Wa mwisho ndiyo mshindi

Kujimudu kwa watu dhaifu katika ulimwengu wenye kasi ya kukua kwa Teknologia itakua si rahisi kama serikali haitatoa ruzuku ya kuwapoza wafanyabiashara
Wafanyabiashara washirikishwe katika ustawi wa jamii kwa njia moja au ingine huku wakipewa incentives na kushajiishwa....
 
Mwenzio kasema kushajiishwa, ZZ sijaelewa maana ya hili neno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…