Ibrahim mhanga
Member
- Feb 11, 2013
- 68
- 12
wanapozulumiwa huwa na hasiraa kama mbogoMasikini wanatia huruma sana hasa pale wanapozulumiwa
wanapozulumiwa huwa na hasiraa kama mbogoMasikini wanatia huruma sana hasa pale wanapozulumiwa
kwangu uswazi natumia choo chenye mlango wa guniambogo ni mnyama mwenye hasira lakin mm namchukulia boya tu kwangu
Bila kata halibebek na hatua haipigikiGunia la misumari halibebeki
Haipigiki 7bu wameshiba pilau lisilowahusuHalibebek na hatua haipigik.
Lisilowahusu vipi pasaka ni ya woteHaipigiki 7bu wameshiba pilau lisilowahusu
![]()
Wrote tupo jukwaa la utani wala usijali.....It's funnyLisilowahusu vipi pasaka ni ya wote
Lisilowahusu vipi pasaka ni ya wote
Wamevimbiwa kwa sababu wamekula kupindukia
Zingine ni blaa blaa tu bosi ni pesa
Taa ya mwili ni jichoPesa, ulizia pesa wakuzime kama taa.
Taa ya mwili ni jicho
unapoa wali, sembuse ugaliJicho likifumba na mwili unapoa.
unapoa wali, sembuse ugali
koti halivaliki kwa joto la dar es salaamUgali tena! Hahahaha ukipoa unavaa koti.
Barcelona Football Lionel Messikoti halivaliki kwa joto la dar es salaam