Siku ya leo imeisha kwa amani
Zinaendelea kweli hapa bajeti tu....!Brazil tumewakilishwa au ndio marufuku za kwenda nje ya nchi zinaendelea.
Mbona hata mshahara kamili nao hautoshi!nusu mshahara hautoshi kukidhi mahitaji
Ughaibuni ni mafisi tu....hawakusaidii mpaka uwape kituTaifa la Tanzania Lina raslimali za kutosha kujiendesha bila kutegemea msaada ktoka ughaibuni
Kitu gani utawapa waridhike? Wataendelea kutuibia na kututawala mpaka tutakapo jitambua.Ughaibuni ni mafisi tu....hawakusaidii mpaka uwape kitu
Ujana maji ya motoKujitambua n jambo la muhim Sana katka maisha ya ujana
Moto ulioteketeza mabweni ya shule huko arushaaUjana maji ya moto
Arusha inaendelea kwa sababu ni ngome ya chadema?Moto ulioteketeza mabweni ya shule huko arushaa
chadema ni mwiba tuendelee na mchezoArusha inaendelea kwa sababu ni ngome ya chadema?