Kwamba na usomi wao wote wabunge walikurupuka tu hawa kutoa taarifa yoyote, sidhani, msimtete huyo jamaa ni jeuli, na anajua jeuli anaitoa wapi. Wanapo kuja wanakuja mikona nyuma wakishapewa wanagalambuka wanakuwa si waungwana tena. Ndiya maana Mgabe aliwatimua kwa ajili ya mambo kama haya haya.Mutu akishawekeza ni private matter ,hamuwezi kwa kuwa ni wabunge tu mtoke na makoti yenu hata hayajapigwa pasi mtokako mkaingilie sehemu ambayo mtu amewekeza kwa fedha yake ,kuna kitu ni private na kama hiyo ni hoteli basi muwekezaji atakuwa yupo katika mstari na pengine hata nyie mnaotaka kwenda huko akiwemo Raisi hamtoweza kwenda bila ya mipango maalumu,kwani jukumu la usalama na amani ni la huyo muwekezaji ,mpeni taarifa mnaedna saa ngapi,mtakuwepo huko kwa muda gani ,je mtataka muandaliwe chakula mtalipa ,mtalipiwa au muandaliwe free.
Haiwezekani kabisa na si sheria na mnaweza kuitia serikali hasara ikiwa muwekazaji atakuwa na wanasheria wajanja ambao uzembe kama huo uliofanywa na kina Cheo na wenzake kujipeleka kichwa kichwa wanaweza wakautumia na kuomba walipwe fidia.
Katika suite kama hizi ambazo zinakuwa well secured si sehemu za kwenda tu kwa kuwa wewe au nyinyi ni wabunge mukusanyane huko eti mnaenda kuangalia shughuli zinaendeleaji ,hizi si shughuli zenu mmeshakatiwa chenu kaeni pembeni mnataka kwenda pelekeni taarifa msubiri majibu yaani mlifikiri mnaenda kutembelea soko la kariakoo ,hivi atoke mlala hoi na kulekea kwenye jengo la bunge mtamruhusu ? maana hao wabunge amewachagua yeye na wanamuwakilisha yeye na kinachojadiliwa hapo ni kwa ajili yake ,hivi atapata ruhusa ya kuingia ndani na kuangalia shughuli za bunge na wabunge wanavyojadiliana.
Nafikiri hawa wabunge wanahitaji elimu juu ya nini maana uwekezaji naamini kabisa hata Raisi hawezi kwenda hapo bila ya taarifa seuze hawa wabunge masikini za Mungu wanaotoka vijijini hawakuelewa kama kuna mipaka ya kazi zao na sio kuenda popote tu kwa kuwa yeye ni mbunge ,haiwezekani hilo wamefanya ni kosa,na nyie mnaolalamika kuwa wazalendo wanatimuliwa ni lazima watimuliwe kwani hilo eneo limeshakodishwa sasa wao wadai feza inayopatikana huko,mikataba ilitiwa saini huko , wenyewe wanasema na kuandika ,NO TRACE PASSING. yaani mtu akishaweka kibao hicho basi ana haki hata ya kukupiga risasi ujinga ni wako kwa nini hukuenda shule ,waelimisheni wenzenu huko vijijini sio mnakimbilia kuwekeza tu ,halafu mnataka mkate mbuga ,mbona ukikatiza kwenye kambi za jeshi unapelkwa mchura ,naona kuna elimu inahitajika.
Kuna mmoja nimemshangaa amesema kwa nini hawa wabunge hawakutumia power zao ,mbona mimi sijaziona hizo power zao toka liundwe hili Bunge la Tanzania ,nasikia wanaweza kuweka shilingi mbona sijaona na miswada mibovu inapita kila siku tusidanganyane power zao labda kwa mimi mlala hoi wanaweza wakaniitia polisi na kunifunga lakini sio hapo ,huyo mzungu yupo juu ya sheria na wangelijidai kutumia nguvu basi ungesikia jamaa anadai bilioni nyingine anaidai serikali ,serikali itabidi ilipe na fungu jingine anapewa Cheyo.
