Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,226
Hapo yesu itakuwa alikosea bana hakuna nabii wa uongo watu wamefanya miujuza tukashuhudia anakuaje nabii wa uongo?Wewe ndio wakala wa mpinga kristo.
Yesu alisema kuweni makini watakuja manabii feki, kwahyo wewe una akili sana kuliko yeye?
Yule kenge tulishamuona muda mrefu, hakuna kitu pale katika manabii feki aliowaongelea yesu yule ndio alikuwa kiongozi