga kazi .

Kaeni hivyo hivyooooo.

Kama kunywa mbege ndio maendeleo hapo sawa

Hao wagogo watapata maendeleo kwa kwa huo umatonya wao ???

Tanga Nyumba Mganga Nyumba Shoga Hayo maendeleo yatakujaje ??? Kilimanjaro ndy tunawaongoza nyie
 
NB.
Kilimanjaro ni manispaa

Tanga ni jiji/ city.


Naomba ujue kutofautisha kati ya city council na municipal council..


Moshi mtasubili sana
 
Ww akili yako ni ndogo sana, Tanzania kuna makabila Mangapi? Je ukijumlisha makabila yote nchini, unafikiri yanaweza kuwakilishwa kwenye Idadi hiyo ya mawaziri na ma Km na Nkm. Mawazo ya kipumbavu kabisa
 
Hii Tanzania ni yetu sote zamu hii ya watu wengine mbona miaka yote Kaskazini mnatoa Mawaziri wakuu kama Msuya, Lowassa, Sumaye, Sokoine, na Mawaziri wengi tu na Mramba, Chami, Yona, lakini watu wa mikoa mingine hawalalamiki.
Ni kweli wasipende kulalamika. wote uliowataja walitokea kaskazini.ni ubiinafsi unawasumbua hao.
Hapa Kazi Tu.
 
Wachaga mnapenda sifa tu lkn hamna kitu kabisa.

Kila siku utasikia Moshi imeendelea ooh imendelea.

Sasa kwa taarifa yenu Tanga imeendelea kuliko Kilimanjaro.

Tanga ni jiji while Moshi ni manispaa.


Kwa taarifa yenu hata Dodoma itakuwa jiji first kabla ya Kilimanjaro!!!

Mmekalia kujisifu wenzenu wanapiga kazi .

Kaeni hivyo hivyooooo.

Kama kunywa mbege ndio maendeleo hapo sawa
Tatizo umeandika bila kuelewa unachokizungumzia
Moshi ingekua jiji mda mrefu tu kwa kua vigezo vya kua jiji inavyo toka 2005 tatizo ni ukubwa wa manispaa ya moshi
Halmashauri ya Hai waligoma kujiunga na manispaa ya moshi ili iitwe jiji
Hai walisema na wao wanataka kufikia hadhi ya manispaa so hawawezi kujiunga na manuspaa ya moshi
Sijui sasa mazungumzo yanaendelea au la
 
hivi makabila yote tanzania yakisema hivyo tutafika kweli?....kuna makabila mangapi hayana uwakilishi unaodai wewe?
 
Magufuli anaendana na watu wa mkoa wa Ruvuma akina Mhagama Jenister, Eng. Stella Manyanya, Eng. Ramo Makani na wengineo wengi walio kula shavu toka pande hizo. Nyie (Wachaga) endeleeni kusaga meno.
 
Wachagga mna roho ya ubinafsi sana. Mnataka nini kila siku nyie kulia lia tu,
Tangu lini Wachagga mkaipenda CCM? KUMBUKENI MAGUFULI ANATOKA CHAMA CHA MAPINDUZI


Mrema alimpigia Magufuli debe na clip IPO.
 
Uteuzi wa viongozi hukuangalia ukabila, ametumia vigezo vya uwezo. Nathani wewe umetumia vigezo vya ukabila kuchambua uteuzi aliofanya Rais Dr Magufuli
Don't get me wrong, MM ni mchagga lakini sipendi kuangalia vitu kwa ukabila.
Tafadhali!!!! uteuzi umezingatia elimu sio uwezo, kuwa prof au PHD sio uwezo ni elimu! Sina haja ya kutoa mifano au references hapa.
 
Tuache upumbavu na ulofa. Kwani ni lazima awepo mchaga.. hizi fikra za kipumbavu ndo zinalilirudisha bara la afrika nyuma
 
Tatizo umeandika bila kuelewa unachokizungumzia
Moshi ingekua jiji mda mrefu tu kwa kua vigezo vya kua jiji inavyo toka 2005 tatizo ni ukubwa wa manispaa ya moshi
Halmashauri ya Hai waligoma kujiunga na manispaa ya moshi ili iitwe jiji
Hai walisema na wao wanataka kufikia hadhi ya manispaa so hawawezi kujiunga na manuspaa ya moshi
Sijui sasa mazungumzo yanaendelea au la
umeona dhambi ya ubaguzi inawatafuna hadi wenyewe.....mtaendelea kusubiri hai iwe manispaa na moshi iwe jiji hadi mtwara iwe jiji....hamjui umoja ni nguvu?
 
umeona dhambi ya ubaguzi inawatafuna hadi wenyewe.....mtaendelea kusubiri hai iwe manispaa na moshi iwe jiji hadi mtwara iwe jiji....hamjui umoja ni nguvu?
Sasa badala ya kuipongeza Hai kwa kuwaza maendeleo yao wewe unasema ubaguzi
Hiyo manispaa ya moshi yenyewe ni ya kuifananisha na dar kwa maendeleo sio tanga ndugu
 
Hao wagogo watapata maendeleo kwa kwa huo umatonya wao ???

Tanga Nyumba Mganga Nyumba Shoga Hayo maendeleo yatakujaje ??? Kilimanjaro ndy tunawaongoza nyie

Mkuu huku rombo hakuna wanaume kabisa, wanawake wa rombo wanaenda Kenya kutafuta wanaume, wanaume wa hapa rombo asilimia 90 wameolewa wanakunywa viroba tu
 
Tatizo umeandika bila kuelewa unachokizungumzia
Moshi ingekua jiji mda mrefu tu kwa kua vigezo vya kua jiji inavyo toka 2005 tatizo ni ukubwa wa manispaa ya moshi
Halmashauri ya Hai waligoma kujiunga na manispaa ya moshi ili iitwe jiji
Hai walisema na wao wanataka kufikia hadhi ya manispaa so hawawezi kujiunga na manuspaa ya moshi
Sijui sasa mazungumzo yanaendelea au la

Moshi mbona kamji kamanispaa ka kawaida tu, ukitoka city centre Ukienda 10km ni porini sasa unajisifu nn hapa?
 
Magafuli amesema safar hii hafany kazi na wanafiki sasa kama kuna ambae hajateuliwa basis atakuwa na sifa kama izo labda ungeanzisha Uzi wa kuwashaur kwa nn kila kashfa pale Bandar in lazima mchaga awemo why?.... Why?...
Wachaga mlianza kujitenga wenyew kwa kujiona mnafaa zaidi ya wengine
Mnasema ccm imechoka wakat huo huo mnalilia kuteuliwa na ccm daaaaaaaaa mnachekesha sana
 
Yn huyu kila uteuzi wa rais ukitoka anakimbilia kuona kabila lake ...sasa ht km hawafai kuongoza wachaguliwe tu?? Kuna watu ni matahira...kila kabila likianza kujikagua tutafika
Hapa ndio nimejiridhisha kuwa kweli wachaga ni wabinafsi

Kabisa ndugu yangu na mngewapa nchi mngeandika historia vizazi vyote vijavyo wangeisoma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom