Vile vile haijalishi bajeti ipo kiasi gani, kama watu hawatofanya kazi kwa uhuru, hawawezi kufanya kwa ufanisi unaotakiwa maana watakua na uoga kwamba sijui nakosea...Maendeleo ya taifa inategemea na bajeti iliyotengwa, je bajeti ya maendeleo mwaka wa fedha huu ilitengwa shilingi ngapi vile
Nakosea hii kauli hapana sio ya kipindi hichi, na anayesitasita atupishe sisi tufanye kazi, tunataka maendeleo ya kasi kubwa, uchumi unaongezeka kwa 7% sisi tunataka asilimia izidi hapoVile vile haijalishi bajeti ipo kiasi gani, kama watu hawatofanya kazi kwa uhuru, hawawezi kufanya kwa ufanisi unaotakiwa maana watakua na uoga kwamba sijui nakosea...
Youtube?Nadhan kuna apps za kukuwezesha kudownload, jaribu kutumia tubemateSijui nakosea wapi kudownload nyimbo YouTube
Youtube ina mambo mengi ngoja waje wataalamSijui nakosea wapi kudownload nyimbo YouTube
YouTube pacha tumia IDMSijui nakosea wapi kudownload nyimbo YouTube
Idm Kwa pc sawa lakini kama ni simu chukua video oderYouTube pacha tumia IDM
Tunasali sana na tunawasalia sana hawa viongozi wetu tatzo wanarudia utumbo uleule ndo hata Mungu hatubariki tenaKukicha tuwe tunasali
IDM (Mzumbe ya zamani??) au video oder kivipi sasa hebu funguka!YouTube pacha tumia IDM
IDM pacha naweza tumia kwa cm au ndo kama alivyosema Mr johnson?YouTube pacha tumia IDM
Video oder sijawahi itumia, hebu attach icon yake muonekano maana playstore sijaionaIdm Kwa pc sawa lakini kama ni simu chukua video oder
Tena mheshimiwa magufuli amesima shinyanga sahivi pale anatoa hotuba katika mkutano wa hadhara, kuna kitu amenifurahisha na hizo kaya hewa na anataka kufuta mpango wa TASAFTunasali sana na tunawasalia sana hawa viongozi wetu tatzo wanarudia utumbo uleule ndo hata Mungu hatubariki tena
Kweli mi mwenyewe nimesikia wengine wanasema ipo wengine haipovile vile naskia hapa kwetu pameingia njaa lakini Kuna watu wanasema njaa haipo kweli?
Hapo umenenaNakosea hii kauli hapana sio ya kipindi hichi, na anayesitasita atupishe sisi tufanye kazi, tunataka maendeleo ya kasi kubwa, uchumi unaongezeka kwa 7% sisi tunataka asilimia izidi hapo
Haipo kwa samaki lakini kwa binadamu ipo,... Hivi karibuni tutaishi kwa nyama atakama ni ya kuwindaKweli mi mwenyewe nimesikia wengine wanasema ipo wengine haipo
Kuwinda wanyama mbugani taratibu zake ni zipi au unachukua gobole unajichagulia mnofu unao utakaHaipo kwa samaki lakini kwa binadamu ipo,... Hivi karibuni tutaishi kwa nyama atakama ni ya kuwinda
Unao utaka utaupata ila nahisi hakutakua na utaratibu maana mh.J ataruhusu kujichagulia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuwinda wanyama mbugani taratibu zake ni zipi au unachukua gobole unajichagulia mnofu unao utaka
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hizo emoji umezitumiajeUnao utaka utaupata ila nahisi hakutakua na utaratibu maana mh.J ataruhusu kujichagulia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji15][emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hizo emoji umezitumiaje