Waarabu hawakuwa Wakoloni Afrika?

Waarabu hawakuwa Wakoloni Afrika?

In slavery days black people from Africa were take by Whites and Arabs as slaves. They were shipped to America and the Middle East to work on force labor. Today we can see evidence of black people in North and South America, Jamaica, Haiti (R.I.P. for those who died on the quake), and other western countries.

My question is this: Where are Black Arabs?
 
What is Taught: The first mention of man in flight was by Roger Bacon, who drew a flying apparatus. Leonardo da Vinci also conceived of airborne transport and drew several prototypes.
What Should be Taught: Ibn Firnas of Islamic Spain invented, constructed and tested a flying machine in the 800's A.D. Roger Bacon learned of flying machines from Arabic references to Ibn Firnas' machine. The latter's invention antedates Bacon by 500 years and Da Vinci by some 700 years.
Unaona sasa hio dini ya kubambikiwa inavyokuabisha?!
Acheni kuiga na kuabudu vya vya watu! Wewe FF inawezekana wala hujui uislamu ulianzia wapi na ni nani kaanzisha na kwa mantiki gani, utaweza ku quote koran (ilioandikwa na waaarabu) tena kwa kiislamu bila kujua maana yake, na ndio maana wenzetu wanajilipua kwa kutumaini watapokelewa na bikira uko wanakodhaniwa! ulimbukeni wa hali ya hali ya juu! Na ndio maana maana walioanzisha wako Saudia na NY wakivinjari na kuwaangalia ngozi nyueusi mkiisupport "dini yao" bila ya nyinyi kujua?! Wajinga ndio waliwao!
 
[TABLE="width: 193"]
[TR]
[TD="class: style49, width: 179"]
arab_slaverholdingafricans.jpg
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style49"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Hii inasikitisha sana
 
Uislaam haulindwi na mtu, ni mfumo wa maisha ya kila aliyejisalimisha kwa Mwenyeezi mungu. hauna haja ya kulindwa, unajilinda wenyewe, leo tunaona makundi kwa makundi ya watu wa mataifa mbali mbali wanarudi kwenye Uislaam, ni nani anaewalazimisha? hata wewe ulizaliwa Muislaam lakini unajidanganya tu, mpaka ulivyobatizwa. Kabla ya kubatizwa ulikuwa nani kama si Muislaam?

Kivip nilizaliwa muislam?Ufafanuz plz kabla sijasema ya kwangu.
 
Waharabu..?!
Nani hajawai ona kitabu cha darasa la nne kama sio cha tano cha historia(michoro)..
Namna Babu zetu walivyofungwa na minyororo shingoni mithiri ya n'gombe na kama haitoshi kuwatoboa visigino..
Nadhani umeanza kupata picha waharabu ni akina nani katika hstoria yetu..
Wakatili kulikoni, Wezi na wanyanganyi, wauza watu na hao wengine walikuwa wanunuzi..
Siyo watu wazuri kabisaaaaaa..!

Acha ujinga, hata wazungu walifanya biashara hiyo ya utumwa. Hata wanunuzi wakubwa wa watumwa walikuwa wazungu.
 
Hiyo tafsiri yangu ndio hiyo nnaitolea ufafanuzi ya huko kiembembuzi na kwingine kokote, haina kukinzana. Wa kiembembuzi hawana tofauti na wewe hata kidogo, wamuonae wao humuita Mwaarabu, na ndivyo ilivyo hawajui huyu ni Mwaarabu wala si Mwaarabu, awe Muhindi awe Mshirazi. Hapo ndipo unapokuja mjadala, Muarabu ni nani? jibu nimelitoa huko juu na unalijua sina haja ya kulirudia.
wewe mwarabu wa Kiembembuzi ndiye ninayeuliza kama alikuwa ni Mkoloni au la. Wana Kiembembuzi wanajua tofauti kati ya Mhindi, Goa au mwarabu. Sisi wa kiembembuzi tunajua kabisa kwamba Azim Dewji au Yusuph Manji hawako sawa na Bakhressa na tunawajua hata waburushi ni tofauti kabisa na hao wengine niliowataja.

Mwarabu tunayetaka kujua kama alikuwa mkoloni ni yule aliyekuwa anasimamia biashara ya Utumwa na yule ambaye aliwabadilisha majina kina Ngw'anakilala na kuwa kina Abdalah! HUyu ndiye mwarabu tunayemzungumzia!!

Nisamehe Bi Mkubwa nimeongea kama Kalumekenge!!
 
Kivip nilizaliwa muislam?Ufafanuz plz kabla sijasema ya kwangu.

Umezaliwa ukiwa hujui chochote wala lolote, nani aliokufundisha kunyonya?

Tunaamini kuwa binaadam tumeumbwa na Mwenyeezi Mungu na maana ya Uislaam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu, kama umezaliwa na hujui chochote ulijisalimisha kwa nani? Mwenyeezi Mungu pekee.

