ustadhijuma
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 3,133
- 2,117
mawazo ya mwendikasi hayapungui kwa UKUTAlock haitoki bar ladba upunguze mawazo
mawazo ya mwendikasi hayapungui kwa UKUTAlock haitoki bar ladba upunguze mawazo
Ukuta wa Berlin umebaki historiamawazo ya mwendikasi hayapungui kwa UKUTA
historia ya Tanzania haifurahishi Bali inachekeshaUkuta wa Berlin umebaki historia
Azerbaijan hawakushiriki olimpiki nchini Brazil au vipi? Sikuiona timu yao.
Walijitahidi sana, cha ajabu sikuwaona katika michezo michache niliyotazama.
Vishindwe wanaotawala kwa mabavu na wanaotaka kuingia Madarakani kwa MabavuMichache mienendo ya baadhi ya vyama vya siasi nchini Tanzania ni balaa..... Kwa sababu inahamasisha vita eti inadai demokrasia ila vikiwa na lengo la kuchukya mamlaka kwa nguvu zote. Vishindweeeeeee!!!!!!!
Mabavu na ubabe ndivyo vinavyotawalaVishindwe wanaotawala kwa mabavu na wanaotaka kuingia Madarakani kwa Mabavu
Vinavyotawala lakini si kwa ridhaa ya wanao watawalaMabavu na ubabe ndivyo vinavyotawala
Watawala wanaofia kutumbuliwaVinavyotawala lakini si kwa ridhaa ya wanao watawala
Kutumbuliwa kama unawajibika hofu huwezi kuwa nayoWatawala wanaofia kutumbuliwa