Waafrika ndivyo tulivyo?

Waafrika ndivyo tulivyo?

Mkandara: Nilisoma uvumbuzi wa microwaves ukasema ulifanywa na mtanzania wa Kagera. Historia ya microwaves ni ndefu sana ikianzia miaka mingi kabla hatujapata uhuru, na hakuna record nzuri za kuonyesha kuwa tulikuwa na wataalamu wa physics au electrical engineering wa kiwango cha juu kiasi hicho. Najua historia zinazoonyesha wataalamu wa uganga zaidi ya physics na engineering. Ninadhani mvumbuzi wa kitanzania mwenye asili ya Kagera aliyefanya maajabu lakini akazimwa wala hasikiki kabisa katika dunia hii ni Dr. Hezekiah Kamuzora aliyetoa vitu vyake nadhani mwaka 1980 hivi. Huyu aligundua mambo fulani kuhusiana na afya ya damu ya biandamu lakini uvumbuzi wake nadhani ulifinywa kabisa na huenda aliyechukua krediti ni mtu mwingine kabisa.

Just to clarify...alikuwa nominated for Nobel lakini hakushinda. Actually he is the first East African to be nominated for Nobel prize! Well done!

Dr.Hezekiah Kamuzora is the first East African who was nominated for Nobel Prise while working at the New England Allergy and Immunology Centre in the United States in 1983. Dr Kamuzora was nominated for the 1983 prize for work done between 1972 and 1975 during his PhD degree studies in chemistry at Britain's Cambridge University. The research centered on abnormalities in the blood chemical, hemoglobin, which is used to transport oxygen. The research was born out of earlier observations in Tanzania that an inordinate number of women died of blood loss during childbirth, as well as the fact that many Tanzanians suffer from sickle cell anemia. He was recognized as one of the leading scientists of that time.

Microwaves on the other hand were produced first by a German Heinrich Hertz, he conducted experiments that proved Maxwell's theories were correct. Hertz was able to demonstrate propagation of electromagnetic waves. Hertz used a coax line to show that electromagnetic waves propagated with a finite velocity, and he discovered basic transmission line effects such as the existence of nodes in a standing wave pattern a quarter wavelength from an open circuit and a half wavelength from a short circuit. He then went on to develop cylindrical parabolic reflectors for directional antennas, as well as a number of other radio frequency (RF) and microwave devices and techniques.

Even today the unit of frequency is Hertz (Hz) based on this German.

Lets keep discussing the main issue, sorry for break from main point to clarify this.
 
Mwanakijiji ,huyu jamaa Kamuzora aliyekuwa nominated na nobel prize bado yupo?.Kuna mtu yoyote mwenye habari zozote kuhusu anapofanya research sasa hivi.Kwanini serikari isiwape nafasi watu kama hawa Tanzania kuja kuiendeleza nchi badala ya kuwaendeleza wazungu?
 
Kwanini serikari isiwape nafasi watu kama hawa Tanzania kuja kuiendeleza nchi badala ya kuwaendeleza wazungu?

..nani alikwambia serikali inaendeleza nchi,hasa hizi za kiafrika?

..serikali ni kwa ajili ya maendeleo ya watu binafsi tena wachache!

..we watu waache kula waendeleze nchi!
 
Unasema kweli Dar viongozi wetu wanaona bora wawasapoti wahindi na wageni wengine ili waibe nao vizuri.Unajua hawa hawajihusishi sana na mambo ya siasa --Waafrika wenye akili wanaogopwa na viongozi wetu kwa kuwa wana ushungu na nchi na ni tishio kwao.
 
Mwanakijiji ,huyu jamaa Kamuzora aliyekuwa nominated na nobel prize bado yupo?.Kuna mtu yoyote mwenye habari zozote kuhusu anapofanya research sasa hivi.Kwanini serikari isiwape nafasi watu kama hawa Tanzania kuja kuiendeleza nchi badala ya kuwaendeleza wazungu?


A little more than 20 years ago, Tanzanian-born Dr Hezekiah Kamuzora got as close to the Nobel Prize as anybody possibly could. In 1983, the Tanzanian medic, then working at the New England Allergy and Immunology Centre in the United States, made history by becoming the first black man to be nominated for the coveted natural science prize since the Nobel Prizes were introduced in 1901. Dr Kamuzora was nominated for the prize in biochemistry with 15 others, all eminent researchers in their own rights. Although he did not win – the prize went to the American, Henry Taube – Dr Kamuzora nomination catapulted him into the rarefied zone of the world's leading scientists.

