Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

Yaani hapo kuna mawili, kuwa provider au kuwa useless romantic guy. Kupata hybrid washukuru Mungu sana
Hybrid ndio kitu dada zetu wanataka ila hilo halipo! Its either awe provider au awe useless romantic na ndio maana unakuta umalaya hauishi maana anataka hela ila still abembelezwe hilo ni gumu kulipat kwa mtafutaji hela so lazma awe na kijamaa pembeni cha kumbebisha.
 
Unafanya vyote hivo na unakuwa romantic kupitiliza mkifika kitandani anakwambia nimechoka usiniguse tena anafoka.Afu siku zote kitandani hadi we umuanze usipofanya hivo imetoka yaani kama unalala na kaka yako tu.
 
Mazoea ya kizidi na mke wanyumbani ndo mwanzo wadhalau na ndoa inaaza kupitia mitihani.....kiufupi usizoani na mwana mke wakibongo ni hatari
Sasa usipomzoea mkeo unataka uzoeane na nani?
 
Wale wanaume anakukuta jikoni anakuhug kwa nyuma na makiss kama yote wana special place kwa Mungu. Hakuna feeling kama ile.
 
Hizi muvi za kifilipino hakika zinawaharibu sana bana, sema tu hamjui.

Yaan nimeacha wote nimekuoa wewe, bado tu huridhiki kuwa nakupenda, nyie watu nyie loh

Cc Heaven Sent
 
Hybrid ndio kitu dada zetu wanataka ila hilo halipo! Its either awe provider au awe useless romantic na ndio maana unakuta umalaya hauishi maana anataka hela ila still abembelezwe hilo ni gumu kulipat kwa mtafutaji hela so lazma awe na kijamaa pembeni cha kumbebisha.
😂😂😂😂😂 Kazi wanayo sana hawa wadada
 
Romance ni hela tu we endelea kudanganywa na hizo movie zenu za kifilipino sijui Korea.

Romance ingekua dili divorce rate huko kwa mizungu isingekua juu.
 
unajitahidi kua romantic kushikana na bae, mara kukisiana njian, kwenda beach kumbe kuna watu wanasema, "ona lile fala lilivyotekwa".

nothing personal
 
unajitahidi kua romantic kushikana na bae, mara kukisiana njian, kwenda beach kumbe kuna watu wanasema, "ona lile fala lilivyotekwa".

nothing personal
Don't listen to people's words
Love doesn't ask why bana
 
Back
Top Bottom