Wa mwisho ndiyo mshindi

Simba wetu hana makucha tena, Nilimpenda kufa wakati ule ila nifikapo Uwanja wa uhuru nabaki kuumia tu na kurudi nyumbani usiku...!!!
Usiku michezo inachezwa sana katika mataifa yaliyoendelea lakini hapa Tanzania tukiweka mechi za usiku inabidi kuwe na ulinzi wa kutosha kwa wezi na wakabaji
 
Usiku michezo inachezwa sana katika mataifa yaliyoendelea lakini hapa Tanzania tukiweka mechi za usiku inabidi kuwe na ulinzi wa kutosha kwa wezi na wakabaji
Wakabaji na wabakaji upande na wachakachuaji umeme upande na polisi/mgambo nao upande.., sasa starehe ya kwenda kuangalia mechi ipo wapi?? Wahusika lizungumzieni !!!
 
Wakabaji na wabakaji upande na wachakachuaji umeme upande na polisi/mgambo nao upande.., sasa starehe ya kwenda kuangalia mechi ipo wapi?? Wahusika lizungumzieni !!!
Wahusika lizungumzieni pia swala la malipo ya wachezaji wetu na udhamini uliobora, sio mchezaji akicheza mpaka anazeeka hana hata hela ya kujenga nyumba
 
Wahusika lizungumzieni pia swala la malipo ya wachezaji wetu na udhamini uliobora, sio mchezaji akicheza mpaka anazeeka hana hata hela ya kujenga nyumba
Nyumba ya simba haikosi mifupa, iwejee nguvu na ujana wa mtu utumike bila malipo stahikii?
 
Reactions: Auz
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…