Watu wengine mnashangaza! how far are you sure kwamba wabunge walikwenda bila taarifa. Halafu unaposema kwamba watawasumbua wageni waliomo humo hotelini, inamaana hao wabunge wangeonana na huyo bwana kwenye vyumba vya wageni au kwenye ofisi. Watanzania ni watu wa ajabu, wabunge wasipo fuatilia vitu kama hivyo mnasema, ooh tume wapa kula zetu kwenda kukaa bungeni tu na kupata posho sasa wameamua kufanya kazi, ooh wanakwenda bila utaratibu na suti ambazo hazija nyoshwa(matusi) wewe ni mtanzania kweli unaye sema hivyo una masilahi gani pale VIP htl
Source: MajiraNaye Mbunge wa Kwamtipura, Bw. Zuberi Ali Maulid (CCM), alisema: "Tulipotaka kwenda katika hoteli hiyo, tuliambiwa kwamba mwenyewe amekataa kwamba wageni wake hawataki usumbufu, hao watu walitoka katika sayari gani, Jupiter au Saturn?.
TUmeshauza kila kitu, hata hati miliki ya nchi si ya kwetu tea, tunaishi kwa kupangisha katika ardhi ya wenye pesa. Ngojeni Ukimwi utumalize ili wenye mali warudi kwenye ardhi yenye rutuba mpya![/QUOTE]
Mkuu Rev,kwenye hiyo quote,imenitia majonzi sana,kwani ndiyo ukweli wenyewe huo!.Wala serikali yetu haijishughulishi na chochote juu ya gonjwa hili linalotumaliza!.Hapo ninamaanisha kuwa tumekuwa wategemezi mno wa kila kitu kutoka kwa wazungu.jamani tunashindwa hata kuwa serious na maisha yetu wenyewe!,sembuse mzungu.
ahsante mkuu,inauma sana
Kwamba na usomi wao wote wabunge walikurupuka tu hawa kutoa taarifa yoyote, sidhani, msimtete huyo jamaa ni jeuli, na anajua jeuli anaitoa wapi. Wanapo kuja wanakuja mikona nyuma wakishapewa wanagalambuka wanakuwa si waungwana tena. Ndiya maana Mgabe aliwatimua kwa ajili ya mambo kama haya haya.
Naona sasa wabunge wa upinzani watakosa mabomu ya kulipua bungeni.
Hongera ccm kwa kazi nzuri.
Mutu akishawekeza ni private matter ,hamuwezi kwa kuwa ni wabunge tu mtoke na makoti yenu hata hayajapigwa pasi mtokako mkaingilie sehemu ambayo mtu amewekeza kwa fedha yake ,kuna kitu ni private na kama hiyo ni hoteli basi muwekezaji atakuwa yupo katika mstari na pengine hata nyie mnaotaka kwenda huko akiwemo Raisi hamtoweza kwenda bila ya mipango maalumu,kwani jukumu la usalama na amani ni la huyo muwekezaji ,mpeni taarifa mnaedna saa ngapi,mtakuwepo huko kwa muda gani ,je mtataka muandaliwe chakula mtalipa ,mtalipiwa au muandaliwe free.
Haiwezekani kabisa na si sheria na mnaweza kuitia serikali hasara ikiwa muwekazaji atakuwa na wanasheria wajanja ambao uzembe kama huo uliofanywa na kina Cheo na wenzake kujipeleka kichwa kichwa wanaweza wakautumia na kuomba walipwe fidia.
Katika suite kama hizi ambazo zinakuwa well secured si sehemu za kwenda tu kwa kuwa wewe au nyinyi ni wabunge mukusanyane huko eti mnaenda kuangalia shughuli zinaendeleaji ,hizi si shughuli zenu mmeshakatiwa chenu kaeni pembeni mnataka kwenda pelekeni taarifa msubiri majibu yaani mlifikiri mnaenda kutembelea soko la kariakoo ,hivi atoke mlala hoi na kulekea kwenye jengo la bunge mtamruhusu ? maana hao wabunge amewachagua yeye na wanamuwakilisha yeye na kinachojadiliwa hapo ni kwa ajili yake ,hivi atapata ruhusa ya kuingia ndani na kuangalia shughuli za bunge na wabunge wanavyojadiliana.
