Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

Jamaa anakuwa kijeshi jeshi kutwavnzima, halafu anatarajia pafomansi kitandani, kama siyo wendawazimu ni nini! Jinga kabisa, subiri akutane na wa romantiki sasa, mfyuuuu...
 
Jamaa anakuwa kijeshi jeshi kutwavnzima, halafu anatarajia pafomansi kitandani, kama siyo wendawazimu ni nini! Jinga kabisa, subiri akutane na wa romantiki sasa, mfyuuuu...
 
Mambo ya romantic tuwaachie tamthilia ambao wako uchumi wa juu sio sisi wa uchumi wa kati. Ukute unatoka kazini sasa unaambiwa ukipita Kariakoo nichukulie matunda wakati unafanya kazi Posta halafu unaambiwa gesi imeisha na Junior mwili unachemka ana homa. Yaani ni totally confusion.

Kila mtu ni romantic ila wamama pia mjifunze muda wa kuleta hoja zenu, maana nyingine mpk zinafanya nguvu za kiume zinapungua na ukirudi nyumbani unakuta mapokezi sifuri sasa utakuwaje romantic? Tuko romantic kwa michepuko kwa kuwa inajua timing zote za mahaba. Mtu unapokelewa kwa mabusu unabebwa mgongoni, unalishwa, unaogeshwa, unapakwa mafuta, unavalishwa kama mtoto mdogo. Yaani michepuko inafanya mambo kama anayofanya mama mzazi kwa mtoto. Ndio maana tunaipenda sana
 
Sasa kama mtu umejaribu kuwa romantic halafu majibu yake anakwambia usimletee hizo mambo za kwenye tamthilia za kifilipino .huyo mtu nitamsaidiaje kwa mfano.

Siku akipatikana atakakubali kuwa treated like a 🤴..I’llbe zea...😩😩
Ulitumwa na nani uvamie machaliii wa Araaaa....

pigo za kifilipino ziache kwenya mamuvi yakina amzakhanun bana...
 
Hiyo ni ushamba zaidi, kuwa romantiki inaboresha mahusiano, ujeshi jeshi siyo ishu kabisa, na hiyo inaweza sababisha kumong'onyoka kwa penzi
Hahahah we unadhani u romantiki ndio wadhifa wa kustawisha penzi.

Utakuja kupigwa na butwaa siku ambayo utagundua mpenzi wako anakazwa na jamaa ambaye ni mbabe mbabe hivi na kauzu 🤣🤣🤣 au mvuta bangi hivi muhuni tu. Ndipo utalia na kusaga meno.

Ishi na mkeo unavyoona sahihi kwako usihangaike na mambo ya u romantiki sijui blah blah
 
Ila wabongo mjifunzeni kuwa romantic kwenye mahusiano/ndoa. Penzi linanoga ukiwa romantic bana.

Yaani sijajua sijui ni desturi au ni ushamba yaani unakuta mwanaume unarudi home unamkuta wife jikoni anapika we unaketi sebuleni unasubiri amalize Kupika alafu eti yeye ndo anaanzisha salamu.

Kwa walio romantic unakuta anamfuata wife jikoni makiss Kama yote alafu anamsaidia na kupika

Ila eti wewe unajikuta kidume no romantic moves kwenye ndoa.

Wengine hata kuambiana Nakupenda kwenye ndoa ni shida yaani mnaishi kijeshi jeshi..

Wengine hata kukumbatiana wife akirudi au hata kumtia moyo kwa maneno ya kimahaba hapana ni full ukomandoo!

Hata mkipita Town kumshika hata mke wako kimahaba huwezi.Yaani mkiingia Town kila mtu chocho zake ilimradi msionekane pamoja..

Hizi tamthilia za wa mexico hizi zitakuja tengua mtu kiuno!!!
 
Huyo kuoa sio leo mkuu..ndo kwanza ako na 19 kama sio 20yr..bado Sana’a
Sasa kwa nini analeta vitu vya kifikirika wakati yeye mwenyewe kuvifanya haviwezi hata kidogo eti romantic mambo ya kifilipono unaleta bongo
 
Mwanzo kabla sijajua kuwa hutakiwi kuendekeza mapenzi sana nilikuwa nafugwa kinouma.ila sasa hiviukiniletea habari za kuniumiza my frend,nitakachokifanya ni kulia kwa uchungu ili kutoa nyongo na uchungu nikishafuta machozi...imeisha hiyo.yani ndo nishakutoa kwenye maisha yangu.kilio chenyewe chaweza kuwa ni cha dakika kumi au kumi na tano.

Nilimpenda mtu sijifi na ninakuwa really si pretend
kukuumiza kivip yaan mana kwenye uhusiano kukosana lzm sasa utaachana na wangapi
 
Ila wabongo mjifunzeni kuwa romantic kwenye mahusiano/ndoa. Penzi linanoga ukiwa romantic bana.

Yaani sijajua sijui ni desturi au ni ushamba yaani unakuta mwanaume unarudi home unamkuta wife jikoni anapika we unaketi sebuleni unasubiri amalize Kupika alafu eti yeye ndo anaanzisha salamu.

Kwa walio romantic unakuta anamfuata wife jikoni makiss Kama yote alafu anamsaidia na kupika

Ila eti wewe unajikuta kidume no romantic moves kwenye ndoa.

Wengine hata kuambiana Nakupenda kwenye ndoa ni shida yaani mnaishi kijeshi jeshi..

Wengine hata kukumbatiana wife akirudi au hata kumtia moyo kwa maneno ya kimahaba hapana ni full ukomandoo!

Hata mkipita Town kumshika hata mke wako kimahaba huwezi.Yaani mkiingia Town kila mtu chocho zake ilimradi msionekane pamoja..
Hiyo ni ndoa sio filamu ya maigizo.
 
Back
Top Bottom