WaAfrika Tatizo Letu Ni Nini!?

Muda tu nilishakubali kwamba waafrika tumeumbwa dhaifu kulinganisha na binadamu jamii zingine,
Sina uhakika lakini nafikiri jamii ya kiAfrika ndiyo duni kabisa kifikra na kiuwezo wa kujiwezesha kuliko jamii zote Duniani, yaani hata wahindi wanatukalisha!


Naamini kabisa maisha mazuri wanayoishi watu wa Afrika ya kusini wazungu wanahusika kwa asilimia 80, na uwepo wa wazungu unaifanya Afrika kusini kulingana kabisa kiuchumi na nchi nyingi tu za dunia ya kwanza,

Udhaifu wa waafrika weusi unajidhihirisha hata tunapojilinganisha na nchi za kaskazini mwa Afrika zinazokaliwa na jamii kubwa ya kiarabu, tunakuta ndizo ndizo nchi zenye uchumi mzuri zaidi kulinganisha na nchi za waAfrika weusi,

Kwangu nimejikubalisha kwamba hili ni tatizo la waAfrika la kiasili kabisa, yaani tumeumbwa tukiwa dhaifu. Na kwa sababu tumeumbwa hivi nadhani maisha yetu au uchumi wetu ukiacha mtu mmoja mmoja hautastawi kamwe kulinganisha na jamii ya binadamu wasio waafrika!!

Nchi zetu zina kila rasilimali na sababu ya kuinua uchumi kufanya kila mwafrika aishi maisha bora, lakini mambo ni magumu kabisa Afrika.
Tuna tatizo la kiasili kabisa!!

Mkuu hapo kwenye red bold ulichosema kilishawahi kusemwa na Dr Watson kwenye utafiti wake mwaka 2007 kama sijakosea. Lakini kama ilivyokawaida ya ukweli kuuma waafrika wengi sana walikuja juu kusema kwamba ametutukana. Huyu Dr. alijenga hoja nyingi sana za mambo ambayo tunayafanya (ambayo binadamu wa kawaida asingeyafanya!!) tofauti kabisa na races zingine. Ingia google then click ''Black People are Less Intelligent, Says Dr. James Watson, Nobel Prize Winner and DNA Pioneer''.

 
Mkuu hapo kwenye red bold ulichosema kilishawahi kusemwa na Dr Watson kwenye utafiti wake mwaka 2007 kama sijakosea. Lakini kama ilivyokawaida ya ukweli kuuma waafrika wengi sana walikuja juu kusema kwamba ametutukana. Huyu Dr. alijenga hoja nyingi sana za mambo ambayo tunayafanya (ambayo binadamu wa kawaida asingeyafanya!!) tofauti kabisa na races zingine. Ingia google then click ''Black People are Less Intelligent, Says Dr. James Watson, Nobel Prize Winner and DNA Pioneer''.

Nashukuru kwa kuendelea kutupa elimu ya kujitambua tulivyo mkuu.
 
Nimesoma The Guardian leo Alhamisi, Nigeria inajikongoja iweze kuzalisha japo 5000MW za umeme kwa watu wake milioni 160 wakati ambapo South Africa inazalisha 40,000MW kwa watu wake milioni 43. Sitaki kuamini weusi wa SA ndio wamefanikisha hilo lililowashinda Nigeria na mafuta yote waliyonayo ni wale tuliowaita makaburu. Ndilo naloliona Tz. Uongozi ni Tatizo kubwa sana! Hakuna mwenye huruma na nchi bali maslahi binafsi!

Tatizo liko vichwani mwetu.

