Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Ungemjua Mungu ungefata amri zake

Isaya alinena juu yenu wanafiki

MNAFATA MAFUNDISHO YA WANADAMU

MNAMUABUDU MUNGU BURE

Mungu gani unamuabudu wewe, anayekuamuru ufanye ibada ya jumapili

Sisi twajua IBADA YA JUMAPIL YATOKA KWA PAPA

SABATO YATOKA KWA BWANA


Mungu mwenyewe anatoa ahadi kwamba hawezi kuzibadili amri zake [kumi]:
"MIMI SITALIVUNJA agano langu, wala SITABADILI NENO LILILOTOKA MIDOMONI (MWANGU) - (Zaburi 89:34).
Hivi Sabato ndo Jumamosi?
 
Mungu nisaidie nifike chuo Kikuu, mungu nisaidie nimalize chuo salamaaa..... Anakusaidia unahitimu salama ila unakataa kwenda kwenye mahafari maana yake ni nini sasa daaaah
Ukitaka usikwazike na dini yako, soma shule na vyuo vya wasabato, kazi kafanye kwenye taasisi za kisabato. Otherwise hutapata msaada wowote kutoka kwa yoyote kuhusu malalamiko yako.
 
Hao wasabato waanzishe chuo chao kikuu wawewanafundisha jumapili ijumaa na jumamosi wawe wanapumzika, hao jamaa ni wanafiki sana wenyewe wanafanyaga uovu siku hio ya jumamosi
 
Je kuna andiko lolote kwenye Koran linakukataza kufanya kazi siku ya sita ya juma (Ijumaa) maana inakukataza kufanya kazi siku ya Jumamosi (Sabato) au hauna habari?
Hivi Dunia wakati inaumbwa hii kalenda tunayoitumia ndo ilikuwa hivihivi.Kuna sehemu panaonyesha kuwa Jumamosi ndo Sabato yenyewe na sio Jumatatu Wala Jumanne?
 
Duuuh
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Kwahiyo Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu??

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
 
Wasabato waheshimiwe duniani kote, maana ndio Dini bora kupita zote.
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Kwahiyo Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu??

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Jibu zuri mno!
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Kwahiyo Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu??

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...

umelewa laana
 
Nilipigaga deal na msabato mmja hela ikatoka jumamosi hyo msabato
Akaniletea ohh jumamosi hatufanyi kazi hawezi shika hela!
Tukamwambia asitutanie nusura tumtie vibao mbna hela alitoaaa
Maisha yakaendelea

Ova
 
Usipende kututakana wenzako mzee watu wanaiman zao so kuwambia wenzako nimakalio bt endelea kuomba uzma
Siyo siri, wasababto wanajifanya wana imani sana. Siku tulikuwa msafara wa viongozi kadhaa ktk wilaya yetu. Ilikuwa ijumaa. Ilipofika saa 12 jioni, mmoja wetu akasema sabato imefika hawezi kuendelea na safari, tulale hapo tulipo. Dereva akasema hakuagizwa hivyo na TO. Anatakiwa arudishe gari ofisini lina kazi nyingine jumamosi asubuhi.
Yule mwenzetu akashuka kutoka garini akatuacha tuendelee na safari. Alisafiri jumapili kwa gharama zake.
Palikuwa na ulazima kiasi kutoendelea na safari wakati ilibaki kama saa moja tu kufika nyumbani?
Imani ya kusonga ugali kwa msalaba.
 
Mbona Ijumaa kuna shughuli nyingi tu hufanyika na waislam hawalalamiki?
Hawalalamiki maana dini yao inasema BAADA YA IBADA YA IJUMAA KILA MTU AENDELEE KUFANYA KAZI,

ILA WASABATO NA WAYAHUDI WANAOFATA biblia na maandiko ya MUNGU WANAAMBIWA HIVI

Ikumbuke siku ya Sabato uitakase. Siku sita fanya kazi na kutenda mambo yako yote, lakini SIKU YA SABA NI SABATO YA BWANA, MUNGU WAKO. Siku hiyo usifanye kazi yoyote, … maana kwa siku siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari na vyote vilivyomo, lakini AKAPUMZKA siku ya saba. Kwa hiyo BWANA AKAIBARIKI siku ya Sabato AKAITAKASA" - Kutoka 20:8-11.
 
Back
Top Bottom