Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 881
Uwezo wa kung'amua (IQ) hujifunzwa na hufundishwa. Lazima mtakubali kwamba angezaliwa mtoto na mara akatengwa kwenye chumba hadi akawa kijana na kisha akapewa test ya IQ, angeonekana kuwa na IQ kidogo sana.
Wote tunazaliwa na uwezo wa kuwa na IQ kubwa. Mazingira tuanyokutana nayo yanatuwezesha aidha kuuhitaji huo uwezo wa kung'amua na hivyo kuukuza, au kutouhitaji na hivyo kutoukuza sana.
Jokufu Kiwete anasema nimedanganya ninavyosema ushahidi mwingi unaelekea kuonyesha kwamba ni mazingira, na sio asilia, ndiyo kitu kinachangia zaidi kwenye IQ ya mtu. Kisa cha kusema nimedanganya kinaelekea ni kwamba sikuleta ushahidi. Mimi nilidhani wasomi wenzangu mlioko hapa mmeshawahi kukutana na huu mdahalo wa siku nyingi wa NATURE VERSUS NURTURE IN IQ DEVELOPMENT. Kwani Jokofu Kiwete hujaona ushahidi unaotolewa huko?
Nimetakiwa nitoe ushahidi toka kwenye uzoefu wangu. Nimeangalia, kwa karibu, umbio wa kuelewa concept za Mahesabu, wa wanafunzi wa UDSM, Carleton University na University of Zimbabwe. Kwa maoni yangu, walionyesha uwezo wa kung'amua vitu kwa haraka na kwa wa hali ya juu sana ni wale wa University of Zimbabwe.
IQ Test yoyote ni product ya mazingira ya wanayoitayarisha. Tunaweza kutengeneza IQ tests nzuri ambazo ukiwapa watoto wa Kariakoo wataonekana kuwa na IQ kubwa, lakini ukiwapa watoto wa Boston wataonekana mbumbumbu.
Mwisho, natoa onyo: Hakuna kitu kibaya zaidi ya inferiority complex. Inafisha jumuiya. Wale ambao mnajisikia inferior, basi leleeni hiyo complex kikwenu, msieneze huo ugonjwa kwa wengine.
Miaka ya 80, niliona kwenye graduate schools nyingi Marekani na Canada weusi waliokuweko karibu wote walikuwa wametoka Afrika. Weusi wa Marekani na Canada tangu udogo wamekuwa wakiambiwa kila siku wao hawawezi, na mwisho wakaamini hivyo. Hatutaki kumalizwa kwa namna hiyo hiyo.
...Oxford Advanced Learner's dictionary ina define ingenuity hivi: "the talent for solving problems in a clever original way" In Africa we have a bunch of problems. Do we have the talent to solve them in a clever original way or we look for the west to come and solve them for us?
Intelligence is a property of mind that encompasses many related abilities, such as the capacities to reason, to plan, to solve problems, to think abstractly, to comprehend ideas, to use language, and to learn.
One common criterion for diagnosis of mental retardation is a tested intelligence quotient (IQ) of 70 or below and deficits in adaptive functioning.
People with mental retardation may be described as having developmental disabilities, global developmental delay, or learning difficulties.
...kwangu mimi hata haya mazingira inategemea unayatumia vipi. Wachina leo wanatengeneza disney huko Beijing nk, walikulia mazingira yepi? Germany baada ya Hitler it was an outcast watu walianza moja, haya mazingira waliyatengeneza.
Hata sisi Africa, kila mtu hana budi kujitengenezea mazingira yake. Infact from my experience katka nchi yangu watu wanaotoka kwenye familia maskini wengi ndo hata wakienda huko majuu wanasucceed sana kuliko wale walioletewa visa nyumbani na wazee wao.
!
One of the most serious and long standing issues within African American communities is poverty. Poverty itself is a hardship as it is related to marital stress and dissolution, health problems, low educational attainment, deficits in psychological functioning, and crime.[13] In 2004, 24.7% of African American families lived below the poverty level. The poverty rate remained unchanged in 2005 at 24.9 percent. Still, nearly one out of every four African Americans lives in poverty, which is 9.2 million people.
