Waarabu hawakuwa Wakoloni Afrika?

Kwa hiyo uarabu si lugha pekee bali ni sehemu ya uarabu. Desturi Mila, asili, tamaduni na nchi wakati mwingine ndivyo vinajenga utaifa wa mtu. Kwa maana nyingine waarabu ndiyo tuliwaona wakija Afrika na wala si Lugha yao ililetwa Afrika.

Uliwaona Waarabu kwa lugha yao lakini si kwa Utaifa wao. Hao hao Waarabu wana mila na desturi tofauti tofauti na hata dini tofauti tofauti. wana mavazi tofauti tofauti, usichanganye Utaifa na Lugha. na hili halina ubishi.

Wa Sudan, Wa Saudi, Wa Oman, Wa Lebanon, Wa Libya, wa, wa, wa, wa, woote hao ni Waarabu kwa lugha na si kwa Utaifa wala Kabila wala mila wala dini, wana mila zao tofauti, wana kabila zao tofauti, wana mavazi yao tofauti, wana dini tofauti hata makontinenti tofauti, lakini wana Lugha Ya Kiarabu inayowatambulisha kama Waarabu.

Sijui ni kipi kigumu hapo kukielewa?
 
Uliwaona Waarabu kwa lugha yao lakini si kwa Utaifa wao. Hao hao Waarabu wana mila na desturi tofauti tofauti na hata dini tofauti tofauti. wana mavazi tofauti tofauti, usichanganye Utaifa na Lugha. na hili halina ubishi.

Wa Sudan, Wa Saudi, Wa Oman, Wa Lebanon, Wa Libya, wa, wa, wa, wa, woote hao ni Waarabu kwa lugha na si kwa Utaifa wala Kabila wala mila wala dini, wana mila zao tofauti, wana kabila zao tofauti, wana mavazi yao tofauti, wana dini tofauti hata makontinenti tofauti, lakini wana Lugha Ya Kiarabu inayowatambulisha kama Waarabu.

Sijui ni kipi kigumu hapo kukielewa?
Mimi nimekuelewa ila tunahitilafiana!!
 
Nani amenibrain wash? Huo ndio ukweli maana sio suala la kutunga. Wanyamwezi na waha waliipata kubebeshwa mizigo mizito ya pembe za ndovu na baadae kuhasiwa kabla ya kuuzwa kwenda kufanya kazi majuu..sijui ndo Oman hiyo unayoisema.

Nakuambia Ji kaka la Kinyamwezi, limekwenda juu, lina miraba saba, linaloweza kubeba pembe za ndovu kutoka Unyamwezi mpaka Bwagamoyo, linakamatwa na kazee Kakiarabu? kamechoka na safari ya jahazi miezi kadhaa, kakatembea mpaka Tabora kakaanza kukamata hawa makaka waliokuwa na sifa na nguvu za ajabu wanaoweza kuiweka pembe ya ndovu kichwani kwa maili elfu na zaidi? inakuingia akilini? hata kuku ukitaka kumkamata inabidi ufanye mashauri itakuwa Binaadam? Hebu fikiri kidogo, ni nini ulichoaminishwa?
 
Vitabu vingi vya Historia na Fasihi viwe vimeandikwa na waafrika wenyewe au watu wa kutoka nje ya bara la Afrika, mara zote vinawataja Wareno,Waitaliano, Wajerumani, waingereza, Wadachi, na Wafaransa kama wakoloni, lakini mimi sijawahi kukutana na kitabu kinawataja waarabu kama wakoloni. Najiuliza kama waarabu hawakuwa wakoloni sifa yao ilikuwa ni nini hasa? Wavamizi, wafanyabiashara, waeneza dini au wao walikuwa pia wanatawaliwa na hao tunaowaita wakoloni?

Walitawala Zanzibar,walikuwa wakoloni, ila sio kwa kishindo kama wazungu, mbaya zaidi wakatuchia dini yao kama wazungu, na ndio moja ya chanzo cha ujinga, umaskini, ulimbukeni na ugomvi duniani!
 
