Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
- Thread starter
- #81
Tukitaka kujadili ni nini kiliwatokea watumwa waliopelekwa Uarabuni najua tutaachana njia. Wale waliopelekwa Uarabuni hawakuwa na bahati kama wenzao waliokwenda Ulaya na Amerika. Leo waliokwenda Amerika na ulaya masalia yao tunayaona lakini wale waliopelekwa Uarabuni imebaki hadithi!!Kwani watumwa walikuwa wanapelekwa Uarabuni au Ulaya na America?