Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Jero, BOT wanazitaka Jero Noti mapema kabla ya december 30 fanya hivyo lapse time haijafika maana hawatachukua na hazitatumika kwenye muamala wowote kuanzia hapo reference to BOT

BOT wametangaza lini sijasikia lakini hazipo kwenye mzungu kama ilivyokuwa mwanzo
 
Uhakika ni kwamba juzi tu BOT wamekanusha taatifa hizo za usushi,na wewe ukiendelea kuzusha hivyo utaitwa mchochezi.
Mchochezi kwa mithili ipi, mamlaka husika walikuwa wapi dissemination of information was gone to the society bila wao kujuwa it was informal, ila sahivi kila jambo ni uchochezi hivi kazi ya ICC ni ipi au taifa sio wanachama?
 
Back
Top Bottom