Nafikiri hawa wabunge wanahitaji elimu juu ya nini maana uwekezaji naamini kabisa hata Raisi hawezi kwenda hapo bila ya taarifa seuze hawa wabunge masikini za Mungu wanaotoka vijijini hawakuelewa kama kuna mipaka ya kazi zao na sio kuenda popote tu kwa kuwa yeye ni mbunge ,haiwezekani hilo wamefanya ni kosa,na nyie mnaolalamika kuwa wazalendo wanatimuliwa ni lazima watimuliwe kwani hilo eneo limeshakodishwa sasa wao wadai feza inayopatikana huko,mikataba ilitiwa saini huko , wenyewe wanasema na kuandika ,NO TRACE PASSING. yaani mtu akishaweka kibao hicho basi ana haki hata ya kukupiga risasi ujinga ni wako kwa nini hukuenda shule ,waelimisheni wenzenu huko vijijini sio mnakimbilia kuwekeza tu ,halafu mnataka mkate mbuga ,mbona ukikatiza kwenye kambi za jeshi unapelkwa mchura ,naona kuna elimu inahitajika.
Kuna mmoja nimemshangaa amesema kwa nini hawa wabunge hawakutumia power zao ,mbona mimi sijaziona hizo power zao toka liundwe hili Bunge la Tanzania ,nasikia wanaweza kuweka shilingi mbona sijaona na miswada mibovu inapita kila siku tusidanganyane power zao labda kwa mimi mlala hoi wanaweza wakaniitia polisi na kunifunga lakini sio hapo ,huyo mzungu yupo juu ya sheria na wangelijidai kutumia nguvu basi ungesikia jamaa anadai bilioni nyingine anaidai serikali ,serikali itabidi ilipe na fungu jingine anapewa Cheyo.
Sasa kama mbunge hapigi pasi sio msafi unategemea unategemea akasimamie au achaguliwe waziri ,si ndio unaona watu wanavyopukutika kwa ukimwi ,sababu hawa watu hawana mpamgo na waliowachagua ,walikwenda huko kusaka njia ya kurudisha takirima tu.Mkuu Mwiba.
Naamini hapa utakuwa unakufuru. Mbunge hata kama akitoka bila koti kupigwa pasi bado ni mbunge ndiyo namaanisha Mwakilishi wa Wananchi. Na bado ana dhamana ya kuwakilisha wananchi. Kwa hiyo huyo mwekezaji hata kama atakuwa anafanya upupu basi aachiwe tu aendelee kufanya eti kwa sababu ni muwekezaji. Yaliyotokea Greenland Bank hayawezi kufumbiwa macho.
Ndiyo Faida au hasara ya rushwa!!
...
Toka nije hapa Marekani Miaka 8, Raisi wa Denmark/Swis/ German/ Russia/Japan/ walishafika mara moja au mbili tu, lakini Jakaya ni kila Mwezi yuko hapa kupangusa miguu ya Bush na kuomba omba kama hana akili nzuri vile.
Jaribu kufikilia Investors anatoka nje ya Marekani na Kuja hapa Marekani, Masenata wanamtembelea tena kwa kufanya appointment, wakifika uwafukuze, sijui hiyo biashara utaifanyia wapi!!, ni siku hiyo unafunga virago vyako. Huyo Investor anafanya makusudi kwa vile Kikwete keshapata zake 10% kuuza sehemu hiyo, ndo maana kila baada ya dakika chache utamsikia Kikwete yuko Marekani. Na hicho ndo kinampa kiburi sana huyo mwekezaji.
Usitudanganye Mkuu! Umesikia lini kamati ya senate inaenda Seattle kuikagua Microsoft. Mbunge kutembelea, kwa makubaliano si kitu cha ajabu lakini si kamati iende ati kumkagua mtu binafsi. .... Wafanyabiashara wa kibongo (kama huyo kiongozi wa msafara) wengi wamefilisika kwa kuwatetemekea wanasiasa badala ya kuangalia wateja!
...Hizi kamati za bunge zimekuwa zikitembelea kukagua mashirika ya umma kibao na hamna la maana walichofanya kuyanusuru yasifilisike. Leo waende kwa mwekezaji na kudai kukaa na meneja kujadili namna anavyoendesha biashara yake na kuangalia vitabu vyake! Mbona mnatutania wenzenu?
Masaka kwani ni Lazima kila kinachoanzishwa JF kilenge kushindanisha chama fulani na fulani?
Nilidhani kulikua hakuna haja ya kuleta hilo uliloleta lisipotakiwa kuletwa na wewe ukaliweka
Huyu bwana masaka ni idiot sana, sijui mbegu zingine zilitengenezwa vipi, Jamani kuweni mbali na hii familia la sivyo mutapata watoto wenye utindio wa ubongo kama huyu jamaa. Nadhani ni Family history. Kwa wale ambao hawajaoa au kuolewa watch out, jaribu kuwa mbali la sivyo ni disaster kwa generation yako.