zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
- Thread starter
- #21
Nope I don't watch telemundo and I'm not even interested in movies and seriesWewe ni mdau was Telemundo na zile za Filipino???Yale ni maigizo ndugu

Nope I don't watch telemundo and I'm not even interested in movies and seriesWewe ni mdau was Telemundo na zile za Filipino???Yale ni maigizo ndugu

Mdogo wangu kwani wanaume wameisha..ni lazima ni fall in love again tena kwa kishindo kikubwa..wanaume wazuri na watamu bado wapo hawajaishaSo it means your not gonna fall In love again
Reason being your passion for money![]()
Ooh!basi upo vizuri kumbe upendo wako unabadilika kutokana na uhalisia wa mambo ulivyo..Mdogo wangu kwani wanaume wameisha..ni lazima ni fall in love again tena kwa kishindo kikubwa..wanaume wazuri na watamu bado wapo hawajaisha

Kama ni yeye huyo kwa avatar JF is turning to be real

Nifundishe nisemeje huwa sikatai banaUna matumizi mabaya ya neno kuwa confused
We jamaa uko bored kinyama

Nifundishe nisemeje huwa sikatai bana
Alafu ladies are quite sharp in English than gentlemen sibishi..
Hii kitu ni kweli. Wanawake wa kiafrika ukiwaletea yale mahaba ya kilatino anaanza kukuona fala, atatafuta point akutibue kwa makusudi halafu aone namna utamfyatukia....Mazoea ya kizidi na mke wanyumbani ndo mwanzo wadhalau na ndoa inaaza kupitia mitihani.....kiufupi usizoani na mwana mke wakibongo ni hatari
Kwani wewe ni RayVanny🤣🤣🤣...Kama wewe ni was kwenye avatar Basi na yeye ni yeyeKama ni yeye huyo kwa avatar JF is turning to be real
Ila I'm sure she's not the one on the Avatar![]()
Huyo sio single mother, ni single parent....Ndoa za zamani za wazee wetu washamba wasio romantic zilidumu sijajua kwa nn. Zamani ukikuta single mom Mara nyingi anakuwa alifiwa na mumewe.
Cheka tu mkuu hakuna namna..mtu unajitahid kuwa romantic anaona kama unamletea drama aaaaagrrrrr
Mwanzo kabla sijajua kuwa hutakiwi kuendekeza mapenzi sana nilikuwa nafugwa kinouma.ila sasa hivi😅😅😅ukiniletea habari za kuniumiza my frend,nitakachokifanya ni kulia kwa uchungu ili kutoa nyongo na uchungu nikishafuta machozi...imeisha hiyo.yani ndo nishakutoa kwenye maisha yangu.kilio chenyewe chaweza kuwa ni cha dakika kumi au kumi na tano.Ooh!basi upo vizuri kumbe upendo wako unabadilika kutokana na uhalisia wa mambo ulivyo..
If somebody breaks your heart you let it free for someone else![]()
Dah!sasa kosa langu nini tena nilitaka kufahamu tuNilichomaanisha unakuwa confused kwa mambo ya kipumbavu sana
Dah!sasa kosa langu nini tena nilitaka kufahamu tu
Na hili ndo huwa linanigharimu kutokuwa na kiasi..Ni kujaribu kuwa na kiasi katika kila jambo.