Tunajuwa sana kusema kuliko kutenda.
 
hatimaye umeoonyesha kukielewa kile tunachokiongelea hapa sasa,na nimependa uliposema kuwa "tumesimamia utajiri bila kujitambua" sasa hicho ndio tunachokiongelea hapa, na kwanini iwe hivyo kwetu?yaani kwa utajiri, rasimali za hili bara letu waafrika hatukupaswa tuwe hivi tulivyo leo hii,kila kukicha kuomba misaada kwa wenzetu hapo ndipo mimi pamoja na waliochngai tunaoana kuwa waafrika hatuko sawa,labda tu niseme kitu kimoja leo hii kama tunaamua kubadilishana bara yaani wazungu waje afrika na sisi tuende kwao, nakuhakikishia baada ya miaka michache tutaanza kuzamia kurudi afrika...trust me hatupaswi kuwa nyuma kimaendeleo namna hii,watawala wetu ni mfano hai jinsi akili zetu zilivyo yaani ubinafsi,uchoyo,ukatili na upuuzi mwingine mwingi ambao sitaki kuutaja hapa..namalizia kwa kusema tukubali tukatae WAAFRIKA TUNA TATIZO AMBALO BILA SHAKA NI LA KIASILI.
Eee Mhe. Mku ; Baada yakunibambikiza eti mie mjinga; Sasa umekirii kweli tuna jazba katika maamuzi yetu (DM) Descion Maker katika uhai na hatma zetu !! Ok linguine mkuu hapo juu kwenye boldi ulipo shadidia.... "Yaani tunategemea nini ? na usawa gani ? Samahani na kumradhii mie nawaita baadhi ya WaAfrika wenzangu ni WAHUNI awa kiongozi au mwalimu,Raia, au VIP....!! Siyo wote, Maana tunahulka ya kurudia makosa hapo kwa hapo na hata kurudia makosa ya wengine baada ya kuyaona bado tunakariri uozo wetu. Pole kwa jamii. Good Luck and God bless Afrika.
 
Soma comments za Pro-CCM katika maswala mengi ndo unaweza kuona akili za watu wanaoongoza nchi za Afrika walivyo.
 
Yaani utafikiri ukizaliwa mwafrika ni kosa, bado tunaangaika na vitu vya kijinga sana eti huduma kama maji, elimu, chakula, miundo mbinu ya usafiri magonjwa ya kijinga tu orodha ni ndefu sana...wakati tumezungukwa na rasirimali nyingi tu!

Wewe leo tafuta hotel inayotoa huduma mbovu, weka management ya kizungu/weupe hata kama wafanyakazi ni waliwale lakini huduma itabadilika na kuwa bora.

Tafuta sehem wanayotoa huduma nzuri na kama inaendeshwa na weupe/wazungu kisha mlete mweusi, ubora utashuka tu. Sio kwamba nawasifia sana wazungu hila hiyo ndio hali halisi katika maeneo mengi sana.

Nyani Ngabu signature yako nadhani inahusika!

mmebakia chadema na zitto tu
 
yaani tumepewa nguvu za mwili na si akili! so sad! tunazitumia vipi hizi nguvu za mwili kuzaliana na kupigana! eeeh Mungu tusamehe kama tulikosea sisi au mababu zetu! Mungu tupe nguvu za akili!
Mzuri wetu Siku yako njema.... Tumeumbwa vizuri kama wenzetu na tukapendelewa sana.... na Mashallah tuna nguvu za kuzaliwa ..Nduguyangu wee tatizo ni Uhuni tulonao tunauendekeza sana hatupendi kubadilika !! Na sababu ni zipo nyingi na zina weza kutatulika !! ila hatupendi kubadilika tunajificha chini ya Mwamvuli wa "mababu zetu,Wakoloni,Mungu hatupendi" hayo yote ni visingizio tu..... Tuache uhuni tu! kesho maendeleo lukuki hayo mbele ya macho. Kila la heri na Baraka kwako.
 
