Wa mwisho ndiyo mshindi

Mweehee unanitisha tuuu sitaki ata kufaham what is going on there!!
Usiogope ni mikakati na mipango inayoundwa kwa siri sana na kuharibu mifumo iliyojengeka imara na kuiharibu katika utaratibu wake.
Sitaki kusema sana kwa sababu sijapewa mamlaka ya kutoa siri ama kuzungumza kwa undani haya mambo.
The great secret society....
I.L.L.U.M.I.N.A.T.I


illuminati contract number


Moja ya ofisi ya grand lodge pre - master,



Welcome for joining the great illuminati......

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
[emoji39] [emoji39] [emoji383] [emoji383] [emoji385] [emoji385] [emoji385]
 
Sasa why unajutia? Naona mapichapicha mkuu uinatosha usitume tena
 
Ni siri nzito ambayo sio rahisi kuieleza kutoka na makubaliano yetu.
Ila tambua kwamba inahusiana na utoaji wa damu ya binadamu,
( kafara )

Siwezi kukataa ni lazima nifuate masharti kama nilivyokula kiapo Siku ya kwanza kujiunga na jamii ya illuminati.
Moyo wangu bado una majeraha mazito baada ya kumtoa kafara mtu muhimu katika maisha yangu.

Mkuu....
Ni hayo tu sitaki kuadhibiwa endapo nikitoa siri zao.
Hayo niliyokueleza nadhani yanatosha.
 
goldie ink nakuogopa kuanzia leo [emoji32][emoji32][emoji32][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Usiogope siwezi kukudhuru labda itokee bahati mbaya wakiipenda damu yako.
[emoji85] [emoji85] [emoji87]

Trust me am normal kama watu wengine usiniogope sawa.
[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120]
Sawa sitakuogopa lakini nimekoma kukukwot et

Wakiipenda dam yangu Tena? Aseeeeeee sitaki mie sitaki Tena[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112] natoka na jf kabisa usinipate tenaa
 
Sawa sitakuogopa lakini nimekoma kukukwot et

Wakiipenda dam yangu Tena? Aseeeeeee sitaki mie sitaki Tena[emoji112][emoji112][emoji112][emoji112][emoji112] natoka na jf kabisa usinipate tenaa
[emoji38] [emoji38] [emoji1] [emoji23] [emoji23]
Mwamini Allah atakupigania hawataweza kukuchukua...

[emoji4] [emoji4] [emoji120] [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…