Mzee Es,
Unapokuwa ktk Taasisi zenye sheria kali na system madhubuti utafanya kama inavyotakiwa. lakini ukienda nchi ambayo kila kitu ni RUKSA basi mjomba rahisi nawe kuyafanya maovu.
Tanzania loop holes kibao na binadamu tumeumbwa na tamaa kiasi kwamba inahitaji moyo kweli kweli kujiepusha.
Ukiwa mkristu huwezi kuona sababu wala haja ya kuoa mke wa pili. Ingia Uislaam utaona ruksa hivyo inavyowachanganya watu na hata wengine ku abuse sheria! Kwa hiyo inawezekana kuwa Balali ndiye alopotea kinachohitajika ni kuwepo uchunguzi tu kuondoa rabsha zote!.. yaleyale ya Zitto, wanazidi kukataa uchunguzi ndio wanajenga imani kwamba kuna jambo baya limetendeka.
Unapokuwa ktk Taasisi zenye sheria kali na system madhubuti utafanya kama inavyotakiwa. lakini ukienda nchi ambayo kila kitu ni RUKSA basi mjomba rahisi nawe kuyafanya maovu.
Tanzania loop holes kibao na binadamu tumeumbwa na tamaa kiasi kwamba inahitaji moyo kweli kweli kujiepusha.
Ukiwa mkristu huwezi kuona sababu wala haja ya kuoa mke wa pili. Ingia Uislaam utaona ruksa hivyo inavyowachanganya watu na hata wengine ku abuse sheria! Kwa hiyo inawezekana kuwa Balali ndiye alopotea kinachohitajika ni kuwepo uchunguzi tu kuondoa rabsha zote!.. yaleyale ya Zitto, wanazidi kukataa uchunguzi ndio wanajenga imani kwamba kuna jambo baya limetendeka.