Nani huyo tenaAisee hongera umejitahidi sana
Dah!kumbe kumkiss mkeo ni tamthilia tu wabongo hatuna mdaTofautisha MAISHA HALISI na TAMTHILIA za Azam TV.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Hivi kumbe nilikuwa sijakuwa ee😃😃safiupo sahihi ila kama nihivyo kweli umekuwa sasa mkuu.
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Unafikiri na basi ni chaliii ya araaas...kitu cha mji kasoro bahari..sema alivurugwaga tu 😂😂😂Ulitumwa na nani uvamie machaliii wa Araaaa....
pigo za kifilipino ziache kwenya mamuvi yakina amzakhanun bana...
Nani huyo tena
Za mwizi 40 unajua! Ipo siku nao wajuba watakuwa busy kukutatua marinda 🤣🤣🤣Nime gonga sana wake za watu kwaajili hiyo, wakati watu wako bize kitafuta pesa mimi nipo bize kuwagongea wake zao kilainitu hatari sana
Nimecheka kinoma ila ndio ukweli wa hapa town. Uwe na mipunga then ndio ujibebishe, sio unajibebisha bila hela. Utaumia!!!Romantic ya bongo ni pesa tu.
usipokuwa na pesa anakuona kama mbuzi tu na ukimsogelea atakwambia unanuka tumbaku usimsogelee
Chakorii katika ubora wakeRomantic hiyo vipi!!!hebu tuache tutafe fweza huko
Nimecheka kinoma ila ndio ukweli wa hapa town. Uwe na mipunga then ndio ujibebishe, sio unajibebisha bila hela. Utaumia!!!


























Ndio hvyo mkuu nimeshuhudia watu wengi wanavyonyanyasika kwenye mapenzi kwa kukosa hela.Nimecheka kinoma ila ndio ukweli wa hapa town. Uwe na mipunga then ndio ujibebishe, sio unajibebisha bila hela. Utaumia!!!
Kaka, aheri ukose mke ila sio hela! Maana hela italeta mke utake usitake tu 🤣🤣🤣 ila mke akiwepo bila hela atakuzalishia stress utake usitake.Ndio hvyo mkuu nimeshuhudia watu wengi wanavyonyanyasika kwenye mapenzi kwa kukosa hela.
Licha ya kutokuwa romantic bali mtu hata nyumba yake anaiona chungu hataki kurudi nyumbani mapema kwa kuhofia kutukanwa.
Yaani tuumize vichwa kutafuta pesa kwa ajili ya familia Nimerudi nimechoka niache kumsalimia mwanangu na kumjulia hali eti nikufuate wewe jikoni nikushike kiuno! Pumbavvv
Za mwizi 40 unajua! Ipo siku nao wajuba watakuwa busy kukutatua marinda![]()