varavara
JF-Expert Member
- May 29, 2012
- 605
- 487
Sita Kwa Sita Ni Kitanda Kizuri Sana Ila Ukigombana Na Mkeo/mpenzi Utajuta Maana Kinakuwa Kama Vitanda ViwiliHuko Egypt Mohammed mosri ameachiwa huru baada ya kumaliza kifungo chake cha miaka sita
Sita Kwa Sita Ni Kitanda Kizuri Sana Ila Ukigombana Na Mkeo/mpenzi Utajuta Maana Kinakuwa Kama Vitanda ViwiliHuko Egypt Mohammed mosri ameachiwa huru baada ya kumaliza kifungo chake cha miaka sita
Viwili viwili ndiyo vina zalishana...Sita Kwa Sita Ni Kitanda Kizuri Sana Ila Ukigombana Na Mkeo/mpenzi Utajuta Maana Kinakuwa Kama Vitanda Viwili
Vinazalishana kwa kuwa Mwenyezi Mungu kaumba Jike na DumeViwili viwili ndiyo vina zalishana...
Igizo la nini hebu endesha gari kutoka hapa Car From Japan Grand Giveaway 2017'Mambo hayo', dah! Nililipenda sana hili igizo
Hapa nimeshatupa mshale nasubiri sauti ya digidigiIgizo la nini hebu endesha gari kutoka hapa Car From Japan Grand Giveaway 2017
Watamuu ni wenza wa halali....digidigi watamuu...
Halali mtu apa... mpaka muvi iisheWatamuu ni wenza wa halali....
iishe tuangalie ustaarabu mwingineHalali mtu apa... mpaka muvi iishe
Mwingine anaandaliwa kuongoza movi kwa mapigo yake ya kinamna!!iishe tuangalie ustaarabu mwingine
Kinamna gani vijana tutatusua ilhali ajira zimeota mbawa na mitaji ndo swali lililokosa jibuMwingine anaandaliwa kuongoza movi kwa mapigo yake ya kinamna!!
Jibu lao ni mbele kwa mbele....Kinamna gani vijana tutatusua ilhali ajira zimeota mbawa na mitaji ndo swali lililokosa jibu
Kweli ya mtu ni uungwana wake na uongo wake haydumu !!!Mbele kwa mbele kwenye vyeti, Ben saanane, bei ya sukari, sipangiwi na mtu Ila ccm mungu anawaona kwa kweli
Haudumu kwasababu utafahamikaKweli ya mtu ni uungwana wake na uongo wake haydumu !!!
Tatizo ni wewe thatsit usiyetaka kuniskia.Utafahamika tu ukubwa wa hili tatizo
utafahamika ndiyo but 'not to that extent'😉Haudumu kwasababu utafahamika
Extent you're talking about is that "you broke the law"utafahamika ndiyo but 'not to that extent'😉