Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Habari wana jamii!

Zikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa mahafari ya kuhitimu chuo kikuu, nina sikitika kuona kwamba rafiki zangu wengi wasabato hawachangamki kabisa.

Jana tumetoka kulipia majoho lakini nikashangaa kuona rafiki zangu wasabato hawalipii (siowote) na sababu kubwa ya kutolipia ni kwamba sherehe hiyo ya kuhitimu chuo inafanyika siku ya jumamosi ambayo ni siku yao ya kuabudu.

Idadi kubwa ya vyuo vikuu nchini hapa hufanya sherehe hizi siku ya jumamosi hivyo kuwanyima nafasi ya kushiriki ndg zetu hawa wasabato.

Na ninyi wasabato mje hapa mtuambie ubaya wa kushiriki siku ya jumamosi maana kwa mtizamo wangu siku hiyo hufanyi kazi ni sawa na kupumzika kabisa huku ukifrahia kujumuika na wenzako.

Karibuni tueleweshane.
Aiseee wasababto wanazingua sana kila mtu angeamua kuata imani yake maisha yasingeenda kabisa, kuna paper UE fulani miaka ya pale UDSM ratiba ilikuwa ijumaa saa 12jioni Duuh ilikuwa shida wakaandika barua hawafanyi watafanya kipindi cha sup.....ile ya kaisari mpe kaisari wasababto hawana,too much sana
 
Kuna mambo ukikurupuka unageuka kuwa mtumwa..maandiko yako wazi ..Yesu aliuliza ni nani kwenu ng'ombe wake akitumbukia shimoni siku ya sabato hata mtoa?

Imani zingine ni mateso makubwa kwakweli...wana heri wa Muabudio Mungu ktk roho na kweli na wala si kwa siku wala muandamo wa mwezi
 
Kama mambo ukikurupuka unageuka kuwa mtumwa..maandiko yako wazi ..Yesu aliuliza ni nani kwenu ng'ombe wake akitumbukia shimoni siku ya sabato hata mtoa?

Imani zingine ni mateso makubwa kwakweli...wana heri wa Muabudio Mungu ktk roho na kweli na wala si kwa siku wala muandamo wa mwezi
Mungu nisaidie nifike chuo Kikuu, mungu nisaidie nimalize chuo salamaaa..... Anakusaidia unahitimu salama ila unakataa kwenda kwenye mahafari maana yake ni nini sasa daaaah
 
Walimu wengine wanakuaga na vipindi mpaka jumapili sijawahi kusikia wanaosali jumapili wakilalamika.

Kwanini kila siku wasabato ndio hupenda kuonesha wanaonewa. Acheni kuabudu siku abudu Mungu. Mungu pekee ndio ana abudiwa sio siku
 
Acha kutisha watu wewe! Jibu hoja!!!

Nimisema Wazungu na Wasabato walileta Ukiristo kama chombo cha kukutawala sisi Waafika!! Sasa wewe kwa nini unatisha watu?
Wahindi, Wajapani wana dni zao hadi lei hii.. ila Mwafrika aliacha dini zake akakubali kutumia dini ya Mzungu na Mwarabu!

Nini hapo huelewei!!

Jibu hoja na acha kutisha watu!

Sabato haijaletwa na mzungu sabato kaileta ALIYE kuumba wewe
 
Walimu wengine wanakuaga na vipindi mpaka jumapili sijawahi kusikia wanaosali jumapili wakilalamika.

Kwanini kila siku wasabato ndio hupenda kuonesha wanaonewa. Acheni kuabudu siku abudu Mungu. Mungu pekee ndio ana abudiwa sio siku
Ushauri kuntu kabisa
 
Acha kutisha watu wewe! Jibu hoja!!!

Nimisema Wazungu na Wasabato walileta Ukiristo kama chombo cha kukutawala sisi Waafika!! Sasa wewe kwa nini unatisha watu?
Wahindi, Wajapani wana dni zao hadi lei hii.. ila Mwafrika aliacha dini zake akakubali kutumia dini ya Mzungu na Mwarabu!

Nini hapo huelewei!!

Jibu hoja na acha kutisha watu!
Umeongea point sana mkuu na Leo ndio nimejua kua wahindi hawakupelekewa dini kama sisi
 
Walimu wengine wanakuaga na vipindi mpaka jumapili sijawahi kusikia wanaosali jumapili wakilalamika.

Kwanini kila siku wasabato ndio hupenda kuonesha wanaonewa. Acheni kuabudu siku abudu Mungu. Mungu pekee ndio ana abudiwa sio siku
Umewapa ushauri wa kimungu kama ni wa Mungu kweli watasikia kama ni wa mungu helene white lazima watoe povu
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
HAO WANAOKUSAPOTI LEO WATAKUPOTEZA

UNACHOSHINDWA KUELEWA NI KUWA KILA IMAN NA TARATIBU ZAKE

Waroma na watoto zake wanaosali jumapili hawa , wamekiuka biblia , hawapumziki wao wakimaliza misa , ni kucheza na kunywa na kuondoka

Waislamu wao wameambiwa na quran wakimaliza kuswali Ijumaa waendelee na shughuli


Waaadventista wanafata biblia inasemaje, biblia inasema SABATO ni siku ya kustarehe na kumuabudu Mungu, na kuacha shughuli nyingine

Isaya 58:13., kutoka 20:8-11

HIVO USICHUKULIE TARATIBU ZA IBADA YA SDA sawa na hao ambao baada ya sala wanaruhusiwa hata kulima , au kucheza ndombolo ya solo


FB_IMG_1540529670203.jpeg
 
Ndo maana tumekaa kimya,cku hiyo ni kanisani tu.
 
