Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

Vyuo vikuu nchini haviwatendei haki wasabato??

As long as dhamira ni kumuabudu Mungu muumbaji siku haimati maana Yesu alisema imewapasa kumwomba Mungu siku zote.......nyie mnaong'ang'ania jumamosi tu endeleeni na mbinguni hamuendi ng'o maana mnapinga Roho Mtakatifu
Ungeleta andiko ingekuwa vema ,maana mm na ushahidi wa kimaandiko

Manabii wote

Had yesu na mitume walisali siku ya SABATO

hii jumapili ni ibada ya papa

Sasa sijui unasmsema Yesu gan huyo
FB_IMG_1540769526812.jpeg
 
Kuna siku moja chuo lecture wetu, ijumaa ratiba yake inakuwa tight sababu ana vipindi viwili alafu ostazi, akapanga test Jumamosi Wasabato wakalalamika sana. Jamaa kwa kuwa mpole akatunga mitihani miwili, mmoja Jumamosi, mwengine ijumaa. Sasa huo mtihani wa ijumaa ulikuwa wa motoo akamwambia, ukiona mtihani mgumu njoo Jumamosi, ufanye na wenzio wakanyanyuka mmoja mmoja, Jumamosi tukafanya nao test. Tokea siku hiyo heshima na adabu.
Hadithi ya kutunga hii!
 
"'Kama ukigeuza mguu wako usihalifu sabato, usifanye anasa yako siku ya utakatifu wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku takatifu ya Bwana yenye heshima; ukiitukuza, kwa kutokuzifanya njia zako mwenyewe, wala kuyatafuta yakupendezayo, wala kusema maneno yako mwenyewe'' Isa.58:13
Amina Mtumishi, hayo ni maagizo ya Mungu mwenyewe tusameje basi? Tuyafuate.
 
Hao wanaosali jumapili hawalalamiki maana TARATIBU za dini zao zinawaruhusu Kufanya kazi hata kulima siku ya ibada,SASA unataka walalamike nini?

Wasabato na wayahudi wanaofata biblia , Hawaruhusiwi, hivo ni lazima walalamike

Sio kila ibada inafata utaratibu wa Mungu, japo inaitwa Ibada,

Hii ndio inapelekea UPAPA kuanzisha siku moja ya IBADA ili ishindane na MUNGU,

Lakini hawataweza ,bali watavunjwavunjwa vipande vipande

Kama nabii Daniel alivyooneshwa,

ACHA KUSHABIKIA TU, USIDHANI KILA IBADA NI SAWA, waislamu wao wanaambiwa baada ya ibada waendelee na shughuli zao,

sasa hawa walalamike nini?View attachment 926086
Hapana, sababu kuu ni haiabudiwi siku. Ana abudiwa Mungu pekee.
Hivi nyie hamtumii agano jipya??
 
Wazazi wangu nilikuta wanasali huko na siku hiyo sijawahi kuhoji zaidi.
Bas Inakubidi usome na ufatilie ,usiburuzwe

Biblia imeweka kumbukumbu kwamba Kristo alisulubishwa siku ya sita ya juma, au siku ya maandalizi – siku kabla ya Sabato haijatokea (angalia Marko 15:42; Luka 23:54; Yohana 19:31, 42; Mathayo 27:62), Alifufuka siku ya kwanza ya juma, au siku baada ya Sabato kuwa imepita (angalia Mathayo 28:1-8; Marko 16:1-10; Luka 24:1-8; Yohana 20:1), hivyo ikionyesha kwamba Kristo alikuwa amepumzika kaburini wakati wa siku ya saba ya Sabato. Ni maarifa yaliyo wazi kwamba Kristo alifufuka kutoka kaburini siku ya Jumapili asubuhi – ambayo wengi hurejea kama Pasaka (angalia Mdo 12:4). Tukiwa na maarifa haya ya ukweli, basi inakuwa ni rahisi kuamua kiuhalisia ni siku gani za juma katika kalenda yetu ya kisasa huendana pamoja na siku za juma hapo zamani.

Kutokana na kwamba Kristo alifufuka katika siku tunayoiita Jumapili leo, siku hii inaendana na siku ya kwanza ya juma hapo zamani – au siku baada ya Sabato kuwa imepita. Hatimaye, siku tunayoiita Jumamosi katika kalenda yetu ya kisasa, huendana na siku ya saba ya juma hapo zamani, na siku tunayoiita Ijumaa katika kalenda yetu ya kisasa huendana na siku ya sita ya juma hapo zamani – au siku ya maandalizi kabla ya Sabato kuanza! Hivyo, wote wanaotamani kufuata na kumtumikia Mungu kwa mioyo yao yote, mawazo, roho, na nguvu, kutokana na upendo kwa kile alichokwisha kukifanya na anaendelea kukifanya kwa ajili yao, wataona kuwa Sabato ya siku ya saba ya Mungu leo ni Jumamosi – siku baada ya Ijumaa, na siku kabla ya Jumapili

FB_IMG_1541586014368.jpeg
 
Ungeleta andiko ingekuwa vema ,maana mm na ushahidi wa kimaandiko

Manabii wote

Had yesu na mitume walisali siku ya SABATO

hii jumapili ni ibada ya papa

Sasa sijui unasmsema Yesu gan huyoView attachment 926096
Haya hapo niliyoandika ni nini? Acha kukaririshwa jiongeze utoke gerezani
 
Ungeleta andiko ingekuwa vema ,maana mm na ushahidi wa kimaandiko

Manabii wote

Had yesu na mitume walisali siku ya SABATO

hii jumapili ni ibada ya papa

Sasa sijui unasmsema Yesu gan huyoView attachment 926096
Kwani ni wakatoliki pekee ndio wanasali jumapili?? Mboma papa ndio unamtolea mifano zaidi??
 
