..Wabongo tuwe wastaarabu...khaaaah

Nilistuka nilipoona neno "WABONGO SIO WASTAAR...."
Kumbe inatuhusu watu specific , ambao ni sisi wanaume!
But headin' ina combine Wabongo wa gender zote .
Nilicho notice mie hapa wamama haiwahusu , kwa muamala mmoja ni mtihani kwao to dischurge shotcall kwenye sink .
Wababa tunajifedhehesha sie wenyewe , na tujikanye kwa upumbavu type hii.
 
Bora hata ukojoe sakafuni.bt nailaumu serikali ya ccm ilo wanyma elimu.
 
Bora hata ukojoe sakafuni.bt nailaumu serikali ya ccm ilo wanyma elimu.

sidhani kama ccm has anything to do with this!...do you need politicians to teach abt making good use of urinals?goodmanner iko ndani ya ustaarabu wa mtu binafsi!
 

Nitonye umechangia ukiwa unasinzia...? mbona mwandiko mbaya sana?
 
Tumezoea automatic toilets, zinajiflash lol
choo cha shimo for life!
 
Nitty,
wakati mwingine uchafu kama huu sio uswazi tu...mlimani city ambako tunaamini wastaarabu/wauza sura kibao lakini unakuta mtu anatoka chooni unapishana nae,ukifika ndani kaacha gogo hajaflash...huo ni UNGESE!
Akili na utashi haviko sawa tu
 
Inaezekana kunasababu iliyowafanya hao jamaa kukojoa hapo mahali, mtoa maada hukuipata hyo?
 
Bora hata ukojoe sakafuni.bt nailaumu serikali ya ccm ilo wanyma elimu.

Aisey ! Yaani umemchukia Ng'ombe si basi chuki yako ikaishia kwa Ng'ombe ?
Wewe unachukia hadi Ngoma !
Kwakua tu imewambwa kwa ngozi ya yule Ng'ombe ?
Unachuki hadi na wanaocheza mdundo wa Ngoma !
Utajinyima kunenepa hivihivi .
 
Aisey ! Yaani umemchukia Ng'ombe si basi chuki yako ikaishia kwa Ng'ombe ?
Wewe unachukia hadi Ngoma !
Kwakua tu imewambwa kwa ngozi ya yule Ng'ombe ?
Unachuki hadi na wanaocheza mdundo wa Ngoma !
Utajinyima kunenepa hivihivi .

asante kaka!
 

Una uhakika gani kama ni wanaume na si wanawake?
 
huu uwanja haukutakiwa kujengwa sehemu zile maana wahudhuliaji wakubwa ni wakutoka uswahilini. Watu wa uswahilini hawanaga haya ustaarabu wao ni zero kabisa

Ushaanza ubaguzi usiokuwa na maana sasa kwani ni watu wa uswailini tu wanaoingia kushabikia mpira pale?
 
Ustaarabu kitu cha buree jamani! Mhh inasikitisha sana ni uchafu uliopitiliza
 
sina la kusema.....
nakumbuka wakati tupo chuo......
kuna mtu alipanda kwenye sinki(ila yale yalikuwa imara zaidi, yamejengewa na kupigwa marumaru) akaachia mzigo humo.....
tena ilikuwa dakika chache toka watu wa usafi wamalize kufanya usafi...na ilikuwa asubuhi...
 
Hata hayo masink yakunawa mikono ni mabovu na hayafanyiwi matengenezo,. Kwa hiyo mtu hata akinawa mikono maji yatatuama kwenye hayo masink...
Bongo bwana kila sehemu vidonda
 
Hata kama ni mabovu kwa nini wajisaidie hapo?

Wamekosa ustaarabu sana,...daaah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…