supermarket
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 7,453
- 10,970
Ameshaduwaa kwani amefungwa mpaka sasa bado hajapoteza mechi hata moja wazee wa wekundu wa msimbazi simbaSIMBA hii ninayo ijua mie ni kama simba wa sarakati hufoka na kunguruma ila makali na uvamizi ameshaduwa' !!
Simba wa msimbazi mechi zake huchezwa usiku na waganga kabla ya pambano.....Ameshaduwaa kwani amefungwa mpaka sasa bado hajapoteza mechi hata moja wazee wa wekundu wa msimbazi simba
Pambano ni uwanjani watu wote tushuhudie kwa kuona goli linaingia kama lile la kichuya wa simbaSimba wa msimbazi mechi zake huchezwa usiku na waganga kabla ya pambano.....
Usiku wenye mifugo yao ya ng'ombe wanailinda sana na mikuki na bunduki kuhofiwa kuvamiwa mifugo yao na kuliwa na wanyama wakali kama simbapambano kali la ndondi huchezwa usiku
Simba wetu hana makucha tena, Nilimpenda kufa wakati ule ila nifikapo Uwanja wa uhuru nabaki kuumia tu na kurudi nyumbani usiku...!!!Pambano ni uwanjani watu wote tushuhudie kwa kuona goli linaingia kama lile la kichuya wa simba
Usiku michezo inachezwa sana katika mataifa yaliyoendelea lakini hapa Tanzania tukiweka mechi za usiku inabidi kuwe na ulinzi wa kutosha kwa wezi na wakabajiSimba wetu hana makucha tena, Nilimpenda kufa wakati ule ila nifikapo Uwanja wa uhuru nabaki kuumia tu na kurudi nyumbani usiku...!!!
Wakabaji na wabakaji upande na wachakachuaji umeme upande na polisi/mgambo nao upande.., sasa starehe ya kwenda kuangalia mechi ipo wapi?? Wahusika lizungumzieni !!!Usiku michezo inachezwa sana katika mataifa yaliyoendelea lakini hapa Tanzania tukiweka mechi za usiku inabidi kuwe na ulinzi wa kutosha kwa wezi na wakabaji
Wahusika lizungumzieni pia swala la malipo ya wachezaji wetu na udhamini uliobora, sio mchezaji akicheza mpaka anazeeka hana hata hela ya kujenga nyumbaWakabaji na wabakaji upande na wachakachuaji umeme upande na polisi/mgambo nao upande.., sasa starehe ya kwenda kuangalia mechi ipo wapi?? Wahusika lizungumzieni !!!
Nyumba ya simba haikosi mifupa, iwejee nguvu na ujana wa mtu utumike bila malipo stahikii?Wahusika lizungumzieni pia swala la malipo ya wachezaji wetu na udhamini uliobora, sio mchezaji akicheza mpaka anazeeka hana hata hela ya kujenga nyumba
Stahiki zilipwe sio tu kwa wachezaji wa sasa na wafanyakazi bali hata na wazeeNyumba ya simba haikosi mifupa, iwejee nguvu na ujana wa mtu utumike bila malipo stahikii?
Wazee wa tz matibabu bureStahiki zilipwe sio tu kwa wachezaji wa sasa na wafanyakazi bali hata na wazee
Bure ghali,doctor anakunywa value Mzee anafia mapokezi!Wazee wa tz matibabu bure
Mshindi hupati zawadiBinafs yangu ningependa Mimi ndio niwe mshindi
Zawadi tutakayompa Mshindi ni fedha taslimu US$1000 na saa aina ya Rolex kutoka kwa ZZ..!!Mshindi hupati zawadi
Zingatia sheria unapopest huu uziZawadi tutakayompa Mshindi ni fedha taslimu US$1000 na saa aina ya Rolex kutoka kwa ZZ..!!
Zz ni kirefu cha zitto zuberi kabwe na ameshashinda ubunge kigoma mwisho wa reliZawadi tutakayompa Mshindi ni fedha taslimu US$1000 na saa aina ya Rolex kutoka kwa ZZ..!!
Reli imefika mwisho kigomaZz ni kirefu cha zitto zuberi kabwe na ameshashinda ubunge kigoma mwisho wa reli