Kiukweli Waarabu walikuwa wakolini japo waliweza kututawala kikoloni hawakuwa wamekuwaja kutawala Africa kama nchi bali walikuja kama wafanya biashara na baada ya kuona mwanya wa kuwatawala wenyeji walifanya hivyo.

Kwa biashara ya utumwa waarabu ndio walikuwa vinara wa biashara hiyo. Mwanzoni watumwa wote wakiafrica walokamatwa na waarabu kabla ya karne ya 13 walikuwa wakipelekwa arabuni ambako huko kulikuwa na soko nako walihasiwa ili wasizae na wenyeji. Hata kuna ushahidi wa maasi ya Watumwa huko Iraq miaka ya 869−883 AD ambayo yalileta maafa makubwa huko BARSA IRAQ. Pia watumwa wa kiarabu huko arabuni walichangia mambo mengi ya kisayansi na kijamii. Unaweza kugoogle utapata historia zaidi. Mojawapo ya watumwa hao alikuwa

Baada ya WARENO KUJA biashara ya utumwa ilibadili uelekeo badala ya watumwa wengi kuelekea kwenye soko la arabuni walinunuliwa na Wareno na wakoloni wengine wa kizungu kwenda kwenye mashamba yao huko America. Soma zaidi hapa chini kwa historia ya watumwa huko Arabuni.



