Wa mwisho ndiyo mshindi

Nani atayemvisha paka kengele
Kengele ya bomani, ni lile neno Mitomingi alimtania Ngoswe ''Masarawili yako kama kengele ya bomani" maana alikuwa amevaa suruali za enzi zile zilizokuwa na mtindo wa kubana sehemu ya magotini huku zikitanuka chini sehemu ya miguuni
 
Kengele ya bomani, ni lile neno Mitomingi alimtania Ngoswe ''Masarawili yako kama kengele ya bomani" maana alikuwa amevaa suruali za enzi zile zilizokuwa na mtindo wa kubana sehemu ya magotini huku zikitanuka chini sehemu ya miguuni
Miguuni, tumboni, began, ni baadhi ya sehem alizopigwa risasi lissu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…