deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 936
- 511
Ni kama watu wa iringa wanaweza zaidi biashara za hotel??vipi ukiangalia kwa undani hizo biashara wanazomiliki ni za long term au hazina future'kuna hoteli tuliona kitonga sijui kama ipo ila tukipita pale tunaona panasuasua'tutajie wafanya biashara ambao wana future nzuri'mbona hujataja majembe??
nimewataja wenye hotels coz hzo ni biashara kubwa na sio zakuonekana kwa watu kuwa unabiashara flani.. I mean co kama magari, mana waweza kuwa na gari za usafirishaj 4 tu ila ukaitwa tajiri bila kujua gharama ya hzo gari zako nne hazijengi hotel hata moja ikaisha. Kuhusu kitongo mkubwa pale mwenyewe alifarik na ndio maana unaona panasua na pia ndugu waliopo wamebinafsisha kwa mtu.