Habari wana jamii!

Zikiwa zimebaki siku chache tu kabla ya kufanyika kwa mahafari ya kuhitimu chuo kikuu, nina sikitika kuona kwamba rafiki zangu wengi wasabato hawachangamki kabisa.

Jana tumetoka kulipia majoho lakini nikashangaa kuona rafiki zangu wasabato hawalipii (siowote) na sababu kubwa ya kutolipia ni kwamba sherehe hiyo ya kuhitimu chuo inafanyika siku ya jumamosi ambayo ni siku yao ya kuabudu.

Idadi kubwa ya vyuo vikuu nchini hapa hufanya sherehe hizi siku ya jumamosi hivyo kuwanyima nafasi ya kushiriki ndg zetu hawa wasabato.

Na ninyi wasabato mje hapa mtuambie ubaya wa kushiriki siku ya jumamosi maana kwa mtizamo wangu siku hiyo hufanyi kazi ni sawa na kupumzika kabisa huku ukifrahia kujumuika na wenzako.

Karibuni tueleweshane.
Nchi hii haina dini mkuu
 
Walimu wengine wanakuaga na vipindi mpaka jumapili sijawahi kusikia wanaosali jumapili wakilalamika.

Kwanini kila siku wasabato ndio hupenda kuonesha wanaonewa. Acheni kuabudu siku abudu Mungu. Mungu pekee ndio ana abudiwa sio siku
Hao wanaosali jumapili hawalalamiki maana TARATIBU za dini zao zinawaruhusu Kufanya kazi hata kulima siku ya ibada,SASA unataka walalamike nini?

Wasabato na wayahudi wanaofata biblia , Hawaruhusiwi, hivo ni lazima walalamike

Sio kila ibada inafata utaratibu wa Mungu, japo inaitwa Ibada,

Hii ndio inapelekea UPAPA kuanzisha siku moja ya IBADA ili ishindane na MUNGU,

Lakini hawataweza ,bali watavunjwavunjwa vipande vipande

Kama nabii Daniel alivyooneshwa,

ACHA KUSHABIKIA TU, USIDHANI KILA IBADA NI SAWA, waislamu wao wanaambiwa baada ya ibada waendelee na shughuli zao,

sasa hawa walalamike nini?
FB_IMG_1540027405598.jpeg
 
HAO WANAOKUSAPOTI LEO WATAKUPOTEZA

UNACHOSHINDWA KUELEWA NI KUWA KILA IMAN NA TARATIBU ZAKE

Waroma na watoto zake wanaosali jumapili hawa , wamekiuka biblia , hawapumziki wao wakimaliza misa , ni kucheza na kunywa na kuondoka

Waislamu wao wameambiwa na quran wakimaliza kuswali Ijumaa waendelee na shughuli


Waaadventista wanafata biblia inasemaje, biblia inasema SABATO ni siku ya kustarehe na kumuabudu Mungu, na kuacha shughuli nyingine

Isaya 58:13., kutoka 20:8-11

HIVO USICHUKULIE TARATIBU ZA IBADA YA SDA sawa na hao ambao baada ya sala wanaruhusiwa hata kulima , au kucheza ndombolo ya solo


View attachment 926084
Mkuu nisaidie, hua mnahesabu vipi hadi mnajua kwamba siku ya saba aliyopumzika Mungu ilikua ni jumamosi? Huu mfumo wa kuhesabu siku kwa majina haya ya jumamosi, pjl, j3 etc ulikuwepo tangu lini?
 
Mkuu nisaidie, hua mnahesabu vipi hadi mnajua kwamba siku ya saba aliyopumzika Mungu ilikua ni jumamosi? Huu mfumo wa kuhesabu siku kwa majina haya ya jumamosi, pjl, j3 etc ulikuwepo tangu lini?
Kwani wewe unasali dini na dhehebu gani ili nikujibu kwa mujibu wa DINI au dhehebu lako
 
HAO WANAOKUSAPOTI LEO WATAKUPOTEZA

UNACHOSHINDWA KUELEWA NI KUWA KILA IMAN NA TARATIBU ZAKE

Waroma na watoto zake wanaosali jumapili hawa , wamekiuka biblia , hawapumziki wao wakimaliza misa , ni kucheza na kunywa na kuondoka

Waislamu wao wameambiwa na quran wakimaliza kuswali Ijumaa waendelee na shughuli


Waaadventista wanafata biblia inasemaje, biblia inasema SABATO ni siku ya kustarehe na kumuabudu Mungu, na kuacha shughuli nyingine

Isaya 58:13., kutoka 20:8-11

HIVO USICHUKULIE TARATIBU ZA IBADA YA SDA sawa na hao ambao baada ya sala wanaruhusiwa hata kulima , au kucheza ndombolo ya solo


View attachment 926084
As long as dhamira ni kumuabudu Mungu muumbaji siku haimati maana Yesu alisema imewapasa kumwomba Mungu siku zote.......nyie mnaong'ang'ania jumamosi tu endeleeni na mbinguni hamuendi ng'o maana mnapinga Roho Mtakatifu
 
Back
Top Bottom