Ninayo sababu ya kusema nakukubali mtu wangu, maana sakayo ni mtu wa watu, ila sakayo yani wewe kiboko siku zote najuwa wewe ni ME jamani, nimefurahi kujuwa jinsia yako, mwaka mpya unaukaribishia wapi???Ndugu yake mie mimi ni jike la mbegu, nakukubali pia ila hilo jina lako ka sumu vile ila maziwa ninayo
Mwaka mpya unaukaribishia wapi wangu, nikutakie mapemaaaa heri ya mwaka mpya, na mwaka uwe wenye mafanikio tele Aishah2016Ndugu yangu nakutakia her ya mwaka mpya
Wapi zaidi ya kujifungia ndani huku kwetu panya road naskia wanataka kulipiza kisasi leo coz hii miezi miwili iliyopita walikiona cha mtema kuni kutoka kwa raia wenye hasira kaliNinayo sababu ya kusema nakukubali mtu wangu, maana sakayo ni mtu wa watu, ila sakayo yani wewe kiboko siku zote najuwa wewe ni ME jamani, nimefurahi kujuwa jinsia yako, mwaka mpya unaukaribishia wapi???
Hahaha umeonaeeMwaka mpya huoooooo mtu wangu wa ukweli Aishah2016 ila Mhmhmh Aishah2016 itabidi iwe Aishah2017 hahhahha
Kali kuliko zote ni muziki ya darasaWapi zaidi ya kujifungia ndani huku kwetu panya road naskia wanataka kulipiza kisasi leo coz hii miezi miwili iliyopita walikiona cha mtema kuni kutoka kwa raia wenye hasira kali
Aishah2016 yupo om tu anaupokea mwaka na malaria juuMwaka mpya unaukaribishia wapi wangu, nikutakie mapemaaaa heri ya mwaka mpya, na mwaka uwe wenye mafanikio tele Aishah2016
Hasira kali ziacheni mwaka 2016Wapi zaidi ya kujifungia ndani huku kwetu panya road naskia wanataka kulipiza kisasi leo coz hii miezi miwili iliyopita walikiona cha mtema kuni kutoka kwa raia wenye hasira kali
Kali ya mwaka, kuna watu wanajifanya scorpion wana toboa watu macho na kuwakata na visu muweni macho TZ imebadilika watu hawaogopi tena kuvunja sheriaWapi zaidi ya kujifungia ndani huku kwetu panya road naskia wanataka kulipiza kisasi leo coz hii miezi miwili iliyopita walikiona cha mtema kuni kutoka kwa raia wenye hasira kali
Sheria ifate mkondoKali ya mwaka, kuna watu wanajifanya scorpion wana toboa watu macho na kuwakata na visu muweni macho TZ imebadilika watu hawaogopi tena kuvunja sheria
Mkondo wa sheria umezibwa na wenye pesa so haupitikiSheria ifate mkondo
Haupitiki mtaro ule umejaa majiMkondo wa sheria umezibwa na wenye pesa so haupitiki
Maji mengi mpaka keroHaupitiki mtaro ule umejaa maji
Sakayo hajui hayo mamboGani? Kitu fulani hivi amazingi bwana sakayo
Chinga lina poteza mwelekeo.....Mambo ya chinga
Mwelekeo upi unaouzungumzia mkuuChinga lina poteza mwelekeo.....
Mkuu dkk 33 zimebaki to 2017Mwelekeo upi unaouzungumzia mkuu
2017 is around the cornerMkuu dkk 33 zimebaki to 2017
corner bar imekosa wateja2017 is around the corner
Corner ya Clock tower kumetokea ajali....Wahanga hawatasherehekea ujio wa mwaka mpya balaa limewaandama...2017 is around the corner