[h=1]Zanj Rebellion[/h]From Wikipedia, the free encyclopedia

The Zanj Rebellion was the culmination of series of small revolts. It took place near the city of Basra, located in southern Iraq over a period of fifteen years (869−883 AD). It grew to involve over 500,000 slaves who were imported from across the Muslim empire and claimed over “tens of thousands of lives in lower Iraq”[SUP][1][/SUP]. The revolt was said to have been led by Ali ibn Muhammad, who claimed to be a descendent of Caliph Ali ibn Abu Talib. Several historians, such as Al-Tabari and Al-Masudi, consider this revolt one of the “most vicious and brutal uprisings” of the many disturbances that plagued the Abbasid central government.[SUP][1][/SUP]
The Zanj revolt helped Ahmad ibn Tulun to create an independent state in Egypt. It is only after defeating the Zanj Revolt that the Abbassids were able to turn their attention to Egypt, and end the Tulunid dynastywith great destruction.
[h=2][edit]Background[/h]As the plantation economy boomed and the Arabs became richer during the Muslim Agricultural Revolution, agriculture and other manual labor jobs were thought to be demeaning. The resulting labor shortage led to an increased slave market.
It is certain that large numbers of slaves were exported from eastern Africa; the best evidence for this is the magnitude of the Zanj revolt in Iraq in the 9th century, though not all of the slaves involved were Zanj. There is little evidence of what part of eastern Africa the Zanj came from, for the name is here evidently used in its general sense, rather than to designate the particular stretch of the coast, from about 3°N. to 5°S., to which the name was also applied.[SUP][2][/SUP].
The Zanj were needed to take care of:
the Tigris-Euphrates delta, which had become abandoned marshland as a result of peasant migration and repeated flooding, [which] could be reclaimed through intensive labor. Wealthy proprietors “had received extensive grants of tidal land on the condition that they would make it arable." Sugar cane was prominent among the products of their plantations, particularly in Khūzestān Province. Zanj also worked the salt mines of Mesopotamia, especially around Basra.[SUP][3][/SUP]
Their jobs were to clear away the nitrous top soil that made the land arable. The working conditions were also considered to be extremely miserable. Many other people were imported into the region besides Zanj.
Also around the time of the revolts, the Abbasid caliphate was
mired in a period of financial weakness, both internally and externally… The financial strain imposed on the accession of each new caliph contributed to the ability of the Zanj revolt, which began in 868 AD, to sustain itself for as long as it did.[SUP][1][/SUP]
The rise of the Shīʻa also occurred around this time, so the Abbasid government was fighting on two fronts.
Some scholars believe that the Zanj revolt was not necessarily a slave revolt. In this view there were also Zanj immigrants in Iraq who were a big part of the revolt. taken by M. A. Shaban who argued:
“All the talk about slaves rising against the wretched conditions of work in the salt marshes of Basra is a figment of the imagination and has no support in the sources. On the contrary, some of the people who were working in the salt marshes were among the first to fight against the revolt. Of course there were a few runaway slaves who joined the rebels, but this still does not make it a slave revolt. The vast majority of the rebels were Arabs of the Persian Gulf supported by free East Africans who had made their homes in the region”[SUP][4][/SUP]
[h=2][edit]Revolt[/h]The actual revolt started with a descendant of slaves named ʻAlī b. Muhammad. He had grown up as in Samarra and not much else is known about his early life. Eventually he moved to the "Abbasid capital, where he mixed with some of the influential slaves of Caliph al-Muntasir (861-862 A.D.)”[SUP][2][/SUP]. It was here that ʻAlī b. Muhammad learned the workings of the caliphate and financial differences between the Muslim citizens. From here, ʻAlī moved to Bahrain[SUP][5][/SUP], where he pretended to be Shīʻī and started to rouse the people into rebellion against the caliphate. “Ali’s following in the city grew so large that land taxes were collected in his name.”[SUP][6][/SUP] The rebellion eventually failed and ʻAlī relocated to Basrah in 868 CE. Also in 868 C.E., a leader of the Zanj Rebellion claimed to be the incarnated form of the former Alid rebel Yahya ibn Umar.
In Basrah, ʻAlī b. Muhammad preached at the mosque, advocating against the caliphate and for the people.
His first actual contact with Basrah’s slaves seems to have been motivated by a vicious outbreak of hostilities between two Turkish regiments, the Bilaliyah and the Sa’diyah, which contributed to the weakening of Basrah’s political regime. Hoping to exploit the resultant anarchy to his advantage, he tried to win to his side members of one of these groups.[SUP][citation needed][/SUP]
The Bilaliyyah and Saʻdiyyah were described by Tabari as guilds in the town or rivaling quarters.
When he heard news about another scuffle between Basrah’s factions he “began to seek out black slaves working in the Basrah marshes and to inquire into their working conditions and nutritional standards.”[SUP][2][/SUP] He told the Zanj and other slaves that he was sent by God to liberate them from their bonds.
Origins have a large part in establishing oneself in Arab society and especially when dealing with slaves. Initially
‘Ali bin Muhammad’s paternal grandfather was said to have been a member of the ‘Abd al-Qays lineage and his paternal grandmother a Sindhi slave woman. His mother, a free woman, was a member of the Asad bin Khuzaimah lineage... later commentators have presumed him to have been of Persian rather than Arab origin.[SUP][2][/SUP].
Sahib al-Zanj [ʻAlī’s title] declared his rebellion at al-Basrah, during the reign of al-Muhtadi, in 255 A.H. He claimed that he was descended from ‘Ali ibn Abi Talib, but most people recognize this as a false claim and reject it.[SUP][7][/SUP]
After ʻAlī’s lineage was not accepted, he started to preach the “extremely egalitarian doctrine of the Kharijites, who preached that the most qualified man should reign, even if he was an Abyssinian slave.”[SUP][2][/SUP]The caliphate eventually sent out a large military force led by the Vizier Al-Muwaffaq.”[SUP][2][/SUP]. After several encounters, the caliphate army started to make examples of rebellion leaders.
For instance, Yahya of Bahrain, a noted leader of the rebel troops, was taken with a small group of men and sent to Samarra. There he was flogged two hundred times while Caliph al-Mu'tamidwatched. Both his arms and legs were amputated and he was slashed with swords. Finally, his throat was slit and he was burned.[SUP][6][/SUP]
This did nothing to hinder the Zanjī and they continued to raid towns and villages. “When the caliphate became preoccupied with the Saffarid secessionist movement in Persia, the Zanjī extended their control further north with the aid of the surrounding Bedouin peoples.”[SUP][8][/SUP] It was probably at this time that the Zanjī constructed their capital which was called Moktara (the Elect City). The Caliph sent vast armies and numerous commanders to suppress the rebellion but most of them were slaughtered by guerilla warfare waged by the rebels.
[h=2][edit]The revolt ends[/h]Towards the end of the revolution most of the former slaves themselves started to turn into the very masters they despised and started to break down as a community.
In 879 C.E., after the revolt in Persia was settled, Al-Muwaffaq came back and continued to wage war on the rebels. In 881 AD the better-trained and better-equipped Abbasid army surrounded and outnumbered theZanj on all sides. With the capture and execution of ʻAlī after the fall of the Zanj capital city of al-Mukhtara[SUP][9][/SUP] the revolt ended.
In the end, “most of the Zanj joined Al-Muwaffaq, but not all. Over 1000 died in the desert of exhaustion and thirst, trying to flee the embattled Iraqi territory. Others remained unsubdued in southern Iraq after their leader was killed; they continued to rob, plunder, and murder throughout Abbasid space until they either joined the Abbasid or died refusing to be anyone’s soldier.”[SUP][1][/SUP]
By the tenth century, instead of using slaves as a sign of treaty between two cities, private trade was used.
[h=2][edit]Historical revisionism[/h]Ghada Hashem Talhami, a scholar of the Zanj revolt, argues that the Zanj rebellion is inaccurately named. In fact, most of the military were not Zanjian to begin with. It was only after a time, after most of the other slaves were freed that the actual Zanj imported slaves took hold. Talhami cites from various historians and works to make her point that the rebellion was more of a religious/social uprising made by the lowly-classed and suppressed citizens of the Basrah area, and included a wide variety of people, including white and Indian slaves. She even says that the most significant element of the rebellion was not the Zanj slaves, but Bedouin from around Basra, who provided regular support throughout the conflict. "Despite much evidence to the contrary, including the absence of major Arab settlements along the coast, the silence of Arab and Persian geographers on an oceanic trade, and the generalized equation of Zanj with 'black,' it has been used to infer an important commercial relationship between Africa and the Middle East several centuries before such an exchange can be proven to have existed…. The assumption that ‘Abbasid writers used Zanj to mean specifically the East African coast, and that therefore the people they called Zanj originated in a specific part of that region, is completely unjustified."