Hii mada nimeipenda sana leo,kusema kweli nashukuru kujua kumbe kuna waafrika wenzangu wameliona hili tatizo la waafrika,haya mambo kwa upande nilianza kuyadadisi miaka mingi sana iliyopita na watu walinihisi nina walakini kichwani ila tangu nikiwa mdogo nilishaliona hili kuwa waafrika tuna walakini,hatuko sawa hata kidogo na ndio tuko hivyo,nakubaliana na waliochangia na kusema hili ni tatizo la kiasili lakini pia kuna mambo mengine yamezidi kuchangia kutufanaya tuwe hivi tulivyo leo na mojawapo ni kuabudu miungu na dini za kuletewa na wakoloni wa kizungu waliokuja kututawala na wale waliokuwa wakibaka bibi zetu na kuua babu zetu hawa ni waarabu toka uarabuni,hapo ndipo tulipopoteza kabisa identity yetu,fikra zetu na hata utashi wetu wa kuitwa binadamu kamili ukapotea na mpaka leo hii miafrika iko kama mizuzu kwa kuabudu ujinga ulioletwa na hawa wageni,matokeo yake tumebaki kuwa omba omba,bara haliendelei,maradhi kila siku,njaa, vita n.k.
waafrika hatuko sawa kichwani,hata tusome vipi bado ni zero tu..!!

tafuta cha kudefend point ila sio dini,

waafrika wanasumbuliwa na

1.ushirikina na uchawi wapo watu hawawezi kwenda kwao na magari au nguo nzuri kuhofia kulogwa hata kama wana phd.

2. kuowa wake wengi na kuzaa bila mpango eti kila mtoto ana bahati yake.

3. wanaoneana wivu wala hawapendi mwenzie awe tofauti kihali atamfanyia tu miundombinu arudi nyuma.

4. aliefanikiwa hataki mwenzie afanikiwe au ajue namna nae anaweza kufanya ili afanikiwe kama yeye.

5. wameathiriwa kisaikolojia na mambo ya utumwa na ukoloni kiasi cha kujiona hakuna kama mzungu = m_ungu.

6. ndio aina pekee [weusi, nywele fupi na ngumu] kati ya matabaka ya binadamu wengine wote duniani.

7. hawana connection na jamii zilizoendelea kijiografia tokea awali ukilinganisha na watu wa ulaya wapo karibu na watu wa asia na amerika kijeografia hivyo ni rahisi kubadilishana maendeleo kabla ya ugunduzi wa meli [lack of exposure like in the island]

8. wamekataliwa na jamii tofauti na zao kutokana na utofauti mkubwa wa muonekano ukilinnganisha na jamii zote.

9. waafrika wameendekeza mambo ya ngono sana kuliko kufanya kazi kwa bidii mfano wa kawaida wachagga wanajulikana kwa ulimbukeni mkubwa wa kitandani si me wala ke lakini angalia kipawa chao then maisha yao ukilinganisha na lile kabila kinara kwa mambo ya kitandani kimaendeleo.

10. wagunduzi wa chuma na wataalamu wa fani za ufundi ambazo ndio msingi wa maendeleo walikamatwa wakapelekwa ulaya au kukatwa mikono na kupigwa marufuku kufanya shughuli zao na kushindwa kuendelea kiteknolojia hasa ya chuma
kutokana na utumwa.

11. waafrika hatukuwa na matumizi ya maandishi au herufi ambapo ni msingi mkubwa wa elimu ambayo ndio msingi wa ufahamu uliopevuka we jaribu kuchunguza jamii zilizokuwa na namna ya kuhifadhi kumbukumbu zao tokea awali.

haya mambo na mengine mengi hayana uhusiano na dini tena kuna maeneo kama sio ukristo ulifika tungekuwa bado tunavaa ngozi angalia maeneo ambapo wamisionari walikaa kimaendeleo na maeneo mengine.
 
Hayo yotee mtayaongea sana na kujadili sana ...lakini tatizo kubwa la waafrika ni UVIVU NA UBINAFSI...tena ubinafsi tunawashinda hata wanyama wengine kama simba,mbwa etc...waafrika ni wabinafsi mno na wavivu wa kupindukia!!!
 
Mtataja matatizo meengi ya waafrika Uvivu,Tamaa,Ubinafsi, kupenda ngono na mambo meengi yafananayo.
Kwa kweli waafrika sio wavivu, waafrika ni wawajibikaji na ndio maana hata wageni walitukamata tukawalimie mashamba yao huko ughaibuni, tatizo kubwa la waafrika ni kwamba tuna ujinga wa asili, na huu haututoki kwa kusoma!!

