Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
ETI NA WEWE UNA HOJAHujajibu maswali yangu unakurupuka na vimistari vyako vya kukariri. Nimekuuliza maswali hapo juu hakuna hata moja ulilojibu. Nimekuuliza, leta ushahidi wowote katka agano jipya unaotaka wakristo wakutane kuabudu siku ya sabato. Hizo amri za Mungu mnazokomaa nazo mnajua ziko ngapi katika agano jipya ? acheni kutuletea mambo yenu ya ajabu mkiwaaminisha watu kwamba ninyi ni Miungu watu. Jibu hoja zangu hapo juu kwanza.
HIZO AMRI ZA AGANO JIPYA AMEZIANZISHA PAPA?
MAANA MUNGU WA MBINGUNI ALIAPA HATABADILI NENO LAKE WALA AMRI KUMU IKIWEPO YA SABATO HAZITANGUKA,
LABDA AMRI ZENU ZA KATEKISIMO
Hakuna hata moja kati ya mafungu hayo linalodokeza ya kwamba wale mitume waliazimu kuacha kuitunza Sabato ya siku ya saba. Mitume wale hawakulitaja badiliko lolote la Sabato kutoka siku ya saba kwenda ile ya
kwanza ya juma. Hakuna ushahidi wowote ulio wazi katika Agano Jipya unaoonyesha badiliko hilo la Sabato kutoka Jumamosi, siku ya saba ya juma, kwenda Jumapili, siku ya kwanza ya juma. Badiliko hilo lilikuja baada ya siku zile za Yesu na mitume wake, kwa hiyo, yatupasa sisi kuigeukia historia ili kuona ni lini na kwa jinsi gani badiliko hilo lilitokea.
KAMA.LIPO LIANDIKE HAPA