Chocho kuna siri nyingi sanaKuungama uongo, nasubiri muujiza kule chocho!
Sana kuliko mods wanavyojua?😁Chocho kuna siri nyingi sana
Wanavyojua ni ban tuSana kuliko mods wanavyojua?😁
Kama vile unavyoutafuta ugomvi usiojua kuingia kwenye mali za wana,una kibali mkuuSeran na cocastic ni wadada wazuri na warembo sana hapa Jf sio kama wengine kama........????
Sasa mkuu mtu ataanzaje sentensi na tu?Wanavyojua ni ban tu
tu kuianzia sentensi inakuwa na changamoto kidogoSasa mkuu mtu ataanzaje sentensi na tu?
Kidogo hapo nimeelewatu kuianzia sentensi inakuwa na changamoto kidogo
Nimeelewa kuhusu programmingKidogo hapo nimeelewa
Programming ni niniNimeelewa kuhusu programming
nini kinachokufanya umalizie sentesi kwa maneno tatanishi?Programming ni nini
Tatanishi kama lipi?nini kinachokufanya umalizie sentesi kwa maneno tatanishi?
anza sentensi kwa kutumia neno "lipi au nini"Tatanishi kama lipi?
Nini kigumu sasaanza sentensi kwa kutumia neno "lipi au nini"
Nini unaninyima.anza sentensi kwa kutumia neno "lipi au nini"
Sasa ni wakati wa mabadiliko.Nini kigumu sasa
Mabadiliko ganiSasa ni wakati wa mabadiliko.
Gani unamaanisha GunMabadiliko gani