Wachaga ni Noma!

ungekuja usukumani ungezimia magari ni lundo,hata ndege zinakera kwa kujazana angani!

mkuu navyosikiaga wasukuma wengi wana pesa ndefu si mchezo na ni watafutaji pia
lakini me usukumani sijawah kufika ndo maana nimepaongelea kilimanjaro marangu kwasbb nimejionea mwenyewee
 
majambazi yamepungua sana mjini hapa,kumbe yako moshi yanakula sikukuu kwi kwi kwi xmass ingekuwa mwaka mzima ingekuwa raha sana
 
Nini wachaga bhana mie nina mpango wa kwenda kwetu kwa helkopter ya kukodi inaakaa ikinisubiri hadi mwaka mpya narudi dar, nani bingwa hapo sasa? kudadek! Lakini mie pesa zangu za UKOO sio za kukaba.
 
Nyie wa kuja ndo hamjui! Sisi tunajua! Walioko huku Kilimanjaro tunajua kuwa wengi hukodisha hayo mnayoyaita ma range na nini sijui! Ngoja lipate ajali ndo utajua lake ama vipi!

Hata nyumba za kijijini wanakodisha!!?
 
Hata makabila mengine wana hayo magari na maisha mazuri sana, ila wengi wao wakishafanikiwa hawarudi makwao tena hawapapendi, hata watoto wao utakuta wanajitapa kijinga eti ooh unajua mimi asili yangu ni Namtumbo lakini sijawahi kufika, you know even My Dad ame settle hapahapa Dar. Sasa ndio hawa wakifika kwa wachaga wanashangaa nakuweka POST JF. Nilishawahi kufika sehemu moja Moro kwao na jamaa yangu kwakweli nilisikitika sana maana Hadhi na mali walizonazo Dar haziendani na kwao, tena Grandparents wote wapo lakini wanapoishi sasa!!!1 Jamaa akaanza kujibalaguza kwakusema eti Baba yake kawashawishi sana wazee hao kuhamia Dar ila wamegoma. Wachagga wana invest Mjini lakini wanahakikisha wanajenga kwao tena nyumba ya maana na wenzake wakiona mjengo nao wanahakikisha wanajenga na ndio maana kunazidi kuwa pazuri sana. WANA SPIRIT YA MAENDELEO NA ZAIDI WANAPAPENDA SANA KWAO . Tuige kutoka kwao. Makabila yote TZ tungekuwa kama hawa jamaa na makabila ya mbeya na Kagera basi kwa kiasi fulani tusingekuwa hapa. PIA TUACHE KUWAPIGA MAJUNGU ETI SERIKALI INAPAPENDELEA KWAO, WAKATI WAO NDIO WANAOPAPENDA KWAO.
 

Mkuu ahsante sana una akili sana wewe
 
mimi nilishawakubali siku nyingi wachaga,wana spirit ya ajabu kwenye kusaka maendeleo,si wanawake si wanaume..wajomba zangu na mama zangu wazaramo kutwa kushinda barazani kumpiga majungu mayasa na sikuzani!
 
Chunga tu wasikufundishe kuiba.
 
mimi nilishawakubali siku nyingi wachaga,wana spirit ya ajabu kwenye kusaka maendeleo,si wanawake si wanaume..wajomba zangu na mama zangu wazaramo kutwa kushinda barazani kumpiga majungu mayasa na sikuzani!
Umenena mkuu! ila wazaramo huwa wananifurahisha kwa ukomedi: si umeshasikia story mtu anatoka Posta kwenda Banana halafu anapitiliza hadi Gongo la mboto kisa nauli yake iishe. Halafu anarudi kwa miguu banana. " Mwee Nimemkomoa dereva leo!!"
 

Siku ya new year kaa hapo kilimani uone mashine ni balaa!
 
Wengi hukodisha pia.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ila tuwe wakweli jamani. tabia hii ya kurudi nyumbani kila mwisho wa mwaka inapendeza kwakweli. Mi binafsi natamani kabila langu tungekua tuna spirit hii ya kichaga ya kurudi home. Kwanza inafanya mtu ujitambue kwa kweli kwa kiasi gani umeachive pili itakufanya u work hard ili ufikie target flan hivi ili mwakani ukienda uwe wa level flan. Big up kina Malya popote mlipo.
 
Utakodisha rolls Royce bongo,acha utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…