Ulitolewa katika kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu pale ulipobatizwa.
 
“a European decision to make Africa end at the Red Sea has decisively de-Africanized the Arabian peninsula…the tyranny of the sea is in part a tyranny of European geographical prejudices. Just as European map-makers could decree that on the map Europe was above Africa instead of below (an arbitrary decision in relation to the cosmos) those map-makers could also dictate that Africa ended at the Red Sea instead of the Persian Gulf. Is it not time that this dual tyranny of the sea and Eurocentric geography was forced to sink to the bottom? (Ali A. Mazrui, Euro-Jews and Afro-Arabs: The Great Semitic Divergence in World History, 2008).

Hivi wewe FaizaFoxy maoni yako ni nini kwenye mambo mbalimbali mbona kwenye kila hoja inayoletwa humu JF ni lazima U- Quote kutoka kwenye papers fulani au kitabu fulani. wewe binafsi tafsiri yako kuhusu maisha ni ipi zaidi ya zile za Mohamed Said?
 
Mecca had a huge slave market in former times.The rebellion of the Zanj in what is now Iraq was because of the brutality with which the Africans were treated by Arabs. Thousands of Africans were cruelly butchered in a ruthless massacre.Somehow the "Black Muslims" and the "Nation of Islam" swallowed this camel, that Islam was so "good" to Africans.
Nilimshangaa FaizaFoxy aliposema Zanj Empire ni Zanzibar ya leo nikabaki nimeduwaa. Tatizo lake FaizaFoxy ni "usomi' wa Historia "sahihi" inayotolewa kuonyesha kwamba duniani kuna mfumo maalum wa kuuangamiza Uislamu!!
 
Nilimshangaa FaizaFoxy aliposema Zanj Empire ni Zanzibar ya leo nikabaki nimeduwaa. Tatizo lake FaizaFoxy ni "usomi' wa Historia "sahihi" inayotolewa kuonyesha kwamba duniani kuna mfumo maalum wa kuuangamiza Uislamu!!

Tatizo lako ni kuwa hutaki kusoma, unafikiri toka kichwani, si mbaya lakini tazama, ngoja nikufahamishe kuhusu maana ya halisi ya "zenj":

Zenj imetafsiriwa na wengi kuwa ni "Black" au "Mweusi" lakini hiyo ni maana ya ujumla wa kuchangisha maana, maana halisi ya neno zenj ni 'pua pana" au "pua kubwa" au "pua iliyo bambataa" na hii ilihusishwa na watu weusi na ndio ikatafsiriwa kiujumla kumaanisha watu weusi, usahihi ni kuwa kila mwenye pua pana, au pua iliyobabataa huwa ni Zinji. Hiyo ndio maana ya zenj. Na ndio maana hata tangawizi kwa kiarabu inaitwa "Zanjabil", sio kwa ajili imetoka Zanzibar, hapana, kwa ajili ya ilivyokaa, tazama pua zetu zilivyokaa halafu tazama tangawizi mbichi utanielewa.

Maana ya Bar, ni rahisi sana kwa msemaji wa kiswahili kuielewa, maana ya Bar ni Bara (bara Arabu) kwa pamoja ndio tunapata neno Zenj Bar au Bara la wenye pua nene (iliyo babataa), ni sifa ya watu wengi wa Afrika, kwa watu kutaka kuifanya Afrika ("Afrika" yenyewe ni neno la Kiarabu) ni exclusively kwa watu weusi (ama kwa kutokujuwa kwao ama kwa kupoteza maana halisi) wakaitafsiri Zenj kuwa ni mtu mweusi, mtu mweusi Kiarabu ni "Sudan" linatokana na neno "Aswad" (Black).

Ndugu yangu jina Zanzibar linatokana na Zenj Bar. Na hiyo ndio inayojulikana kihistoria kama Zenj Empire, na Zenj Empire ilikuwa na utawala mkubwa sana na haukuishia visiwa vya unguja tu, ndio maana Zanzibar si jina ya kisiwa fulani, visiwa vinavyotambulika leo kama Zanzibar ni vya Pemba, Unguja, Tumbatu na vinginevyo vidogo vidogo, lakini si kisiwa fulani. Na anaposema mtu kulikuwa kuna soko la utumwa Zanzibar, hakosei, kwani Zanzibar ilikuwa ni himaya kubwa sana, Bwagamoyo, Mombasa, Mrima, Kilwa, mpaka Congo, mpaka Somalia, mpaka Mozambique (sofala) na si ajabu mpaka Afrika Kusini na Zimbabwe, pia si ajabu ikiwa ni Afrika Nzima, jee hakuna ma "Zenj" Afrika nzima?

Unaposikia "revolt" au "rebellion" ya "Zanj" usifikiri ilimaanisha Zanzibar unayoijuwa leo hapana inamaanisha watu "Zanj" ni "plural" ya "Zinj", panuka kidogo kuelewa maana kwa uhalisia wake na si kwa muono wako.