It was a momentous feat by the academic from Bukoba, who had once worked as a high-school teacher. At the time, only three blacks, including Martin Luther King Jr and Chief Albert Luthuli, had won a Nobel Prize.

Dr Kamuzora was nominated for the 1983 prize for work done between 1972 and 1975 during his PhD degree studies in chemistry at Britain's Cambridge University. The research centred on abnormalities in the blood chemical, haemoglobin, which is used to transport oxygen. The research was born out of earlier observations in Tanzania that an inordinate number of women died of blood loss during childbirth, as well as the fact that many Tanzanians suffer from sickle cell anaemia.

"I decided I was going to do something about it," Dr Kamuzora was quoted as saying later in life. His resolve must have worked, because his work subsequently won acclaim from eminent researchers working on blood diseases. "He has been responsible for extensive and valuable studies of the structure of normal and abnormal foetal and adult haemoglobins" one scientific reviewer, Dr Clayton L. Natta, then of Columbia University said.

Born near Bukoba in northwestern Tanzania, Dr Kamuzora studied at the University of Dar es Salaam, where he later taught biochemistry in the early 1970s. He later went for further studies at Cambridge University, and worked at Foch Surgical Hospital in Paris and the University of Genoa, Italy. Part of his work during this period led to the discovery of a new cause for haemolytic anaemia, a disease in which red blood cells of newborn babies break up.

In 1979, Dr Kamuzora went to the United States, where he is still based. There, he has continued to work on blood disorders, as well as on ways to diagnose the vulnerability of people to allergies through blood screening.


Ukitafuta kwenye list ya scientific publications kama vile ScienceDirect na Google Scholar jina la H. Kamuzora halionekani sana. Sidhani kama alipokuja Marekani mwaka 1979 aliendelea na utafiti wa hali ya juu kwenye Biochemistry. Publications zake ni zile zilizotoka kati ya mwaka 1972 na 1975 tu wakati angali UDSM na alipokuwa mwanafunzi wa Ph.D. Mara ya mwisho amepublish kwenye Journal ya Connecticut Medical Association mwaka 1984 muda mfupi baada ya nominated for Nobel Prize; kuanzia hapo hajasikika tena. Haijulikani kama alipofika Marekani kweli aliendelea kama professor na mtafiti au alifanya kazi kama mganga kwenye mojawapo ya mahospitali makubwa au aliingia kwenye makampuni binafsi ya biashara ambayo hayakuwa na interest na utaalamu wake wa biochemistry isipokuwa umaarufu wa jina lake tu.

Kama kuna anayejua habari kuhusu aliko Dr. kamuzora atufahamishe tunaotaka kumfhamau zaidi mahiri huyu. Kumbe aliwahi kufanya kazi na the late Prof Msuya aliyekuwa Chief Academic Officer wa UDSM.
 
Fury at DNA pioneer's theory: Africans are less intelligent than Westerners

Celebrated scientist attacked for race comments: "All our social policies are based on the fact that their intelligence is the same as ours - whereas all the testing says not really"

By Cahal Milmo
Published: 17 October 2007


One of the world's most eminent scientists was embroiled in an extraordinary row last night after he claimed that black people were less intelligent than white people and the idea that "equal powers of reason" were shared across racial groups was a delusion.

James Watson, a Nobel Prize winner for his part in the unravelling of DNA who now runs one of America's leading scientific research institutions, drew widespread condemnation for comments he made ahead of his arrival in Britain today for a speaking tour at venues including the Science Museum in London.

The 79-year-old geneticist reopened the explosive debate about race and science in a newspaper interview in which he said Western policies towards African countries were wrongly based on an assumption that black people were as clever as their white counterparts when "testing" suggested the contrary. He claimed genes responsible for creating differences in human intelligence could be found within a decade.

The newly formed Equality and Human Rights Commission, successor to the Commission for Racial Equality, said it was studying Dr Watson's remarks " in full". Dr Watson told The Sunday Times that he was "inherently gloomy about the prospect of Africa" because "all our social policies are based on the fact that their intelligence is the same as ours – whereas all the testing says not really". He said there was a natural desire that all human beings should be equal but "people who have to deal with black employees find this not true".