Ukinitajia matatizo mengine yooote ni kama unazunguka tu, tuna tatizo na hili binafsi namrudishia Muumbaji, yeye alituumba tukiwa dhaifu, dhaifu tangu asili na mpaka leo waafrika tu dhaifu.

Tamaa, roho mbaya, wizi, wivu wa kijinga ubinafsi, Hivi vyoote ni tatizo moja tu, tuliumbwa dhaifu.
Kwanini Waafrika tu!?
 
tafuta cha kudefend point ila sio dini,

waafrika wanasumbuliwa na

1.ushirikina na uchawi wapo watu hawawezi kwenda kwao na magari au nguo nzuri kuhofia kulogwa hata kama wana phd.

2. kuowa wake wengi na kuzaa bila mpango eti kila mtoto ana bahati yake.

3. wanaoneana wivu wala hawapendi mwenzie awe tofauti kihali atamfanyia tu miundombinu arudi nyuma.

4. aliefanikiwa hataki mwenzie afanikiwe au ajue namna nae anaweza kufanya ili afanikiwe kama yeye.

5. wameathiriwa kisaikolojia na mambo ya utumwa na ukoloni kiasi cha kujiona hakuna kama mzungu = m_ungu.

6. ndio aina pekee [weusi, nywele fupi na ngumu] kati ya matabaka ya binadamu wengine wote duniani.

7. hawana connection na jamii zilizoendelea kijiografia tokea awali ukilinganisha na watu wa ulaya wapo karibu na watu wa asia na amerika kijeografia hivyo ni rahisi kubadilishana maendeleo kabla ya ugunduzi wa meli [lack of exposure like in the island]

8. wamekataliwa na jamii tofauti na zao kutokana na utofauti mkubwa wa muonekano ukilinnganisha na jamii zote.

9. waafrika wameendekeza mambo ya ngono sana kuliko kufanya kazi kwa bidii mfano wa kawaida wachagga wanajulikana kwa ulimbukeni mkubwa wa kitandani si me wala ke lakini angalia kipawa chao then maisha yao ukilinganisha na lile kabila kinara kwa mambo ya kitandani kimaendeleo.

10. wagunduzi wa chuma na wataalamu wa fani za ufundi ambazo ndio msingi wa maendeleo walikamatwa wakapelekwa ulaya au kukatwa mikono na kupigwa marufuku kufanya shughuli zao na kushindwa kuendelea kiteknolojia hasa ya chuma
kutokana na utumwa.

11. waafrika hatukuwa na matumizi ya maandishi au herufi ambapo ni msingi mkubwa wa elimu ambayo ndio msingi wa ufahamu uliopevuka we jaribu kuchunguza jamii zilizokuwa na namna ya kuhifadhi kumbukumbu zao tokea awali.

haya mambo na mengine mengi hayana uhusiano na dini tena kuna maeneo kama sio ukristo ulifika tungekuwa bado tunavaa ngozi angalia maeneo ambapo wamisionari walikaa kimaendeleo na maeneo mengine.


nashukuru pia mkuu kwa kujaribu kueleweshana kwa kile kinachojadiliwa hapa,kwenye mada yangu nimetaja dini kama moja ya sababu ya sisi kuwa hivi but is not a panacea ya matatizo yetu yote,tuna matatizo mengi ambayo yametufanya watu weusi au waafrika tuwe hivi leo hii na hata kama utakaa dini ni sababu mojawapo kuu....kuna watu maarufu walishaliona hili,soma hapa;
Lenin Vladimir Lenin, speaking of religion in Novaya Zhizn in 1905 “Religion is one of the forms of spiritual oppression which everywhere weighs down heavily upon the masses of the people, over burdened by their perpetual work for others, by want and isolation. Impotence of the exploited classes in their struggle against the exploiters just as inevitably gives rise to the belief in a better life after death as impotence of the savage in his battle with nature gives rise to belief in gods, devils, miracles, and the like. Those who toil and live in want all their lives are taught by religion to be submissive and patient while here on earth, and to take comfort in the hope of a heavenly reward. But those who live by the labour of others are taught by religion to practise charity while on earth, thus offering them a very cheap way of justifying their entire existence as exploiters and selling them at a moderate price tickets to well-being in heaven. Religion is opium for the people. Religion is a sort of spiritual booze, in which the slaves of capital drown their human image, their demand for a life more or less worthy of man”.
 
