Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 221
Mkuu usisahau pia nigeria kuna kundi la watu ambao ni waumini wa dini fulani na wanaua watu wakiwemo wanawake,watoto wadogo,wanafunzi wa shule na vyuo yote katika jina la dini hiyo na mara nyingi wanapokuwa wanauua wanamtaja huyo mungu wao na mtume wao.......nimejaribu kugusia na hilo ili uone jinsi gani waafrika tunavyoathirika na hizi dini za kuletewa pamoja na umbumbumbu wetu wa kuiga iga mila na tamaduni za watu wa nje,nigeria haipaswi kuwa masikini kwa utajiri uliopo pale ila ndio hivyo tena ni watu weusi wale na inabidi iwe kama walivyo,siasa mbovu,ukatili,wivu,uchoyo,uroho,ulafi,ufisadi,ujinga na kila aina ya taka taka ipo kwenye akili za waafrika