The poverty rate for Britain's minority ethnic groups stands at 40%, double the 20% found amongst white British people, according to new research published in 2007 (30 April) by the Joseph Rowntree Foundation (JRF). Minority ethnic groups are also being overlooked for jobs and are being paid lower wages, despite improvements in education and qualifications. The research highlights the differences between minority ethnic groups with 45% of Black Africans and 30% of Indians and Black Caribbeans living in poverty
Mchongoma now you are talking! Sasa twambie tatizo liko wapi? Kwa hiyo ni kwamba, kwanza tukubali ujinga wetu,...
Dr Julius Nyerere, was also one of those rare political philosophers who was actually able to test out his theories on an entire nation.
In 1967 he released the Arusha Declaration (named after the northern Tanzanian town where it was announced) which outlined his plans to try an turn Tanzania into a socialist and self-supporting state. He then quickly set about applying his ideas.
However Nyerere's 'African socialism' proved disastrous in the rural areas where his policy of "ujama", community-based farming collectives, met with resistance from farmers and led to a subsequent decline in production.
Ten years later, taking stock, President Nyerere issued a remarkably honest booklet which gave as much prominence to the failures as well as the successes.
"There is a time for planting and a time for harvesting", he wrote. "For us it is still a time for planting".
FT: Chinese money comes with fewer strings attached to it?
JK: They discuss no strings. There, the people, they don't discuss anything.
You can't beat the British, you've got to sit with them for hours. They talk about this, they talk about that, yes.
FT: The Chinese are easier to do business with?
JK: Yes. You know this is the other thing, you're negotiating all these problems for several years, they will talk about that, about a newspaper, they will talk about an underage boy in prison (for example).
He's 17 and he raped a nine-year-old, and they ask: "Why do you lock him up?" And so I say, what do you do, this is a rape case, and they want to discuss, I spend so many hours discussing whatever it is this boy.
FT: This was with (Britain's) Department of International Development (DFID)?
JK: No, no, it's not DFID. It's somebody else. I asked the Minister of Home Affairs, please give me information, is there something like this? He said, well yes, they gang raped a girl. So what do they want us to do? Release him? So that he can go and rape another one?
FT: Is this not a great example of the donors making you more accountable to them than to your own people?
JK: …These are challenges of development.
http://www.ft.com/cms/s/0/d8a07e28-72a3-11dc-b7ff-0000779fd2ac.html
Mchongoma now you are talking! Sasa twambie tatizo liko wapi? Kwa hiyo ni kwamba, kwanza tukubali ujinga wetu, harafu tutumie hizo raslimali zetu tuanze kujinasua kwenye hii mitego. Unapoona Kiongozi anasaini kama ule mkataba wa Buzwagi (no pun intended , nadhani uliuona) we unadhani hawa wazungu ambao na wao ni vibarua wanatumwa kusaini wakirudi huko kwao wanatufikiria vipi? na ukichukulia mkataba umesainiwa kwa na waziri na baraka za RAIS zikiwepo? Hata mikataba ya akina Mangungo ilikuwa nafuu. Does it mean kwamba hawa viongozi na mawaziri hawaelewi consequence za hiyo mikataba? does it mean the language is too complicated? so ndo maana unakuta kwenye makampuni makubwa kama haya hata mainterns wanatumwa kudeal na sisi. Sasa swali linakuja? Je hatuyaoni tunayoyafanya au hatuyaelewi? au hatujui madhara yake? so how do you again justify kwamba you are not mjinga ila unaonewa na watu wanaokuchukia kwa sababu ya raslimali zako?