Wakati unatafuta tatizo la waafrika lazima utambue tatizo la kwanza ni ule uafrika wenyewe.

sitaki kuamini kuwa tatizo letu ni Uafrika wetu.....Labda fafanua unamaanisha nini?

Mimi nafikiri ni pale tulipokubali wakoloni watutawale na kutuaminisha kila kilicho chetu kizuri hakifai hadi. Hasa pale tulipoamua kuipokea elimu yao na kuachana na ya kwetu ambayo ilikuwa inatujenga katika misingi ya kusaidiana kama jamii na kupiga hatua ya maendeleo pamoja. Hadi kesho bado tutabaki na viongozi ambao ni wabinafsi wasiojali maslahi ya walio wengi.

Mapinduzi ya kweli yanahitajika katika nyanja zote.
 
matatzo yote n ufinyu wa kimawazo tulonao tunapenda kuchukulia mambo easy..easy tu hatupambui mawazo yetu kabsa......cjlaum na.wala cjutii kuzaliwa africa(jikubal).....ujinga na ufinyu.wa mawazo utatuua cc wenyewe
 
ila mnaikumbuka burga kpnd njaa miaka nyuma....tuache uvivu las hvyo tutaendelea kupigka milele
 
sitaki kuamini kuwa tatizo letu ni Uafrika wetu.....Labda fafanua unamaanisha nini?

Mimi nafikiri ni pale tulipokubali wakoloni watutawale na kutuaminisha kila kilicho chetu kizuri hakifai hadi. Hasa pale tulipoamua kuipokea elimu yao na kuachana na ya kwetu ambayo ilikuwa inatujenga katika misingi ya kusaidiana kama jamii na kupiga hatua ya maendeleo pamoja. Hadi kesho bado tutabaki na viongozi ambao ni wabinafsi wasiojali maslahi ya walio wengi.

Mapinduzi ya kweli yanahitajika katika nyanja zote.
With high respect naheshimu maoni na rai yako... lakini ndugu yangu Wakoloni wameondoka miaka zaidi ya 53, Utawala ni wetu lugha ni yetu utamaduni na mila zetu viongozi na wana siasa ni wetu wataalamu ni wetu nchi ipo kwenye mikono yetu!! Huoni hapo kuna utata? Ok nikupe mfano ukichukua Dola kubwa humu kwenye bara la afrika Mf, NIGERIA hao ni watu walosoma na asilimia kubwa ina uwezo wakitaaluma pamoja ni nchi tajiri kuhodhi asilimia kubwa ya Mafuta (oil) yaani uchumi wao hausubiri misaada kama siye hapa!!! Lakini Nigeria imekuwa nchi isiyokuwa na mwelekeo na kuwa nchi yenye umasikini wa kutupa na kupotokwa na maadili ya kijamii!! Hayo yote yemetokana na Uhuni wa kudumu na Ujambazi wa fadhila baina yao!! mungu apishe mbai na sisi tunaelekea huko.!!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
 
Kama fikra za Rais tu zinaamini wazungu ndo only watatuletea maendeleo unategemea nin hapo.... JK hovyo kabisa
 
Una hoja nzuri na zinashawishi sana hususani ukiangalia juu juu bila kuzama ndani hasa kwenye hili suala.
Muda tu nilishakubali kwamba waafrika tumeumbwa dhaifu kulinganisha na binadamu jamii zingine,
Sina uhakika lakini nafikiri jamii ya kiAfrika ndiyo duni kabisa kifikra na kiuwezo wa kujiwezesha kuliko jamii zote Duniani, yaani hata wahindi wanatukalisha!
Hapa zaidi ya sababu za kimazingira ni vigumu sana kuthibitisha hii hoja. Sisemi kwamba unachosema si sahihi ila nasema kuwa hadi muda huu hakuna uthibitisho wa kisayansi juu ya hili. Pili jamii zenye uchumi mbovu sio za watu weusi tu, kuna jamii nyingi tu ni maskini sana na zina mambo ya ajabu sana. Kwa mfano ukienda Bangladeshi hali ni mbaya sana.