Nakuambia tena na tena, nisikilize vizuri, utapata mengi sana kuhusu hili somo, nashkuru sana napata kulitolea darsa hapa ni somo nilipendalo na nnalijuwa kiasi changu. Tartiiibu tutafika. Hii ni amana na ukija kuitaka siwezi kukunyima.
 
Waarabu Wa Loliondo ni Noma, tena sana.

Jamani kama hamjui yaliyojificha Loliondo, tieni mguu katika vijiji ya jirani muoni.

Vijana wadogo kwa wakubwa wameisha, wana fi ...r..wa sana na waarabu.

Waaarabu wanagawa dola kama hawana akili nzuri, vijana wameisha jamani kule.

Mbali na lile sakata la uchomaji wa maboma, ushoga ni ishu mbaya mno. Vijana wadogo ni wameharibika.

Wanaosema Serikali ijiunge na OIC, wamepotea. Waarabu wata pakua Tigo zenu mpaka basi.

Jamani hawa waarabu ni wakoloni wabaya sana, yaani wanapeleka wanyama wetu hai uarabuni kuuza halafu wanarudi na Dola kununua masaburi ya vijana wetu huko Loliondo,.

mwisho nasema, waandishi habari waende wakachunguze. Ndugu Saed Kubenea (Mwanahalisi) na Jenerali Ulimwengu (Raia Mwema) tumeni waandishi wa kiuchunguzi.
 
Umezaliwa ukiwa hujui chochote wala lolote, nani aliokufundisha kunyonya?

Tunaamini kuwa binaadam tumeumbwa na Mwenyeezi Mungu na maana ya Uislaam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu, kama umezaliwa na hujui chochote ulijisalimisha kwa nani? Mwenyeezi Mungu pekee.

Ulitolewa katika kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu pale ulipobatizwa.

Mmmh ngoja nikae kimya nisije nikakuchafulia siku bure.Maana comment yangu kali imepotezwa ghafla naogopa BAN mie.Kuwa huru na hoja zako za ku editiwa na macomplicator waliokufundisha hiyo concept.
 
Umezaliwa ukiwa hujui chochote wala lolote, nani aliokufundisha kunyonya?

Tunaamini kuwa binaadam tumeumbwa na Mwenyeezi Mungu na maana ya Uislaam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu, kama umezaliwa na hujui chochote ulijisalimisha kwa nani? Mwenyeezi Mungu pekee.

Ulitolewa katika kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu pale ulipobatizwa.

kwa hiyo ukiwa hujui chochote ndo muislamu nilivyonasuliwa na ubatizo nikaukimbilia ukristo au sijaelewa?
 
Yaliopita si ndwele tugange yalioyopo na yajayo. Waafrika wenyewe walikuawa wakipigana vita wao kwa wao na kuchukua watumwa. Kuna makabila ya kiafrika yaliojina bora na yenye nuvu kunyanyasa mengine. Mfanao wa karibuni wa maafa baina ya waafrika wenyewe angalia yaliotokea Rwanda. Huu ndio udhaifu wa binaadamu wote.
 
Umezaliwa ukiwa hujui chochote wala lolote, nani aliokufundisha kunyonya?

Tunaamini kuwa binaadam tumeumbwa na Mwenyeezi Mungu na maana ya Uislaam ni kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu, kama umezaliwa na hujui chochote ulijisalimisha kwa nani? Mwenyeezi Mungu pekee.

Ulitolewa katika kujisalimisha kwa Mwenyeezi Mungu pale ulipobatizwa.
kwani uislam na ukristu kipi kilianza? kwa wakristu mtu asiyebatizwa ni mpagani
hatumwiti mwislam. labda utuambie kuwa wapagani ni waislam
 
Nina hamu kama nitajua waarabu tuwaweke kundi gani. Wakoloni au watawaliwa na wakoloni?

Kale kaelimu kangu ka historia ya primary school kalinifundisha hivi: UKOLONI, ni hali ya nchi moja kuitawala nchi nyingine kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni!!! Mwarabu hakutawala nchi yoyote duniani; kwani hata yule Sultan wa Oman, aliwekwa pale na wakoloni wa kiingereza kutetea maslahi ya uingereza! Binafsi, nawaweka Waarabu katika kundi la wafanyabiashara ambao walikuwa tayari kupiga deal lolote, liwe halali (kama shanga) au haramu (kama biashara ya watumwa!)
 
kwani uislam na ukristu kipi kilianza? kwa wakristu mtu asiyebatizwa ni mpagani
hatumwiti mwislam. labda utuambie kuwa wapagani ni waislam

Hakuna ambae hajisalimishi kwa Mwenyeezi Mungu, hivi wewe unajisalimisha kwa nani?
 
Back
Top Bottom