 
Walitawala Zanzibar,walikuwa wakoloni, ila sio kwa kishindo kama wazungu, mbaya zaidi wakatuchia dini yao kama wazungu, na ndio moja ya chanzo cha ujinga, umaskini, ulimbukeni na ugomvi duniani!

Zanzibar ni Zenj Empire wao ndio walikuwa watawala wakitawala hadi Oman na si "reversal". Mbona mnaiparaganya historia?
 
Hao uliowataja ndio hasa waliokutana kwenye ule mkutano maarufu (Berlin Conference - 1884) ambao lengo kuu lilikuwa "Scramble for and Partition of Africa" na hatima yake ikawa kuigawanya Afrika kwa mipaka iliyopo leo. Katika mkutano huo mwarabu hakuwepo wala hakujuwa kilichokuwa kinaendelea. Yeye kazi yake kuu ilikuwa kuwinda binadamu wenzake kama swala.

Kwa ufupi, nadhani hiyo ndio sababu kuu waarabu hawaoenekani kwenye vitabu vya historia kama wakoloni ila kwenye historia ya utumwa mwarabu anaongoza.
najua unaupeo mdogo.
Hawa waarabu walikuwa ni mamiddle men wakununua watumwa kutoka kwa machifu wakiaafrika kama akina mkwawa na mangi na kuwauzia hao wazungu kwaajili ya kwenda kulima na kadhalika. Ona sasa hivi waafrika walivyowengi marekani na ulaya. Je wajua walifikaje? Ni kwa wazungu kuwanunua kutoka kwa waafrika kupitia kwa madalali waarabu.
Better you write fact kuliko blabla.
 
Waarab waliokuja Africa wanagawanyika ktk makundi tofauti. Kundi kubwa ni lile la waarab waliokimbia njaa baada ya nchi zao kama vile Oman kupata ukame kwa muda usiopongua miaka kumi. Kundi nyingine ni lile lililokimbia vita kama ile vita ya Ali bin Abi Twalib na Muawiyah bi Abi Sufiayan na nyingine ni lile lililotawala Zanzibar kwa kipindi kadhaa.