Naamini kabisa maisha mazuri wanayoishi watu wa Afrika ya kusini wazungu wanahusika kwa asilimia 80, na uwepo wa wazungu unaifanya Afrika kusini kulingana kabisa kiuchumi na nchi nyingi tu za dunia ya kwanza,
Hii ina ukweli mwingi lakini hili ni suala la kihistoria zaidi. Afrika Kusini imejengwa zaidi na jasho la watu weusi kwa dhulma waliyokuwa wanafanyiwa na mbaya zaidi wanafurahia matunda kwa kiasi kikubwa ni wale wasio weusi.

Udhaifu wa waafrika weusi unajidhihirisha hata tunapojilinganisha na nchi za kaskazini mwa Afrika zinazokaliwa na jamii kubwa ya kiarabu, tunakuta ndizo ndizo nchi zenye uchumi mzuri zaidi kulinganisha na nchi za waAfrika weusi,
Hapa tunarudi pale pale kuna mataifa maskini sana ambayo hayakaliwi na watu weusi.

Kwangu nimejikubalisha kwamba hili ni tatizo la waAfrika la kiasili kabisa, yaani tumeumbwa tukiwa dhaifu. Na kwa sababu tumeumbwa hivi nadhani maisha yetu au uchumi wetu ukiacha mtu mmoja mmoja hautastawi kamwe kulinganisha na jamii ya binadamu wasio waafrika!!

Nchi zetu zina kila rasilimali na sababu ya kuinua uchumi kufanya kila mwafrika aishi maisha bora, lakini mambo ni magumu kabisa Afrika.
Tuna tatizo la kiasili kabisa!!
Kama nilivyosema huko juu hadi muda huu sana sana ni imani tu. Ila kuna namna nyingi watu mbali mbali wanaliangalia hili suala.
 
Mkuu hapo kwenye red bold ulichosema kilishawahi kusemwa na Dr Watson kwenye utafiti wake mwaka 2007 kama sijakosea. Lakini kama ilivyokawaida ya ukweli kuuma waafrika wengi sana walikuja juu kusema kwamba ametutukana. Huyu Dr. alijenga hoja nyingi sana za mambo ambayo tunayafanya (ambayo binadamu wa kawaida asingeyafanya!!) tofauti kabisa na races zingine. Ingia google then click ''Black People are Less Intelligent, Says Dr. James Watson, Nobel Prize Winner and DNA Pioneer''.

Hoja zake hazina msingi kwa sababu kwa jambo kuliita la ajabu au sio la ajabu inategemea na utamaduni tu. Wewe unafikiri kwa nini anachokifanya mwingine ni ajabu na sio unachofanya wewe??!! Zaidi kuhusu hayo aliyoyaita ni mambo ya ajabu kuna jamii nyingi tu zinayo sio weusi tu, ila saa nyingine wanajaribu kutuaminisha hivyo ili tuendelee kujiona tuko chini ya wazungu. Kwa mfano hebu nenda Amazon kule Brazil uone jamii za ile misitu zinavyoishi ndio utajua waafrika hawako peke yao! Kama ni inferior race basi wasing'ang'ane na blacks tu waunganishe na hayo makundi mengine.
 
