FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
Vovyote vile.......hao hao walikuwa wafanyabiashara ya binadamu.
Biashara ya binaadamu mpaka leo ipo, kwani imekwisha?
Vovyote vile.......hao hao walikuwa wafanyabiashara ya binadamu.
Waarabu hawakuwa wakoloni Afrika. hilo ni jibu tosha.
Usichanganye Uarabu kama ni Taifa fulani, Uarabu ni lugha zaidi ya Taifa. Kama vile Mswahili, mswahili si Taifa. Nadhani umenipata.
Hao wengine wote uliowataja ni mataifa ambayo yanaweza kuwa na koloni lake. Kama si Taifa huwezi kuwa na koloni. Simpo.
Biashara ya binaadamu mpaka leo ipo, kwani imekwisha?
Kweli biashara ya utumwa ipo mpaka leo lakini waarabu si ndiyo walikuwa wanaongoza kwa biashara hiyo huku Afrika?
Walikuwa wanawauzia kina nani hizo bidhaa za utumwa?
Mkuu unaweza kutuwekea ushahidi wa hayo maneno yako ili tupate kujadili vizuri
Hata Uarabuni waafrika walipelekwa lakini sijui walipotelea wapi!!?? Labda wote waliishia Oman.Walikuwa wanawauzia kina nani hizo bidhaa za utumwa?
Mkuu unaweza kutuwekea ushahidi wa hayo maneno yako ili tupate kujadili vizuri
Kwahiyo hapa unataka kukanusha kwamba waarabu hawakuwa wanafanya biashara ya kuuza waafrika ama unataka kusemaje?
Juzi juzi tumesikia jinsi wakenya (hasa wamnawake)wanavyouzwa huko saudi arabia na kuteswa, huo ni ushahidi mmojawapo wa biashara ya binadamu kuwepo.
Kwanza nashukuru kwa changamoto yako. Mimi niliposema waarabu nilimaanisha waarabu bila yakujali wametoka nchi gani. Hata ukiangalia hao wengine nilitaja wakoloni kisha nikataja na nchi zao. Hapa umeleta kitu kipya kabisa kizuri "nchi" maana hata Afrika wakati huo inatawaliwa sidhani kuna eneo liliwezekanika kuitwa nchi.
Lakini kuna hoja ya msingi hapo ambayo inatakiwa kujadiliwa. Nani na nini hasa hufanya nchi. Huu mfumo tulionao sasa wa "nchi" ndiyo ulikuwa unatumika wakati huo. Hivi tafsiri ya nchi kwa waarabu na wazungu inafanana? Faiza umeleta swali la Kisomi sana.
Labda kweli waarabu hawakuwa wakoloni kwa sababu wao hawakuja Afrika kama nchi!! Utetezi huu unatosha?
Zanzibar na pwani yote ya Afrika Mashariki lilikuwa koloni la Oman.
Bi Mkubwa sijakubishia bali ninachotaka kuuliza ni kama tafsiri ya nchi kwa wakati huo inafanana na tafsiri ya nchi kwa wakati huu? Na mifumo ya waarabu wakati ule haukuwawezesha kuwa nchi inayotawala nchi nyingine?Hakuna utetezi hapo, kuna "facts". Kama si nchi huwezi kuwa na koloni, sijui ni kipi kigumu kukielewa. Tuchukulie mfano hai, Obama baba yake ni Mkenya na asili yake ni baba yake na ni Wajaluo, tuseme leo USA ni koloni la Kenya au Wajaluo au Afrika? Fikiri.
Zenj Empire. Haya lete habari!!
Bi Mkubwa sijakubishia bali ninachotaka kuuliza ni kama tafsiri ya nchi kwa wakati huo inafanana na tafsiri ya nchi kwa wakati huu? Na mifumo ya waarabu wakati ule haukuwawezesha kuwa nchi inayotawala nchi nyingine?