Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

business imekuwa ngumu sana kipindi hiki sio kama zamani wakati wa maandalizi ya Christmas
Christmas ya mwaka huu umegundua kuwa tulizoea kipindi kama hichi huko nyuma bei ya vitu kama sado la viazi ni elfu sita, nyanya elfu tano etc lakini x-mass hii kiazi sado elfu 4 wamekulalia sana elfu 5,halikadhalika nyanya sado ni elfu tatu yani hakuna mfumuko wa bei za bidhaa, hii ni kusema kwanini mwaka huu ni tofauti kuliko miaka ya nyuma jiulize maswali.
 
Christmas ya mwaka huu umegundua kuwa tulizoea kipindi kama hichi huko nyuma bei ya vitu kama sado la viazi ni elfu sita, nyanya elfu tano etc lakini x-mass hii kiazi sado elfu 4 wamekulalia sana elfu 5,halikadhalika nyanya sado ni elfu tatu yani hakuna mfumuko wa bei za bidhaa, hii ni kusema kwanini mwaka huu ni tofauti kuliko miaka ya nyuma jiulize maswali.

maswali nimejiuliza sana kwanini sijasikia zile nyimbo za Jimmy Reevies kama tulivyozoea
 
Mengi inawezekana nisiyajuwe naamini utanifundisha je unaweza nifundisha? Na Je wewe unaishi kwenye ndoa? Je yako ni tamu au chungu?

chungu au tamu zote zinatokea katika ndoa sio mara zote lakini kutokana na hulka ya mwanadamu kutaka kupata vitu vinavyofurahisha pekee akidhani machungu ni kwa ajili ya wengine
 
Back
Top Bottom