Hatuwezi kupinga uhakika kua makundi yote haya walikua waislam lakin hawakuja Africa specific kwa malengo ya kueneza uislam ispokua, watu waliathirika na tabia zao kama vile uaminifu ktk biashara, (sio ile ya utumwa biashara ndogondogo) wakaamua kuingia uislam. Ukiacha hapo kuna waarabu ambao baadae walitumiwa na wazungu kama agent wa biashara ya utumwa kama vile Said Barghash na wengineo.

Hili la kujihusisha na biashara ya utumwa lilitokea baadae ni kama wewe kwenda kuishi Japan kwa shughuli zako nyingine baadae mtu akakuomba uwe agent wake wa magari. Huwezi kudai kua ulikwenda Japan kwa shughuli hiyo. Kuhusu swali la kua ni wakoloni au sio inadhaniwa kua maelezo hapo juu yatatoa muanga mzuri na labda muanzishaji wa thread afahamishe anauelewa vip ukoloni.

Binafsi sidhani kua walikua wakolon kwa kuliangalia hasa neno ukoloni, kwa sababu ukoloni saa nyingine unakua na malengo ya kisiasa ucumi na kubadilsha possibly culture. Waarab hata wangetaka kufanya hivyo haidhaniwi kua wangeweze. Sidhani kua walikua na political motivation.
 
mnachohangaika ni kama kupata definition na tofauti ya Jambazi na Mwizi.

Wote walikuwa wakoloni na wote walikuwa wafanyabiashara ya kuuza watu. isipokuwa wazungu baada ya kuingiza elimu walitaka kuficha ukweli kuwa wendawazimu wenzao (waarabu) waliwatanguli; na kwa kufanya hivyo wazungu waweze kujustify kupoka eleo la maili kumi kutoka pwani, kuanzia lamu mpaka mtwara lililokuwa linamilikiwa na sultani wakiwa na lengo la kupata direct access ya badari zilizokuwa baharini ili wasitozwe kodi ya kuingia eneo la sultani
 
Hayo unayabadilisha sijui kwanini? Zanzibar ni "Zenj Empire" ambayo ilikuwa na himaya hadi Oman, hakukuwa na himaya ya Oman.

ff huko sawa ingawa hauko sahihi kabisa,vipi uelewa wako kuhusu zenj empire?Ilikuwa chini ya watu toka Uarabuni au wazawa wa Afrika masharaki?je nani aliongoza hiyo empire na mfumo wake wa dora?
Kumbuka kuna mitazamo tofauti katika kuengolea haya mambo ndo maana wanahistoria wengine wanadiriki kusema British empire in Africa,Asia and America etc badala ya kusema British colonies in Africa,America etc.
Turudi kwenye swali lako,ukoloni ni kitendo na nadhalia.Kama nchi,jamii au kundi la watu wakiwekwa chini ya jamii au tabaka ambayo siyo zawa katika kila nyanja zote za maisha ya mwanadam basi hapo tunasema huo ni ukoloni.Ndivyo hivyo ilivyo kuwa pale magharib ya Afrika na east african isles.
 
Pengine niwaulize wanajamvi. Nani waarabu? nini Uarabu na walifikaje Tanzania maana tukianzia hapo tutaelekea sehemu nzuri. Na mnaosema waarabu walikuwa wakifanya biashara ya utumwa mnajua nchi zilizokuwa zinaongoza duniani kwa biashara za utumwa waarabu hawako hata katika tano bora? Mie naanzia kwa maswali haya naomba nijibiwe.
 
Historia ya Afrika ya zamani haijakamilika vizuri.Tukichukulia mantiki ya neno ukoloni kwatasifiri ya Colonial histographers unaweza sema kuwa waarabu hawakuwai fanya hivyo.
Lakini pia ukitumia uweridi na uelewa zaidi utaona kuwa waarabu alifanya ukoloni hapa Afrika mfano ni hapa tu Zanzibar sultan kutoka Oman alikuwa na dora na mfumo wote wa serikali.
Ukienda Afrika kasikazini mfano Misri na Libya utakuta kuwa waarabu ndo wakwanza kutawala sehemu hizo na waingereza na wafaransa wamewatoa waarabu kutawala hapo.

