Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Vitabu vingi vya Historia na Fasihi viwe vimeandikwa na waafrika wenyewe au watu wa kutoka nje ya bara la Afrika, mara zote vinawataja Wareno,Waitaliano, Wajerumani, waingereza, Wadachi, na Wafaransa kama wakoloni, lakini mimi sijawahi kukutana na kitabu kinawataja waarabu kama wakoloni. Najiuliza kama waarabu hawakuwa wakoloni sifa yao ilikuwa ni nini hasa? Wavamizi, wafanyabiashara, waeneza dini au wao walikuwa pia wanatawaliwa na hao tunaowaita wakoloni?