Kwa maoni yangu mi nadhani hoja hapa ni ingenuity na si IQ. Mambo ya IQ yanahusiana mno na mambo ya darasani ambayo kuna ushahidi wa kuridhisha kuwa hakuna race iliyo zaidi ya nyenzake ktk hilo. Sasa unaweza ukakuta mtu mwenye IQ kubwa na vile vile ni ingenious. Kuwa ingenious siyo lazima uwe na IQ kubwa (tukifuata mbinu za kitaaluma zinazotumika kupimia) na mtu huyu anaweza akafeli vibaya ktk hizo test za kupima IQ. Oxford Advanced Learner's dictionary ina define ingenuity hivi: "the talent for solving problems in a clever original way" In Africa we have a bunch of problems. Do we have the talent to solve them in a clever original way or we look for the west to come and solve them for us?
Imagine, mpaka wazungu wenyewe wanaamka na kusema enough is enough freeze these millions za hawa vibaka wanaibia watu wao. Unafikiri wanatujali zaidi, lakini wanaona huu wizi ni beyond imagination given hali ya wanaoibiwa!
FT Interview: Jakaya Kikwete
Published: October 4 2007 23:35 | Last updated: October 4 2007 23:35
Financial Times: Tanzania's economy is growing at about 7% and a little below that for the last ten years. But it's generally perceived that this is not enough to begin to pull people out of poverty. How do you plan to reach the next step?
Jakaya Kikwete: It is true that, for the last decade I think the average growth rate has been 6.3% and this is not adequate…We need 8% to 10% growth sustained over a decade to make a significant impact on poverty. So what do we do about it? Right now this growth is actually generated by the mining sector, which has been growing at about 16% and construction by 10.6%. Manufacturing is 8.6% and tourism is close to 12%. I'm seeing great opportunity and possibilities in all these sectors. But I'm seeing more opportunity in the agricultural sector and in the mining sector.
FT: Agriculture has been the laggard. What's holding it back?
JK: Why I'm saying that there is great opportunity is because agriculture is mostly subsistence agriculture, peasant agriculture…and therefore production is low and the incomes of the people definitely are very low. What we are trying to do now is embark on a green revolution…looking at increasing irrigated agriculture, increasing the use of high yield seeds…the use of fertilisers. The average use of fertiliser is abysmally low; it is eight kilos per acre. When you compare with the Netherlands where it's 577 kilos per acre, so you can see why…the level of (production) is very low.
Now how do we bring these leaders to account? Ndo swali hilo, we need jamii yenye kuelewa ambayo haiko too easily brainwashed na propaganda, lakini kwa umaskini uliokithiri watu hawathamini tena nafasi zao kama kupiga kura as something which can bring positive change. so, inakuwa vicious circle of poverty.
For sure I can tell, unless waafrica tubadilike within ourselves, tutaendelea kuwa perpertual embarrasment kwa race ya binadamu. Hatutakombolewa na mtu yeyote, ila sisi. World Bank, UN, etc, there are there to mantain status quo. what we need is vision and sacrifice. We need to be truthful to ourselves and our compatriots.
I always vote-but wonder whther my vote ever makes any difference! Perhaps one day it will!
FT: Are you satisfied with the £200,000 local levy that the mining companies have agreed to pay?
JK: Of course.
FT: Is that enough?
JK: Well of course if they could give more, well why not? I'd appreciate it…it's (part of) corporate social responsibility. We are simply saying, you are making money out of this district. Well, make a contribution that is really going to impact on the lives of the people out here. You take all the minerals out and after the minerals have been depleted you only leave the holes on the ground; off you go. And then you leave the people in the districts to fall into the pits. So we are saying at least make that kind of contribution…
FT: There's a sense from what you're saying of this tremendous potential in Tanzania. You have great agricultural potential, mining potential, tourism potential, but it's taking a long time to realise this potential. What do you think is holding Tanzania back?
JK: I don't know. Of course this is precisely the question that I ask every day, what is it that we have not done? I think we have been leading the continent in terms of attracting mining investments in the mining sector. But we are still working (on attracting investment to other sectors). Maybe the message has not quite reached home.