With high respect naheshimu maoni na rai yako... lakini ndugu yangu Wakoloni wameondoka miaka zaidi ya 53, Utawala ni wetu lugha ni yetu utamaduni na mila zetu viongozi na wana siasa ni wetu wataalamu ni wetu nchi ipo kwenye mikono yetu!! Huoni hapo kuna utata? Ok nikupe mfano ukichukua Dola kubwa humu kwenye bara la afrika Mf, NIGERIA hao ni watu walosoma na asilimia kubwa ina uwezo wakitaaluma pamoja ni nchi tajiri kuhodhi asilimia kubwa ya Mafuta (oil) yaani uchumi wao hausubiri misaada kama siye hapa!!! Lakini Nigeria imekuwa nchi isiyokuwa na mwelekeo na kuwa nchi yenye umasikini wa kutupa na kupotokwa na maadili ya kijamii!! Hayo yote yemetokana na Uhuni wa kudumu na Ujambazi wa fadhila baina yao!! mungu apishe mbai na sisi tunaelekea huko.!!! Mungu ibariki Tanzania na watu wake.

Life is short, thanks for the respect: Ni kweli kabisa wakoloni hawapo kwa muda mrefu lakini ukoloni mambo leo bado upo mwingi tuu. Mfano wako wa Nigeria ni mzuri sana na hasa ukiangalia historia ya viongozi waliowahi kuiongoza nigeria hapo nilipobold panaelezea vya kutosha. Mimi nitakupa mifano ya hapa hapa kwetu Tanzania maana tuanelekea huko na sijui Mungu atafanya nini kutuepusha na hilo. mifano mwili;

1. Hebu angalia utamaduni wetu watanzania, katika miaka ishirini iliyopita umezidi kupotea na vizazi vya sasa ndio hasa havijitambui, hivi sasa kumtofautisha Mtanzania wa kisasa na Mmarekani mweusi au muingereza mweusi ni vigumu sana, hapo kabla ilikuwa ni rahisi kumjua kuwa huyu ni mtanzania kwa jinsi anavyoongea, anvyovaa and kujiheshimu. Na kwa hilo Watanzania tulikuwa tunaheshimika sana mbele ya ra raia wa mataifa mengine. Leo hii kwa Mtanzania halisi unajisikia hadi aibu kujitambulisha kuwa wewe ni Mtanzania maana heshima yetu imepotea kabisa na waliosababisha hivyo kwa asilimia kubwa ni viongozi wetu (kujihusisha kwao na Rushwa, biashara haramu za madawa na nyara za serikali, kutotilia maanani maslahi ya nchi n.k n.k). Pili ni sisi watanzania wenyewe kuiga mambo ambayo sio ya kwetu. Mfano ukimchukua Mkenya, Mtanzania, Mrwanda, Muuganda, mkongo n.k, na kuwaweka nyuma ya pazia na kuwaambia waongee kiingereza unaweza kuwatofautisha wengine wote ila mtanzania unaweza usijue kama ni Mmarekani au muingereza au mzungu mulani. hapo tayari identity imepotea.

2. Kutothamini utajiri tulio nao; Watanzania tuna utajiri mkubwa wa kimaadili na ushirikiano ambao tukiuenzi utatusaidia kutumia rasilimali tulizo nazo (madini, mafuta, ardhi, maji n.k) kwa manufaa ya wote na maendeleo ya nchi. Nakumbuka wakati nakua mambo mengi ya kiutamaduni yalikuwa yanapewa kipaumbele sana, na hadi tulikuwa na vazi la taifa lakini sasa hivi hata vazi la taifa tumeishindwa kulichagua, sasa hapo kweli tutakuwa na uchungu wa kuona nchi inaendelea?

3 Kuna mchangiaji mmoja amesema kuwa waingereza wanatuponda kwa sababu tulikataa mapendekezo ya cameron, kwa ninavyo elewa mimi kama isingekuwa kwa shinikizo la viongozi wa dini kiongozi wetu asingekuwa na uwezo wa kupinga mambo ya ndoa za jinsia moja. Kwake ingekuwa rahisi sana kukubali kisa wanaleta misaada na kulipia safari za nje.

Hili ni janga, tena ni janga kubwa maana hata viongozi wenye mamlaka makubwa ndo wanakuwa wasanii sijui tunaenda wapi.

