figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 26,654
- 59,078
Bunge lataka CAG asipeleke Ripoti yake Bungeni kisa itamharibia Rais Samia kuelekea Uchaguzi Mkuu
Wabunge akiwemo kibajaji, amedai muda hautoshi. Ripoti ya CAG ipelekwe Bungeni Mwenzi Novemba baada ya Uchaguzi Mkuu. Amedia kama ikipelekwa bunge hili kuelekea Uchaguzi Mkuu, itapunguza kura za Rais Samia.
Kadai Mafisadi waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ya 2023-2024 watashughulikiwa kuanzia Novemba kwasababu sasa hivi Serikali ina mengi ya kufanya na muda ni Mdogo.
Wabunge akiwemo kibajaji, amedai muda hautoshi. Ripoti ya CAG ipelekwe Bungeni Mwenzi Novemba baada ya Uchaguzi Mkuu. Amedia kama ikipelekwa bunge hili kuelekea Uchaguzi Mkuu, itapunguza kura za Rais Samia.
Kadai Mafisadi waliotajwa kwenye ripoti ya CAG ya 2023-2024 watashughulikiwa kuanzia Novemba kwasababu sasa hivi Serikali ina mengi ya kufanya na muda ni Mdogo.