His views are also reflected in a book published next week, in which he writes: "There is no firm reason to anticipate that the intellectual capacities of peoples geographically separated in their evolution should prove to have evolved identically. Our wanting to reserve equal powers of reason as some universal heritage of humanity will not be enough to make it so."

The furore echoes the controversy created in the 1990s by The Bell Curve, a book co-authored by the American political scientist Charles Murray, which suggested differences in IQ were genetic and discussed the implications of a racial divide in intelligence. The work was heavily criticised across the world, in particular by leading scientists who described it as a work of " scientific racism".

Dr Watson arrives in Britain today for a speaking tour to publicise his latest book, Avoid Boring People: Lessons from a Life in Science. Among his first engagements is a speech to an audience at the Science Museum organised by the Dana Centre, which held a discussion last night on the history of scientific racism.

Critics of Dr Watson said there should be a robust response to his views across the spheres of politics and science. Keith Vaz, the Labour chairman of the Home Affairs Select Committee, said: "It is sad to see a scientist of such achievement making such baseless, unscientific and extremely offensive comments. I am sure the scientific community will roundly reject what appear to be Dr Watson's personal prejudices.

"These comments serve as a reminder of the attitudes which can still exists at the highest professional levels."

The American scientist earned a place in the history of great scientific breakthroughs of the 20th century when he worked at the University of Cambridge in the 1950s and 1960s and formed part of the team which discovered the structure of DNA. He shared the 1962 Nobel Prize for medicine with his British colleague Francis Crick and New Zealand-born Maurice Wilkins.

But despite serving for 50 years as a director of the Cold Spring Harbor Laboratory on Long Island, considered a world leader in research into cancer and genetics, Dr Watson has frequently courted controversy with some of his views on politics, sexuality and race. The respected journal Science wrote in 1990: "To many in the scientific community, Watson has long been something of a wild man, and his colleagues tend to hold their collective breath whenever he veers from the script."

In 1997, he told a British newspaper that a woman should have the right to abort her unborn child if tests could determine it would be homosexual. He later insisted he was talking about a "hypothetical" choice which could never be applied. He has also suggested a link between skin colour and sex drive, positing the theory that black people have higher libidos, and argued in favour of genetic screening and engineering on the basis that " stupidity" could one day be cured. He has claimed that beauty could be genetically manufactured, saying: "People say it would be terrible if we made all girls pretty. I think it would great."

The Cold Spring Harbor Laboratory said yesterday that Dr Watson could not be contacted to comment on his remarks.

Steven Rose, a professor of biological sciences at the Open University and a founder member of the Society for Social Responsibility in Science, said: " This is Watson at his most scandalous. He has said similar things about women before but I have never heard him get into this racist terrain. If he knew the literature in the subject he would know he was out of his depth scientifically, quite apart from socially and politically."

Anti-racism campaigners called for Dr Watson's remarks to be looked at in the context of racial hatred laws. A spokesman for the 1990 Trust, a black human rights group, said: "It is astonishing that a man of such distinction should make comments that seem to perpetuate racism in this way. It amounts to fuelling bigotry and we would like it to be looked at for grounds of legal complaint."

My take:

Is this really what some of these people think about us?
 
Hahahahaha....wewe sasa unataka kumuibua Raj Patel kutoka machimboni..
Nakwambia akiiona hii atajiandikisha in split seconds...kama bado hajajiandikisha already (Manji Supporter au kwa jina jingine)

My take about your take: Of course, that is really what they think about us whether they want to admit or not. Deep down that is their feeling. But I think we give them all the reasons to think that about us so I make no apologies for us.
 
He has also suggested a link between skin colour and sex drive, positing the theory that black people have higher libidos, and argued in favour of genetic screening and engineering on the basis that " stupidity" could one day be cured. He has claimed that beauty could be genetically manufactured, saying:

Im sorry I have to agree with the gaffer u dont need to go any further to see blacks adm across africa, if u go to europe those school with minority (blacks) are always performed mediocricity.

Having said that I salute the Prof on libidos comment atleast it cheers me up.... teh teh teh...
 
Hilo ndilo wazungu wanaloamini...watu weusi ni less intelligent. Viongozi wetu ndio mifano hai.

Kuhusu uwezo wa kufanya vizuri darasani, sina uhakika sana. Ninachojua wazungu wanatuona tunakosa kitu yaitwa common sense; na sio kwamba hatuna akili ya kukariri na kupata PhD.

