Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

Wabongo mjifunze kuwa Romantic basi

kukuumiza kivip yaan mana kwenye uhusiano kukosana lzm sasa utaachana na wangapi
Kuna tofauti kati kukosana kawaida na kumuumiza mtu makusudi.

Saa kama umempenda mtu kwa dhati kabisa halafu anakufanyia matendo ya kuumiza makusudi kabisa utafanyaje kwa mfano mkuu!!
 
Nime gonga sana wake za watu kwaajili hiyo, wakati watu wako bize kitafuta pesa mimi nipo bize kuwagongea wake zao kilainitu hatari sana
Ila wabongo mjifunzeni kuwa romantic kwenye mahusiano/ndoa. Penzi linanoga ukiwa romantic bana.

Yaani sijajua sijui ni desturi au ni ushamba yaani unakuta mwanaume unarudi home unamkuta wife jikoni anapika we unaketi sebuleni unasubiri amalize Kupika alafu eti yeye ndo anaanzisha salamu.

Kwa walio romantic unakuta anamfuata wife jikoni makiss Kama yote alafu anamsaidia na kupika

Ila eti wewe unajikuta kidume no romantic moves kwenye ndoa.

Wengine hata kuambiana Nakupenda kwenye ndoa ni shida yaani mnaishi kijeshi jeshi..

Wengine hata kukumbatiana wife akirudi au hata kumtia moyo kwa maneno ya kimahaba hapana ni full ukomandoo!

Hata mkipita Town kumshika hata mke wako kimahaba huwezi.Yaani mkiingia Town kila mtu chocho zake ilimradi msionekane pamoja..
 
Sasa kwa nini analeta vitu vya kifikirika wakati yeye mwenyewe kuvifanya haviwezi hata kidogo eti romantic mambo ya kifilipono unaleta bongo
😂😂😂😂anachukua ujuzi mkuu😂😂umri ukifika asipate tabu😀😀😀
 
Kuna tofauti kati kukosana kawaida na kumuumiza mtu makusudi.

Saa kama umempenda mtu kwa dhati kabisa halafu anakufanyia matendo ya kuumiza makusudi kabisa utafanyaje kwa mfano mkuu!!
Heh!yani kumbe kina Chakorii na nyie mnaumizwaga kwenye mapenzi dah!nani anadiriki kufanya Hivyo
Tufungue mahakama ya mapenzi fasta
 
Kwa hiyo mkitafuta money there's no need to be romantic in a relationship
wewe bado mtoto.
ngoja ukikuwa mkubwa halafu majukumu yakuandame huku unadaiwa ada za watoto,hujakaa sawa mwenye nyumba anataka kodi yake,hujakaa sawa unapigiwa simu kuna mgonjwa amezidiwa anahitaji msaada wako halafu ndio tuone kama hapo utawaza hiyo romantic yako.
 
Sasa kama mtu umejaribu kuwa romantic halafu majibu yake anakwambia usimletee hizo mambo za kwenye tamthilia za kifilipino .huyo mtu nitamsaidiaje kwa mfano.

Siku akipatikana atakakubali kuwa treated like a ..I’llbe zea...
Romantic ya bongo ni pesa tu.
usipokuwa na pesa anakuona kama mbuzi tu na ukimsogelea atakwambia unanuka tumbaku usimsogelee
 
Ila wabongo mjifunzeni kuwa romantic kwenye mahusiano/ndoa. Penzi linanoga ukiwa romantic bana.

Yaani sijajua sijui ni desturi au ni ushamba yaani unakuta mwanaume unarudi home unamkuta wife jikoni anapika we unaketi sebuleni unasubiri amalize Kupika alafu eti yeye ndo anaanzisha salamu.

Kwa walio romantic unakuta anamfuata wife jikoni makiss Kama yote alafu anamsaidia na kupika

Ila eti wewe unajikuta kidume no romantic moves kwenye ndoa.

Wengine hata kuambiana Nakupenda kwenye ndoa ni shida yaani mnaishi kijeshi jeshi..

Wengine hata kukumbatiana wife akirudi au hata kumtia moyo kwa maneno ya kimahaba hapana ni full ukomandoo!

Hata mkipita Town kumshika hata mke wako kimahaba huwezi.Yaani mkiingia Town kila mtu chocho zake ilimradi msionekane pamoja..
Tukiwa romantinki mnatupanda kichwani! Hamkawii kutuambia tuwavishe pedi
 
Achana Na Tamthilia za Kifilipino & Wakorea..!
 
Back
Top Bottom