Nimeinua mikono mapemaaa maana huyo mkuu namheshimu sana nimeona kama ntamkwaza bila sababuMbona umewahi kuomba msamaha sana Mjep
Dah!inaonekana ana timbwili timbwiliNimeinua mikono mapemaaa maana huyo mkuu namheshimu sana nimeona kama ntamkwaza bila sababu

Dats logicMazoea ya kizidi na mke wanyumbani ndo mwanzo wadhalau na ndoa inaaza kupitia mitihani.....kiufupi usizoani na mwana mke wakibongo ni hatari
Nipo hapa ila baby naomba uzingatie kitu kuwa kuna siku nakuwa nimepagawa kutokana na mishe zangu kukwama so uwe tayari kunielewa basi mpzNikimpata humu romantic guy wa kanda ya ziwa naomba nimuambie in advance, 'yes I do.!!'![]()
Hua siigizi hata kwenye igizo
Vibaya mno kijana ila nisipokuwa na stress ya fweza
Ila kwa kweli utakuwa ka shillingi unako kwasababu you're so confident....Vibaya mno kijana ila nisipokuwa na stress ya fweza


EeeeehNikimpata humu romantic guy wa kanda ya ziwa naomba nimuambie in advance, 'yes I do.!!'![]()
Kijana kwani walio Tiaraei ndo wanaojiamini tu😅😅kuwa makini joo...mimi mchimba chumvi tu ..ila kujiamini ni lazima pindi ni wapi na fweza kwa wallet..hatakama ni shilingi mia niwe na uhakika kila kitu liko swa hapo nitakuwa romantic yenu hiyo mnayoisema else,,hakuna kitu nitaelewa aiseIla kwa kweli utakuwa ka shillingi unako kwasababu you're so confident....
Au uko TRA nini![]()