Kuna survey ilifanyika kuhusu IQ. Walioongoza ni wachina/Asians; wakifuatiwa na wazungu. Sisi watitu tukawa wa mwisho.
 
Hilo ndilo wazungu wanaloamini...watu weusi ni less intelligent. Viongozi wetu ndio mifano hai.

Kuhusu uwezo wa kufanya vizuri darasani, sina uhakika sana. Ninachojua wazungu wanatuona tunakosa kitu yaitwa common sense; na sio kwamba hatuna akili ya kukariri na kupata PhD.

Kuna survey ilifanyika kuhusu IQ. Walioongoza ni wachina/Asians; wakifuatiwa na wazungu. Sisi watitu tukawa wa mwisho.

Nadhani ulimaanisha ingenuity na sio commos sense...
 
sidhani waliposema less intelligent ina maana ni mazuzu, huyo sijui niiteje spining, sijui nini ! less intelligent ina maana waafrika ni intelliegent lakini bado hawajafikia kiwango cha hao westerners mzee, sasa unaposema waafrika mazuzu, count me out ! sisemi mie el intelijente, hapana, lakini vile vile mie kama mwafrika sio zuzu !
 
Im sorry I have to agree with the gaffer u dont need to go any further to see blacks adm across africa, if u go to europe those school with minority (blacks) are always performed mediocricity.

Having said that I salute the Prof on libidos comment atleast it cheers me up.... teh teh teh...

Kuna Waafrica ambao kweli IQ yao ni ndogo na mfano tunao angalieni JK na EL huo ni mfano hai. Lakini vile vile tuna Waafrica ambao IQ yao ni kubwa vile vile mfano Marehemu Julius Kambarage Nyerere n.k. Huyu scientist amefanya sample yake kwa type ya JK n.k. Teh teh teh .....................
 
Ukitaka kumuua mbwa mpe jina baya..! na walivyokuja kututawala na kutuchkua ni mawazo ya namna hii... yanawapa uhalali wa kuja "kutustaarabisha".. na tunawapa vichwa tunapoenda kwao na kuwaambia "tuna vyuo vya kutosha lakini wataalamu wanaotoka katika vyuo hivyo wana uwezo mdogo"..!
 
Nyinyi wote humu ndani mnaomuunga mkono huyo jamaa hamna akili, kwani IQ manake nini??? kama ingekua sisi hatuna akili kiasi hicho na kama huyo msenge masatu anavyosema basi waafrika wanaomaliza sekondary africa wasingeweza kusoma ktk vyuo vikuu ulaya kwa maana wangefeli muhula wa kwanza, madaktari wa afrika wasingeweza kufanya kazi ulaya, baadhi ya makampuni makubwa yasingeweza kuongozwa na waafrika. Mimi nasema kila siku tatizo la watu humu ktk hii foramu ni uwezo mdogo wa kufikiri wanashindwa kuelewa kwamba kinachomtofautisha mtoto mmoja na mwingine ni ni mazingira anayokulia, kama einstein angezaliwa masasi ktk kijiji chetu hakuna mtu angemmjua, kwa hiyo huyo watson wa dna nae hana akili, kwanza baiologia sio sayansi na huwezi kuwa na uwezo mzuri wa kufikiri kama umesoma bailogia kwa maana sio sayansi ya kweli bali ni ubabaishaji tu, kama akili zingekua zinarithiwa basi watoto waakina eistein, gauss, feynmann na wengineo basi nao wangekua maarufu. kupata nobel sio hoja huyo watson hana akili, ni lazma muelewe kuwa nobel ni bahati a haihusiani chochote na akili za mtu,... nitaendelea baadae lkni watu kama akina masatu nyani ngabu wanapaswa KUULIWA.....
 
lakini kumbukeni kwamba waafrika hao hao ndio wale waliojenga pyramids kipindi kileeeeeeeeee lakii hadi sasa hao westerners hawajaweza kutambua jinsi ya kuyajenga, waafrika hao hao ndio waliotumia hesabu na waliobobea haswa kuliko taifa lolote ( kipindi kile).. na hao westerners wanatudharau kupita kiasi, ipo siku tutaitwa mbwa, na tutakubali tu ! si kwa sababu jamaa wanatu-brain wash !
 
Back
Top Bottom