sasa kipindi warabu wanatawala misri na libya watawaliwa walikua kina nani
 
Pengine niwaulize wanajamvi. Nani waarabu? nini Uarabu na walifikaje Tanzania maana tukianzia hapo tutaelekea sehemu nzuri. Na mnaosema waarabu walikuwa wakifanya biashara ya utumwa mnajua nchi zilizokuwa zinaongoza duniani kwa biashara za utumwa waarabu hawako hata katika tano bora? Mie naanzia kwa maswali haya naomba nijibiwe.
Mimi waarabu nafikiri ni wale wenye sifa za kutoka au kuwa na asili na bara arabu. Wenye kufata desturi, mila, tamaduni kama urithi wao na si mapokeo kwao.
 
Hao uliowataja ndio hasa waliokutana kwenye ule mkutano maarufu (Berlin Conference - 1884) ambao lengo kuu lilikuwa "Scramble for and Partition of Africa" na hatima yake ikawa kuigawanya Afrika kwa mipaka iliyopo leo. Katika mkutano huo mwarabu hakuwepo wala hakujuwa kilichokuwa kinaendelea. Yeye kazi yake kuu ilikuwa kuwinda binadamu wenzake kama swala.

Kwa ufupi, nadhani hiyo ndio sababu kuu waarabu hawaoenekani kwenye vitabu vya historia kama wakoloni ila kwenye historia ya utumwa mwarabu anaongoza.

Kama Warabu hawakuja kuleta utawala wao Afrika iilikuwaje Sultan akatawala Zanzibar na kupewa na Wajerumani maili 10 za ukanda wa Pwani? au alipewa kama native king?
 
haya turudi darasa la 3 jamani,
MWALIMU: ukoloni nini nini?
WANAFUNZI(kwa pamoja): ukoloni ni kitendo cha nchi moja kuitawala nyengine kiuchumi kisiasa na kijamii.

Haya tuanze kisiasa sasa:
waarabu walikuja pwani ya africa mashariki je walitawala? Jibu hapana utawala ulikua chini ya machief wa kiafrica mfano mirambo
Kwa case ya znz ndio warabu walitawala mfano sultan seyid said

Tuje case ya kiuchumi:
Je ni kweli walitawala kiuchumi? Jibu hapana mfumo wa kiuchumi wa kiafrica ulikua vile vile mwarabu haku introduce capitalism wala socialism ila ye alikua middle men tu

Kisocial je?
Pia jibu litakuja hapana maana waarabu walikuja na culture ya kiisilamu lakini hawakuieneza kwa force ila kwa anaetaka.

Ukweli utabakia pale pale mwarabu si mkoloni na wala si mwenye biashara ya utumwa bali ni middle man ambaye alikua akitumika na nchi za kibepari za kizungu mfano hai subiri niwapeni

Now warabu wengi ni madereva mafuso. Kupitia mafuso yao wanatumika kununua mazao (kwa kuwanyonya wakulima). Then anenunua mazao ni tajiri wa mjini. Si haki kumnyonya mkulima ila fuso la mwarabu limetumika na anaenunua ni tajiri wa mjini.

Mfano huu kwa wenye akili ataelewa kama mwarabu alikua mkoloni au kibaraka
 
Pengine niwaulize wanajamvi. Nani waarabu? nini Uarabu na walifikaje Tanzania maana tukianzia hapo tutaelekea sehemu nzuri. Na mnaosema waarabu walikuwa wakifanya biashara ya utumwa mnajua nchi zilizokuwa zinaongoza duniani kwa biashara za utumwa waarabu hawako hata katika tano bora? Mie naanzia kwa maswali haya naomba nijibiwe.

masuala mazuri sana haya. Ngoja tusubiri majibu yake toka kwa waungwana.
 
masuala mazuri sana haya. Ngoja tusubiri majibu yake toka kwa waungwana.
Mwarabu ni mwarabu. Mtu yeyote mwenye asili ya Bara arabu bila ya kujali kama katoka Yemen Emirate au Iran hao ndiyo waarabu. Naona kuna watu wanataka kusema hakuna waarabu duniani!! Sijui wanataka kukimbia nini??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom