Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Lowassa amethubutu kutuonyesha kuwa upinzani wa kweli unatoka ndani ya ccm hata kama wezi wa kura ni ccm
 
Waizi(wezi) wa ccm ni wabinafsi ndio maana wanaiba mali za uma.
 
Mali za umma sasa hivi ziko salama, mbele ya Hapa ni Kazi TU!!
 
Upunda ni neno la kuonyesha una uwezo kiasi gani wa kutumia nguvu zako
 
zako salam zimefika, ila mchezo huu ulianza nikiwa nimelazwa mjamzito sasa mtoto anasoma, hauishi??
 
Back
Top Bottom