Pia haviwatendei haki Waislamu kwa kuendelea na shughuli zake kama kawaida siku za Ijumaa??

Tume ya uchaguzi pia haiwatendei haki wakristo kwa kufanya uchaguzi siku za Jumapili?

Serikali pia haitutendei haki wanandoa maana tulipaswa tupumzike siku ya Jumatatu.

Visabato masalia vina lalamika kama makalio ya konki konki...
Kulikuwa na ulazima wa kutumia lugha hiyo?
 
Hapana, sababu kuu ni haiabudiwi siku. Ana abudiwa Mungu pekee.
Hivi nyie hamtumii agano jipya??
Hakuna anayeabudu siku, kama ni hivo bas wa kwanza ni Mungu , maana hata YESU alitunza sabato, luka 4:16 ,sasa niambie ALIABUDU SIKU?

WEWE biblia gan imekupa mandate ufanye ibada jumapili?
 
Hakuna anayeabudu siku, kama ni hivo bas wa kwanza ni Mungu , maana hata YESU alitunza sabato, luka 4:16 ,sasa niambie ALIABUDU SIKU?

WEWE biblia gan imekupa mandate ufanye ibada jumapili?
Nyie mna abudu siku
 
Binafsi naona hii issue ya dini ni ya mtu na Mungu wake.
Binafsi sioni ubaya wa wasabato kutokushiriki shughuli ambazo sio za kidini siku ya jmosi maana kulingana na imani yao ndivyo inavyowaambia yaani usifanye kazi siku ya saba ambayo kiuhalisia ni Jumamosi.

Waache kama walivyo usijaribu kuwaingilia na usiwalazimishe wafate mnayoyaamini.

Kwa tunaosali jpili na Ijumaa...sie biblia zetu na Quran zetu cjui hazijasema tupumzike kabisa hapo cjui ila biblia ya wasabato na WAYAHUDI siku ya saba ( Jumamosi) ni siku ya kupumzika hamna kufanya mambo ambayo haya relate na ibada kwa Mungu wao.
 
Bas Inakubidi usome na ufatilie ,usiburuzwe

Biblia imeweka kumbukumbu kwamba Kristo alisulubishwa siku ya sita ya juma, au siku ya maandalizi – siku kabla ya Sabato haijatokea (angalia Marko 15:42; Luka 23:54; Yohana 19:31, 42; Mathayo 27:62), Alifufuka siku ya kwanza ya juma, au siku baada ya Sabato kuwa imepita (angalia Mathayo 28:1-8; Marko 16:1-10; Luka 24:1-8; Yohana 20:1), hivyo ikionyesha kwamba Kristo alikuwa amepumzika kaburini wakati wa siku ya saba ya Sabato. Ni maarifa yaliyo wazi kwamba Kristo alifufuka kutoka kaburini siku ya Jumapili asubuhi – ambayo wengi hurejea kama Pasaka (angalia Mdo 12:4). Tukiwa na maarifa haya ya ukweli, basi inakuwa ni rahisi kuamua kiuhalisia ni siku gani za juma katika kalenda yetu ya kisasa huendana pamoja na siku za juma hapo zamani.

Kutokana na kwamba Kristo alifufuka katika siku tunayoiita Jumapili leo, siku hii inaendana na siku ya kwanza ya juma hapo zamani – au siku baada ya Sabato kuwa imepita. Hatimaye, siku tunayoiita Jumamosi katika kalenda yetu ya kisasa, huendana na siku ya saba ya juma hapo zamani, na siku tunayoiita Ijumaa katika kalenda yetu ya kisasa huendana na siku ya sita ya juma hapo zamani – au siku ya maandalizi kabla ya Sabato kuanza! Hivyo, wote wanaotamani kufuata na kumtumikia Mungu kwa mioyo yao yote, mawazo, roho, na nguvu, kutokana na upendo kwa kile alichokwisha kukifanya na anaendelea kukifanya kwa ajili yao, wataona kuwa Sabato ya siku ya saba ya Mungu leo ni Jumamosi – siku baada ya Ijumaa, na siku kabla ya Jumapili

View attachment 926119
Watakao elewa hapa eatanielewesha, Mimi nimetoka buree!! Na bado yametumika maarifa kukokotoa na wala sio maandiko yanayosema kua siku ya saba ilikua jumamosi. Ninavyo elewa Mimi siku ya kwanza ya juma ni juma tatu ndio wiki inaanza afu wewe unasema wiki inaanza jpl!!
 
Back
Top Bottom