Waarabu wana nguvu Iringa

Mtoa mada hakuta muwafukuze bali muache kunyenyekea hao waarabu.
Hivi kujinyonga ni ushujaa??


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwa hiyo mnatuambia watu wa moshi ni wajanja sana sio...hahahahahaha ama kweli mkiambiwa watu wa moshi ni wakabila na wadini msibisheee mnajisuta wenyewe wazee wa.....

wewe mtoa mada inaonesha ni mbaguzi wa Asili na utakapo baguliwa ww hua mkali sana kwani kuwafukuza wahuindi au Waharabu sio sifa wala jambo la kujivunia bali ni ujinga tu sindio ww ukilikua unawalaumu watu wa Tunduru kua hawapwndi wageni????sasa hapa mbona unaongea UTUMBO WA BATA ???OVYOOOOOOO
 
Kwanza siyo vizuri kutukana kabila ya mwenyeji wako. Inavyoelekea wewe ndiye unastahili hiyo sifa uliyowapa wahehe[mimi siyo mhehe]
historia ya wachaga ni tofauti sana na wahehe. wachaga waliwakumbatia sana wathungu wakati wahehe hawakutaka kutawaliwa na wageni kabisa.
Historia ya wahehe na waarabu ni ya karne nyingi sana na nasikia hata kuoana. na waarabu wengi iringa mbarali ndiyo kwao tena kwa karne pengine hata kabla ya baadhi ya makabila mengine kuhamia tz. na wahehe ni wastaarabu sana na wana very rich culture isipokuwa hawapendi dharau kabisa. wewe kama mgeni ishi hapo kama mgeni ukiendelea kuropoka hovyo shauri yako
 

Ndugu yangu sina uhakika umetumia vigezo gani kuhitimisha hiyo research yako. Naomba utuombe radhi wahehe hasa katika hayo maneno yenye rangi nyekundu.
 
Punguza jazba kijana, usije ukaenda kujinyonga kisa hii mada.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Sawa kaka! Unaonekana umeanza kuelewa! Ila hatujinyongi siku hizi tunaoa dada zao tu wanaokuja vyuoni pale RUCO na Tumaini!
 
Hao kina FM Abri na AS Abri si ni waarabu?

Yani laiti ungejua kuwa hao waarabu hawatutishi maana tumeona nao sana kiasi wamekuwa ndugu! Sio kwenu mmejifanya kuwabagua wahindi mji umewadodea na mlima wenu hauwaletei manufaa kutwa kucha kuota ubaguzi, Nyerere aliwaona sana nyie na hiyo dhambi itawatafuna. Sana!
 
Ndugu yangu sina uhakika umetumia vigezo gani kuhitimisha hiyo research yako. Naomba utuombe radhi wahehe hasa katika hayo maneno yenye rangi nyekundu.

Amekuja kwa dharau ataondoka na chongo hawajui wanyalu wacha waseme 'swela' ndiyo aaona anavyourudi akiwa kichaa!
 
Mtoa mada hakuta muwafukuze bali muache kunyenyekea hao waarabu.
Hivi kujinyonga ni ushujaa??


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

We unaonekana kuna kitu hutaki kukitaja wahehe walichokutenda! Sema tukusaidie maana unayoyaongea hayaendani na jina lako! Sis sio wajivuni kama baadhi ya makabila walivyo, tena mhehe ni mtu poa sana maana ni mkimya na mvumilivu ila ukimletea madharau kama unayoyaleta wa(akumaliza! The same applies to wamasai, nadhani hamjawaelewa au kwa sababu dada zao wamefanya kazi ya kuwalea mmekua mmewajaza mimba kwa kuwabaka, baba zenu waliwabaka hao mabinti na kuwafukuza, mkawalaza jikoni na kuwalisha ukoko wakati wamewapikia chakula kitamu! Leo mnawaletea dharau baada ya hayo yote! Siku zimebaki chache kama mtapata msichana wa kazi toka Iringa au Singida!
 

Mwalimu Nyerere was so right alivyosema Tanzania ikitaka maendeleo isitawaliwe na Waachagga...

Wewe inakuuma nini kumuona Arab/Tanzanian living in Tanzania...wamekukosea nini??? Your hateing their success wakati both of you have the same 24hours! Mbona unawadharau wahehe??? Umewazidi nini???

Too bad watu wenye mentality kama yako wanaidhalilisha Tanzania.

Watu tunaishi kwa amani unaleta chuki na ukabila? Unakumbuka shuka asubui? We vp? Au umetumwa?
 

Eti ana jiita topthinker kumbe kilaza! Hivi kua mtanzania kunamananisha nini? Au rangi nyeusi ndio utanzania? Navojua mimi mtanzania anaweza kua mtu wa asili yeyote ili mradi awe amefata kanuni na sheria! Au wewe una hakika gani wewe ni mtanzania wa ASILI? Je kwa sababu ni mweusi? Labda babu yako ni mrundi au mbenin! Acha dhabi ya ubaguzi we kijana. Kuna waarabu iringa toka enzi ya enzi kabla hata halijawa taifa ya tanzania. Na wahehe ni watu SAFI sana ndio maana wapo poa kabisa na wahindi na waarabu because at the end of the day wote ni WATANZANIA pamoja na wewe! (au wewe point yako ilikua mambo ya dini ukaamua uzuge na waarabu) #justthinking
 

Well said
 

Ngerebeee #ndiooo
 

It wonders kama wewe ni TOPTHINKER unashangaaje kitu kama hicho! top thinker anafanya reasoning na ana uwezo wa kufanya speculation! ili kujua reality ya mambo. Nahisi sifa unayowapa watu wa Iringa kuwa ni Wajinga haiwahusu, bali inamhusu MTU mwengine!
 
Mhehe amnyenyekee mwarabu?hujui kitu unasema,nenda tena ukafanye hiyo tafiti yako ndio urudi tena hapa!
 
Ujinga wetu sisi wahehe ni nini mkuu?au kwa kusema hii gari ya mwarabu fulani?
Acha kututukana bana.Mbona sisi wenyewe tunaona poa tuu?
 

mm ni mhehe ndo nimepata jibu kwann wale mabint wa kichaga wananipapatikia..!
 
"Hatukumpinga kaburu kutokana na rangi yake bali kutokana na sera ya kibaguzi dhidi ya watu weusi na kaburu katika nchi yetu ni wale wanaojiita wazawa hata kama ni weusi ni kaburu tu"Mwl J.K Nyerere
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…