Changamoto bado ni kubwa na juhudi za dhati zinatakiwa
 
Life is short, thanks for the respect: Ni kweli kabisa wakoloni hawapo kwa muda mrefu lakini ukoloni mambo leo bado upo mwingi tuu. Mfano wako wa Nigeria ni mzuri sana na hasa ukiangalia historia ya viongozi waliowahi kuiongoza nigeria hapo nilipobold panaelezea vya kutosha. Mimi nitakupa mifano ya hapa hapa kwetu Tanzania maana tuanelekea huko na sijui Mungu atafanya nini kutuepusha na hilo. mifano mwili;

1. Hebu angalia utamaduni wetu watanzania, katika miaka ishirini iliyopita umezidi kupotea na vizazi vya sasa ndio hasa havijitambui, hivi sasa kumtofautisha Mtanzania wa kisasa na Mmarekani mweusi au muingereza mweusi ni vigumu sana, hapo kabla ilikuwa ni rahisi kumjua kuwa huyu ni mtanzania kwa jinsi anavyoongea, anvyovaa and kujiheshimu. Na kwa hilo Watanzania tulikuwa tunaheshimika sana mbele ya ra raia wa mataifa mengine. Leo hii kwa Mtanzania halisi unajisikia hadi aibu kujitambulisha kuwa wewe ni Mtanzania maana heshima yetu imepotea kabisa na waliosababisha hivyo kwa asilimia kubwa ni viongozi wetu (kujihusisha kwao na Rushwa, biashara haramu za madawa na nyara za serikali, kutotilia maanani maslahi ya nchi n.k n.k). Pili ni sisi watanzania wenyewe kuiga mambo ambayo sio ya kwetu. Mfano ukimchukua Mkenya, Mtanzania, Mrwanda, Muuganda, mkongo n.k, na kuwaweka nyuma ya pazia na kuwaambia waongee kiingereza unaweza kuwatofautisha wengine wote ila mtanzania unaweza usijue kama ni Mmarekani au muingereza au mzungu mulani. hapo tayari identity imepotea.

2. Kutothamini utajiri tulio nao; Watanzania tuna utajiri mkubwa wa kimaadili na ushirikiano ambao tukiuenzi utatusaidia kutumia rasilimali tulizo nazo (madini, mafuta, ardhi, maji n.k) kwa manufaa ya wote na maendeleo ya nchi. Nakumbuka wakati nakua mambo mengi ya kiutamaduni yalikuwa yanapewa kipaumbele sana, na hadi tulikuwa na vazi la taifa lakini sasa hivi hata vazi la taifa tumeishindwa kulichagua, sasa hapo kweli tutakuwa na uchungu wa kuona nchi inaendelea?

3 Kuna mchangiaji mmoja amesema kuwa waingereza wanatuponda kwa sababu tulikataa mapendekezo ya cameron, kwa ninavyo elewa mimi kama isingekuwa kwa shinikizo la viongozi wa dini kiongozi wetu asingekuwa na uwezo wa kupinga mambo ya ndoa za jinsia moja. Kwake ingekuwa rahisi sana kukubali kisa wanaleta misaada na kulipia safari za nje.

Hili ni janga, tena ni janga kubwa maana hata viongozi wenye mamlaka makubwa ndo wanakuwa wasanii sijui tunaenda wapi.

Changamoto bado ni kubwa na juhudi za dhati zinatakiwa
Kind thanks mkuu,Maelezo yako fika kabisa na ukweli; Kuiga sii vibaya.. Muhimu kulinganisha kati ya mazuri yao na mabaya yao!! Tuchukue mema/mazuri na tuache maovu/mabaya kwa kuyatenga pembeni.
" Hatuwezi kubadilika au kabadili umma wa Tanzania; hadi tuanze wenyewe mimi na wewe na fulani,jirani,mitaani, uraiani,maofisini, mashuleni nk. kujibadilisha " ipo kazi !! Nothing is impossible ikiwa tutagawa possibles kwa mafungu hadi kufikia mustakabali mwema.
Good Luck
 
Back
Top Bottom